Friday, February 22, 2013

35 Imaginative “Hands And Fingers” Photo Manipulations

By Alvaris Falcon.


Find the Perfect Stock Pictures. Royalty-Free Inspiration for Less!
Hands and fingers are the greatest assets of every human born in this world. With hands and fingers, human created great arts that shine in the human history. They are really great, but can they be artistic as well? It’s hard to answer this kind of questions with a ‘no’, especially in this technological age, when everything can possibly become an art with the might of creativity and the power of the Photoshop.
hands and fingers manipulation
In this showcase you won’t see any regular hands and fingers, as we brought to you 35 manipulation works with artistic attempts on hands and fingers. So let’s see what artists and designers can do when it comes to brush up their own hands and fingers!




25 Fingers. Aside from its seamless manipulation, this work is so great that it makes me actually think that having 30 fingers look really cool! Well I have to confess that as a developer, I will like to have a hand like this. (Image Source: Alexandre Guilbeault)
25 fingers

Multi Hands. Another really cool one with awesome manipulation applied. (Image Source: j.walsh)
multi hands

A Handful. “I would be so much better at piano…” (Image Source: pwnedbyryan)
a handful

Again, I Say… For everything you do, there might be an eye watching you. (Image Source: 0 W8ing)
again i say

Arms Break, Vases Don’t. Sometimes if you are too careless, your hand will go wrong on you! (Image Source: alltelleringet)
arms break, vases don't

Being M.C. Escher. So which one is the real hand? A nice one! (Image Source: billyboingo)
being m.c. escher

Candlehand. Looks great, and what’s greater with this photo: it’s completely real! (Image Source: Bradi)
candlehand

Chase Your Love. Killer metallic effect. (Image Source: SubhadipKoley)
chase your love

Cyborg Hand. The day you know you’re not your father’s son. (Image Source: Naikoivanenko)
cyborg hand

Don’t Preach. Which one is the real hand? Or which one is the photo? (Image Source: haribahagia)
don't preach

FingBods. “Hey man, what’s weird about me?” (Image Source: Sterzy Hunter)
fingbods

Finger Killer. It’s a magnum, for sure. (Image Source: thecolourushproject)
finger killer

Flaming Fingertips. This actually makes you think about it, wonderful piece. (Image Source: PhilipHolm)
flaming fingertips

Give Me A Hand. It’s like these hands got some personalities! (Image Source: tiagogmc)
give me a hand

Gold Fish In My Hand. Very sleek manipulation with amazing uses of colors! (Image Source: sertanarig)
gold fish in my hand

Handed. How many fingers in total? You will never get it right. (Image Source: Õri Balázs)
handed

Hands. I have to say, the 3rd hand is epic. Amusing and unique one! (Image Source: cute0designer)
hands

Hands. Could be what you’ll see when you did too much Photoshop stuff! (Image Source: justyourtype)
hands

I Love Chocolate!! The expressions are priceless, and I believe it will be troublesome to live with these kinda annoying fingers. (Image Source: Manu Pombrol)
i love chocolate

M&M’s Chocolate Candy. Cute or haunting? Different people will have different thought about this piece. (Image Source: erwin mallari)
m&m's chocolate candy

Mutant Cell Pearl. Yikes! (Image Source: Tavieo Sawyer)
mutant cell pearl

My Kind Of Angel. “As an artist, I soar high to the limitless boundaries of my imagination through art and I enable myself to fly with my bare hands.” (Image Source: Alvin Adriano)
my kind of angel

Orchestra. More hands are surely cooler. (Image Source: Manu Pombrol)
orchestra

Pyro. Great manipulation and lighting, gave me a feel that the photo is expressing something. (Image Source: Tom Miatke)
pyro

Save the Earth. Unique manipulation work with great details inside it. (Image Source: Fayaz Mohamed)
save the earth

Screaming Hand. You can’t have quiet environment with this kind of hand. (Image Source: Lintza)
screaming hand

Some Skills. I doubt its usability, great concept though! (Image Source: Julio Mello)
some skills

Spander. Never thought the evolution of the spider could be that similar with human hands. (Image Source: Coltography)
spander

Working Fingers. I always imagine if I could just lie on bed and type on the keyboard like this. Beautiful hand by the way. (Image Source: saibia)
working fingers

You Are What You Eat. Amusing idea with classic quote, well done! (Image Source: Dimaci)
you are what you eat

You Will Never Be Alone. There’s always a helping hand for you. (Image Source: Olivia Ariferiani)
you will never be alone

Reflection

So now you see, hands and fingers could not only make interesting stuff, they could also be interesting by themselves! In fact I was quite doubtful that what would be the manipulation works of hands and fingers look like when I just started to search for them here and there, and I didn’t regret to compile them into a showcase, just like they didn’t fail to inspire and/or amuse me!
Which one would you choose to customize your hand to? Oh! The question should be, which manipulation piece you like in this showcase! Do let us know your favorite(s)!

