Sunday, August 11, 2013

Miss Hong Kong finalist denies being girl inside nude photo


First, they were criticised for being 'ugly' and 'weird'. Then, they were mocked for having a fleshy midriff.
But a majority of the Miss Hong Kong finalists probably don't have it as tough as Tammy Ouyang, who was blasted for having undergone plastic surgery and also for being flirtatious when interacting with people online.
The task of reversing that negative impression was made even more insurmountable after she was recently embroiled in a nude photo scandal.

According to a report by Hong Kong media outlet Nownews, Tammy Ouyang was said to resemble a girl who posed topless with a guy hugging her from behind in a photo that has been circulating online.
When grilled over the photo, the 20-year-old vehemently denied that she was the girl at the centre of this controversy, and swore that she was innocent.

Despite that, she found herself under the spotlight once more after she posted a photo which showed off her chest, accompanied by a comment that read "Do you want to kiss my ball?"
Her post received flak from netizens, which led to her coming out to apologise for her actions.
But it leaves one to wonder if Tammy will finally be able to let her beauty and wit do the talking for her, or if she is just one step away from self-destruction.
SYDNEY - Two commercial planes collided on the tarmac at Australia's Melbourne airport on Saturday, officials said, damaging the aircraft but causing no injury to passengers. The crash, between a reversing Virgin Australia 737 and an A320 Jetstar craft, saw one jet lose part of its tail cone and the other suffer wing damage, according to engineers who witnessed the damage.
"There were no injuries from (an) accident involving two aircraft which made contact while taxiing this morning, (which is) now under investigation," Melbourne Airport said on its Twitter feed.
"Airport operations as normal. Two gates temporarily out of use pending investigation."
The Virgin aircraft, bound for Maroochydore and carrying 175 passengers, hit an empty Jetstar plane as it was leaving the gate for take-off at about 9:30am, Virgin said.
Its wing-tip was damaged but the Jetstar aircraft lost the end of its tail cone, said engineer Paul Cousins, who described it as a lucky escape and put the damage bill at at least A$3 million for each airline.
"They were very lucky that the winglet did not go into the (tail cone's) auxiliary power unit, which is a small jet engine that runs in the back of the aircraft," Cousins, who is president of the national aircraft engineers' union, told The Age newspaper.
"It could have caused that engine to rupture... bits and pieces could have come out it and gone flying everywhere."
Disembarking Virgin passenger Luke Grima said there was a serious thud and exclamations of "Oh my God we've just hit another plane" as the jets collided.
"It was as if we ran over something," Grima told the Herald Sun newspaper.
"When we looked out the wing, we could just see the end of the wing had come off and the other Jetstar plane has got some pretty serious damage to its rear."
The Australian Transport Safety Bureau said there were "very well-practised procedures in place" for aircraft gate manoeuvres and it had launched a probe.
"The ATSB is investigating the ground collision in Melbourne," the authority said.
- See more at: http://www.relax.com.sg/article/news/2-planes-collide-at-australia-airport#sthash.dmisMb08.dpuf

New case of H7N9 bird flu confirmed in China: officials


BEIJING - A Chinese poultry worker was confirmed as having contracted the deadly H7N9 bird flu virus, health officials said, the first case in the southern Guangdong province.
The 51-year-old woman is in a critical condition after she was admitted to hospital on August 3 following signs of a fever, the Guangdong Provincial Health Department said on Saturday.
"She was a poultry slaughtering worker at a local marketplace," the local health bureau said in a statement on its website.

A total of 134 cases have now been reported on the Chinese mainland, including the Guangdong case.
State news agency Xinhua said Saturday that 44 people had died of the disease - which includes a recent fatality following the release of the latest official figures a month ago.

The virus was first reported in late March, with most cases confined to eastern China, and only one reported outside the mainland, in Taiwan.
Scientists reported last week the first likely case of direct person-to-person transmission of the H7N9.
However, they told people to "not panic" as the virus's transmissibility remained "limited and non-sustainable".

Local health authorities Saturday lifted medical observations on 54 of 96 people who were placed under monitoring after they had close contact with the Guangdong patient, Xinhua said.
The patient had worked in markets in Boluo, which is about 129 kilometres (80 miles) east of the provincial capital Guangzhou.