Computers Can Read Your Mind!


This site will attempt to read your mind, please follow the instructions carefully.
Click here when you are ready to start.

This will open up


I shall now attempt to read your thoughts. Please mentally select a card and concentrate on it.

After you have memorized your card, please click here.



The MASTER wizard has selected your card and has removed it from the pile.


Surprised? Try it again with another set of cards.

Tuesday, February 19, 2013

Asilimia 60 chali matokeo ya kidato cha nne


MATOKEO ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika mwaka jana yametangazwa. Watahiniwa 240,903 sawa na asilimia 60.6 wamepata sifuri, huku wanafunzi 23,520 tu ambao ni sawa na asilimia 5.16 ndiyo waliofaulu na wengine 103,327 sawa na asilimia 26.02 wamepata daraja la nne.

Akitangaza matokeo hayo jana, Waziri wa Elimu Dk Shukuru Kawambwa alisema watahiniwa walikuwa 456,137, wa shule wakiwa 397,136 huku wa kujitegemea wakiwa 68,806.
“Matokeo ya mwaka huu yamekuwa mabaya sana, Serikali tunasikitika kutokana na hali hii lakini tuna mipango mbalimbali ya kuhakikisha tunaweza kutatua hili tatizo,” alisema Dk Kawambwa.

Dk Kawambwa alisema watahiniwa wote kwa ujumla waliosajiliwa walikuwa 480,036 kati yao wasichana 217,583 sawa na asilimia 45.33 na wavulana 262,453 sawa na asilimia 54.67 lakini waliofanya mtihani huo ni 456,137 sawa na asilimia 95.44, wengine 21,820 (asilimia 4.55) hawakufanya mtihani.

Alisema watahiniwa wa shule (school candidates) walikuwa 397,136 sawa na asilimia 96.57, miongoni mwao, 14,090 sawa na asilimia 3.43 hawakufanya mtihani huo kutokana na sababu mbalimbali zikiwamo utoro, ugonjwa na vifo.

Ufaulu kwa madaraja
Kwa mujibu wa matokeo hayo, watahiniwa waliopata daraja la kwanza ni 1,641, wavulana wakiwa 1,073 na wasichana 568, daraja la pili ni 6,453, wavulana wakiwa 4,456 na wasichana 1,997.

Waliopata daraja la tatu ni 15,426, wavulana 10,813 na wasichana 4,613, waliopata wa daraja la nne 103,327, wavulana 64,344 na wasichana 38,983 huku waliopata sifuri wakiwa 240,903, wavulana 120,664 na wasichana 120,239.

Shule 20 bora
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, wizara ilitaja shule 20 zilizofanya vizuri badala ya 10 kama ilivyozoeleka, kati yake 18 zilikuwa za watu binafsi na mashirika ya dini na mbili za Serikali.

Shule hizo ni pamoja na St.Francis Girls ya Mbeya, Marian Boys ya Pwani, Feza Boys ya Dar es Salaam, Marian Girls ya Pwani, Rosmini ya Tanga, Canossa ya Dar es Salaam, Jude Moshono ya Arusha, St. Mar’s Mazinde Juu ya Tanga, Anwarite Girls ya Kilimanjaro na Kifungilo Girls ya Tanga.

Nyingine ni Feza Girls ya Dar es Salaam, Kandoro Sayansi Girls ya Kilimanjaro, Don Bosco Seminary ya Iringa, St. Joseph Millenium ya Dar es Salaam, St. Iterambogo ya Kigoma, St. James Seminary ya Kilimanjaro, Mzumbe ya Morogoro, Kibaha ya Pwani, Nyegezi Seminary ya Mwanza na Tengeru Boys ya Arusha.

Shule 10 za Mwisho
Kwa upande wa shule 10 za mwisho, iliyofanya vibaya zaidi ni Mibuyuni ya Lindi, Ndame ya Unguja, Namndimkongo ya Pwani, Chitekete ya Mtwara, Maendeleo ya Dar es Salaam, Kwamndolwa Tanga, Ungulu Morogoro, Kikale ya Pwani, Mkumba na Tongoni za Tanga.

Matokeo yaliyofutwa
Jumla ya watahiniwa 789 wamefutiwa matokeo kwa sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na udanganyifu na kuandika matusi.

Baadhi ya udanganyifu huo ni karatasi za majibu kuwa na mfanano usio wa kawaida, kukamatwa na simu za mkononi kwenye chumba cha mtihani, kukutwa na karatasi au madaftari pamoja na kubadilishana karatasi za majibu.

Dk Kawambwa alisema matokeo ya watahiniwa 28,582 yamezuiwa kwa sababu ya kutolipa ada ya mtihani na wanatakiwa kulipa fedha hizo ndani ya mwaka mmoja.

Matokeo ya QT
Dk Kawambwa alisema waliosajiliwa kufanya Mtihani wa Maarifa (QT) walikuwa 21,310, wasichana 13,134 na wavulana 8,176 na waliofanya ni 17,137 sawa na asilimia 80.42... “Watahiniwa 5,984 kati ya 17,132 waliofanya mtihani huo wamefaulu.”

Kanisa lachomwa Zanzibar


SIKU tatu baada ya kuuawa kwa kupigwa risasi Padri Evarist Mushi Mjini Zanzibar, Kanisa la The Pool of Siloam lililoko katika Shehia ya Kianga, Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini Unguja, limechomwa moto na watu wasiojulikana na kuharibu madhabahu yake.

Kuchomwa moto kwa sehemu ya kanisa hilo, kumetonesha kidonda cha kifo cha Padri Mushi ambaye aliuawa kwa kupigwa risasi kichwani, Jumapili asubuhi mjini Zanzibar. Padri huyo anazikwa leo.

Akizungumza katika kanisa hilo, Naibu Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai upande wa Zanzibar ambaye pia ni Naibu Kamishna wa Polisi, Yusuf Ilembo alisema tukio hilo limetokea kati ya saa tisa usiku na saa 10 alfajiri ya kuamkia jana.

“Mlinzi aliona watu watatu wakiwa ndani ya eneo la kanisa na alipowakaribia wakaendelea kupanda ngazi kwenda juu. Baadaye walirudi na kuanza kumrushia mawe akakimbilia nje kupitia dirishani. Ghafla akaona moto unawaka, kumbe walikuwa wamechoma viti vya plastiki vilivyokuwa ndani,” alisema Naibu Kamishna Ilembo.

Mlinzi huyo, Mussa Jackson alisema: “Niliona watu watatu wakipita na baadaye wakawa wanarusha mawe, mwisho nikakimbia na kumwambia jirani na kumpigia simu mchungaji msaidizi. Wakati nakwenda kwa jirani nikaona moto mkali unawaka kanisani, sikujua wameuwashaje.”

Mchungaji Msaidizi wa Kanisa hilo, Penuel Elisha alisema tukio hilo ni la pili kwa kanisa hilo kwani mwaka 2011 zaidi ya watu 80 wakiwa na mapanga, nyundo na magongo walilivamia na kulivunja kabisa.

Alilishukuru Jeshi la Polisi kwa kuwahi kuwasaidia katika tukio la jana. Licha ya kutotaka kuonyesha uhasama na msikiti uliopo eneo hilo, Penuel alisema siku moja kabla ya tukio hilo viongozi wa msikiti huo walihoji uhalali wa kujengwa kwa kanisa hilo.

“Siku moja kabla ya tukio la mwaka 2011, viongozi wa msikiti walihoji uhalali wa sisi kujenga kanisa hapa. Sisi tukawaonyesha vibali vyote. Lakini kesho yake kanisa likabomolewa. Hatuna mgogoro na msikiti, kwanza hayo matukio ni ya kawaida tu hapa Zanzibar,” alisema Penuel.

Alipoulizwa kuhusu kuwapo kwa uhasama kati ya msikiti na kanisa hilo, Imamu wa msikiti huo, Hassan Migirimu alikanusha akisema kuwa mzozo huo ulikuwa kati ya kanisa na Sheha Assed Mvita ambaye amefariki dunia.

“Sisi hatuna mgogoro na hilo kanisa aliyekuwa akihoji uhalali wake ni marehemu Assed Mvita. Hatujawahi kugombana na kanisa hilo hata siku moja,” alisema Imamu Migirimu.