Many of those infected with the virus had direct contact with birds, commonly at poultry markets, which have been closed by officials across China to halt the spread of the disease.
Cases of H7N9 have dropped significantly in recent weeks.

In the southern Chinese city of Hong Kong, which borders Guangdong province, a government spokesman Sunday said the territory is closely monitoring the virus for any developments.

Waingereza waliomwagiwa tindikali waitesa Serikali


Dar es Salaam. Siku tano baada ya raia wawili wa Uingereza kumwagiwa tindikali visiwani Zanzibar, Serikali kupitia vyombo vyake vya uchunguzi imeibuka na kueleza kuwa bila wananchi kutoa taarifa za ushahidi wa uhalifu wa aina mbalimbali, ni vigumu kuwabaini wahusika.

Kauli hiyo ilitolewa kwa pamoja jana na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Said Mwema, Mkemia Mkuu wa Serikali, Profesa Samwel Manyele na Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali (DPP) Eliezer Feleshi, katika mkutano wao na waandishi wa habari, uliolenga kueleza mikakati ya kupambana na matumizi yasiyo sahihi ya tindikali nchini.

Katika ufafanuzi wao walisema, “Kutoa taarifa ya uhalifu wa jambo lolote siyo hiari, ni jukumu la kisheria na kikatiba,” huku Feleshi akitolea mfano jinsi Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari nchini, Dk Steven Ulimboka alivyoshindwa kutoa ushahidi wa tukio lililomkuta la kutekwa, kupigwa na kisha kutupwa katika Msitu wa Mabwepande, hivyo kufanya uchunguzi kuwa mgumu.

Agosti 7, mwaka huu raia wawili wa Uingereza, Kate Gee (18) na Kirstie Trup (18) walimwagiwa tindikali katika maeneo ya Mji Mkongwe, Zanzibar na vijana wawili waliokuwa wakiendesha pikipiki aina ya Vespa, Waingereza hao wa walisafirishwa siku tatu zilizopita kurudi kwao kwa ajili ya matibabu.

Kuhusu polisi inavyopambana na uhalifu huo aliouita kuwa ni ‘Uhalifu mpya nchini’, IGP Mwema alisema:
“Mkemia Mkuu, Polisi hawawezi kubaini matukio haya bila ushirikiano wa wananchi kwani Tanzania ni nchi kubwa na ina watu zaidi ya milioni 45. Watu wanaingiza tindikali lakini wapo ambao wanatumia tindikali hiyo kwa matumizi haramu.”

Alisema tindikali inaweza kutolewa kwa ajili ya shughuli za viwandani, maabara na usafirishaji na kwamba watu wanapotaka kuitumia kwa ajili ya kufanya uovu wanaweza kugundulika kupitia kwa taarifa zitakazotolewa na wananchi, kwa sababu wanakuwa wamezungukwa na jamii ya watu mbalimbali.
“Kama wanataka kuitumia tindikali kwa ajili ya matumizi mabaya wananchi wanaweza kugundua kwa sababu wanakuwa wanaishi karibu na watu hao, mwananchi mwema anaweza kuwa chanzo kizuri cha kuweza kuzuia na kutoa taarifa za kuwabaini wahusika,” alisema Mwema.

Alisema wananchi wanatakiwa kutambua kuwa shughuli za kibiashara za kuwawezesha kupata kipato cha kila siku hazitafanikiwa kama hakutakuwa na ustawi wa amani.
“Tishio la tindikali linaweza kutia hofu na taharuki katika jamii, hatutaki jambo hili liendelee nchini, tunaamini wazi kuwa hakuna mtu anayeweza kufanya uhalifu akawa peke yake bila kujulikana na mtu hata mmoja,” alisema na kuongeza:

“Tunaweza kubaini kupitia kwa mhusika (mwathirika), mhalifu mwenyewe (anayetenda tendo husika) na mazingira yaliyowezesha mtu ammwagie mwingine tindikali, tukitumia nafasi hizo vizuri, moja kati ya vyanzo hivyo vinaweza kutusaidia kutambua wahusika.”

Japan kujenga kiwanda cha pikipiki


Dar es Salaam. Serikali ya Japan imesema ina mpango kabambe wa kukuza uchumi wa Tanzania, ikiwa ni pamoja na kampuni kubwa duniani za Honda na Panasonic kujenga viwanda vitakavyokuwa matawi yake hapa nchini.
Uamuzi na msimamo wa Japan umetangazwa jana jijini Dar es Salaam na Waziri wa Uchumi, Biashara na Viwanda wa nchi hiyo, Toshimistu Motegi alipokutana na kufanya mazungumzo na Rais Jakaya Kikwete, Ikulu.