Padri Mushi kuzikwa leo
Padri Mushi anatarajiwa kuzikwa leo eneo la Kitope na ibada ya mazishi itaanza saa nne asubuhi katika Parokia ya Mtakatifu Joseph Minara Miwili.

“Baada ya kikao cha Baraza la Walei tulikubaliana kuwa ibada ya mazishi itafanyika hapa Parokia ya St. Joseph Minara Miwili na mwili wake utazikwa Kitope wanakozi kwa viongozi wa kanisa,” Askofu wa Kanisa Katoliki Zanzibar, Augustino Shao alisema jana.
Akizungumzia sababu ya Padri Mushi kuzikwa Zanzibar badala ya kusafirishwa kwenda kwao Moshi mkoani Kilimanjaro, Askofu Shao: “Padri Mushi ameishi Zanzibar tangu akiwa na miaka 18 hivyo ni mkazi wa Zanzibar... Hakuna sababu ya kusafirishwa. Mimi ndiye niliyekuwa mlezi wake hivyo hakuna sababu ya kumpeleka kuzika kwa askofu mwingine.”

Mmea wa kukuza sehemu za siri wagundulika


KWA kutumia mabango, lengo likiwa kutangaza kazi zao, waganga wengi wa tiba asilia wamekuwa wakijinadi kuwa wanatoa tiba ya kurefusha maumbile ya siri ya wanaume, kukuza makalio au matiti.
Katika mitaa ya miji na majiji nchini, siyo jambo la ajabu kukutana na mabango hayo, ambayo hata hivyo kushamiri kwake kunaleta picha kwamba ni kutokana na uhitaji mkubwa wa huduma hiyo nchini, huku watoa huduma husika wakinufaika kwa kujikusanyia kiasi kikubwa cha fedha kutoka kwa wahitaji.
Pia dawa zinazodaiwa kukuza makalio maarufu kama ‘mchina’, zimekuwa gumzo baada ya kuingia nchini, huku zikielezwa kukosa ubora na kwamba zina madhara makubwa.
Lakini, sasa unaweza kuachana na dawa hizo za Kichina, baada ya kugundulika mmea wenye uwezo wa kukuza makalio, matiti, pamoja na kurefusha uume.
Taarifa za kiutafiti zinautaja mti huo kwa jina la Mvunge, ukiwa na uwezo wa kukuza makalio, matiti na kurefusha uume.
Kaimu Msajili wa Tiba Asili na Tiba Mbadala nchini, Dk Naomi Mpemba anasema kuwa mmea huo ambao huwa ni mti mkubwa upo na kwamba una uwezo mkubwa wa kukuza maumbile hayo.
Anabainisha kuwa mmea huo ambao hukua na kuwa mti mkubwa huzaa matunda yanayotumika kama dawa na unapatikana wilayani Korogwe Mkoa wa Tanga, Pwani, Mbeya, Morogoro na baadhi ya mikoa nchini.
“Tulifuatilia na kutambua kuwa mti huo upo maeneo hayo na unatumiwa zaidi na waganga, hata picha za mti huo tunazo,” anasema Dk Mpemba na kuongeza:
“Jina jingine unaitwa Miegeya, mara nyingi unastawi katika maeneo yenye ardhi ya unyevunyevu, una tabia ya kustawi kama Mwembe na matunda yake huonekana kufanana na Mbuyu.”
Hata hivyo, anasema kuwa asilimia kubwa ya waganga wa tiba asili na tiba mbadala wanaotumia dawa hiyo ni wale wasiokuwa na usajili kutoka baraza hilo, hivyo kufanya huduma hizo kinyume cha utaratibu.
“Kwa mujibu wa masharti yaliyopo katika agizo la Serikali kwa waganga hao, miiko, maadili na utendaji wa kazi zao umeelekeza kuwepo na usiri na kuaminiwa, kwa hiyo sisi tunaamini wanaojitangaza kutibu mambo hayo ni matapeli,”anasema Dk Mpemba.

Sunday, February 17, 2013

KUMBE GOLDIE ALIKUWA MKE WA MTU???...MUME WAKE AJITOKEZA NA USHAHIDI WA PICHA


Mwanaume wa kizungu aitwaye Andrew Harvey, anayedai kuwa amemuoa msanii wa muziki nchini Goldie Harvey aliyefariki juzi usiku amejitokeza na kupost picha za ndoa na mahaba wakiwa pamoja.

Andrew alishare picha hizo pia kwenye mtandao wa twitter na kuliambia gazeti la Nigeria Entertainment Today kuwa ana admin access za akaunti za mitandao ya kijamii ya marehemu Goldie.
goldie-his-9
goldie-hus3


goldie-hus-7-600x450
goldie-hus5-

goldie-hus-8-460x345

goldie-wed
goldie-wed-3
goldie-wed-4-460x345
Hii ni interview exclusive kati ya Andrew na gazeti :

When did you wed her? And were you still married as at when she passed yesterday?

We wed in December 2005 and were very much married when she passed indeed I was talking to her on arrival in Lagos before the fateful event

I see you moved back to England. Do you have another family?

I work in Malaysia, we have a private home in UK, I do not have a second family

Also did you have kids together?
No kids, we were planning this year

There had been speculation for many years that she was married to an ‘oyinbo’ man. But no one could lay hands on anything. Why did you keep it a ‘secret’?
Our private life is nothing to do with work life, there has to be a balance

How did you hear of her death? I found out you last saw her in December?

I was talking to her on arrival in Lagos before the fateful event

How did you meet her? She must have been very young…

I met her at a friend’s leaving party and fell in love straight away, but had to work hard to persuade her I was genuine


So you will be planning to come here for burial rites…

Yes I have applied for visa and shall come next week

But how did you manage the Prezzo drama?
Prezzo was part of BBA game, just like in the movies, there was nothing to fear

But funny it dragged way beyond BBA
It dragged because the media dragged it, other wise it would have died naturally. Prezzo will say anything to get attention

Do you think he fell in love? And did you ever think Susan liked him for a minute…?

People fall in love and it’s not impossible to love more than one person, but there are different levels. She liked him initially, but began to despise him and distanced herself as he tried to use her she complained he was very manipulative

You have direct access to her password? The memories album was posted on her twitter. Or you requested for an admin to post?

I am an official admin. I don’t need any password but my own. It was authorised by Goldie

One last question: so much speculation on cause of death. I see from your facebook timeline that you’ve followed the reports. Have the doctors/family/label told you what the cause of death is?

An autopsy is being carried out and we will await results. The rest is speculation and hearsay

And did she have any medical condition?

She had no medical condition
Is it true she was in India recently?
She was in Malaysia, we spent Christmas together away from prying eyes
 
What will you miss most about her?
Everything, she was the most beautiful person I ever met, no moment was wasted. Sweet, intelligent, sexy and a magnificent cook!!!!

Kisa na Mkasa

Bi Susan Root amekuwa akiugua ugonjwa wa muziki kucheza kwenye bongo lake kwa miaka mitatu mfululizo.
Bi Susan Root ahangaishwa na muziki bongoni
Kibao ambacho Bi susan anakisikia kikicheza ni kibao 'How Much is that Doggie in the Window' cha Mwanamuziki Patti Page kilichokuwa maarufu miaka ya 50.
Wataalam wanasema huu ni ugonjwa ujulikanao kama Tinnitus- Ugonjwa unaosababisha muziki au sauti uliyosikia utotoni ikijicheza akilini.

Afanya mapenzi na Ambulensi

Akamatwa akifanya mapenzi na Ambulensi
Raia mmoja wa Uingereza akamatwa akifanya mapenzi na Ambulensi.. hii ni Baada ya Bwana Callum Ward mwenye umri wa miaka 25 kujipasha mtotisha kwa kula njugu karanga. Baada ya kepelekwa mahakamani bwana Callum Ward atozwa faini ya Pauni 60(£60) na kepwa adhabu ya kufanya kazi katika eneo la umma bure kwa miezi sita.
Na huko Scotland sikitambo sana bwana mmoja alikamatwa uchochoroni akifanya mapenzi na baiskeli yake. Hata hivyo magazeri ya Uingereza likiwemo gazeti la Telegraph hayakueleza alikuwa akifanya mapenzi vipi na baiskeli hiyo.

Wapigana wakati wa Mtahalo kwenye TV Show

wabunge wapigana kwenye TV show
Wabunge wawili wapigana makonde wakati wa kipindi cha mdahalo kwene runinga ya kitaifa huku Georgia.
Huko Lebanon wabunge wengine wawili pia warushiana glasi za maji na baadae kupigana ngumi vilevile wakati wa mdahalo kwenye Televisheni. Hii ni baada ya wabunge hao kuhitalafiana kuhusu vita vinavyoendelea nchini Syria baina ya waasi na serikali ya Rais Basher al Assad.