Taarifa ya Ikulu iliyosambazwa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, ilimnukuu Motegi akisema: “Kwa kuanzia kampuni mbili za Honda na Panasonic zimekubali kujenga viwanda nchini, kimoja kwa ajili ya kutengeneza pikipiki za Honda na kingine kwa ajili ya kutengeneza vifaa vya umeme.”

Akaweka msisitizo: “Huu ni mwanzo tu Mheshimiwa Rais (Kikwete) kwa sababu kama nilivyosema kuwa tunataka Tanzania kuwa nchi ya mfano ya uwekezaji wa Japan katika eneo hili la dunia, na namna hiyo kwa pamoja tutakuwa tumeshirikiana katika kuongeza ajira kwa wananchi wa Tanzania.”

Waziri huyo pia alisema kuwa baadhi ya kampuni za Japan zina mipango ya kuwekeza katika kilimo, na hasa kilimo cha pamba na kuanzisha viwanda vya nguo hapahapa nchini.
Motegi alisema mikakakati mingine ya kuisaidia Tanzania ni pamoja na kushiriki uboreshaji wa Reli ya Kati, kusaidia kupanua na kuboresha Bandari ya Dar Es Salaam.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo ya Ikulu, mkakati huo wa Japan unatokana na ziara ya Rais Kikwete nchini humo, Juni mwaka huu.
“Japan imeamua kuanzisha ushirikiano mkubwa zaidi na Tanzania ambako nchi hiyo itaifanya Tanzania kuwa nchi lengwa ya kuwekeza na kuifanya kuwa kitovu cha biashara na uwekezaji katika Afrika,” inasema sehemu ya taarifa hiyo.

Taarifa hiyo iliweka wazi kuwa Waziri Motegi alimweleza Rais Kikwete kuwa ametumwa na Waziri Mkuu Abe, kufuatilia mazungumzo kati yao na kutangaza rasmi kuwa Japan imeiteua Tanzania kuwa nchi lengwa na kitovu cha uwekezaji Afrika Mashariki na Afrika kwa jumla.
Waziri Motegi amesema kuwa katika kufanikisha mkakati huo aliandamana na kundi la wafanyabiashara wa Japan ambao wanaendelea kufanya mazungumzo na wafanyabiashara wa Tanzania, kuona jinsi gani wanavyoweza kusaidiana katika kuwekeza katika uchumi wa Tanzania.

Ponda adaiwa kujeruhiwa kwa risasi


Morogoro. Hali ya wasiwasi imetanda mjini Morogoro baada ya Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda, kudaiwa kupigwa risasi begani wakati polisi wakiwa katika harakati ya kumkamata.
Habari kutoka katika eneo hilo zinadai kuwa Ponda alipigwa risasi saa 12:25 jioni, wakati akisindikizwa na wafuasi wake kuelekea katika Msikiti wa Mungu Mmoja Dini Moja, baada ya kumaliza kutoa mhadhara katika kongamano lilifanyika mjini Morogoro jana.
Tukio hilo lilitokea katika Barabara ya Tumbaku, baada ya kumalizika kwa mkutano wa kongamano lililoandaliwa na Jumuiya ya Wahadhiri wa Kiislamu Mkoa wa Morogoro.
Mwenyekiti wa Kongamano hilo, Sheikh Idd Mussa Msema aliliambia Mwananchi Jumapili jana kuwa Ponda alipigwa risasi sehemu ya bega, na askari polisi na kwamba aliwahishwa kutibiwa katika Hospitali ya Kiislamu iliyopo eneo Msamvu mjini Morogoro.
Hata hivyo, wakati Sheikh huyo akisema hivyo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Faustine Shilogile alikanusha madai ya kuwa polisi wamempiga risasi.
Alisema polisi walifika katika eneo hilo kwa ajili ya kumkamata Ponda, baada ya kumaliza mhadhara wake na kwamba wakati wakitaka kumkamata ndipo wafuasi wake wakawazuia polisi na kulazimika kupiga mabomu ya machozi na risasi hewani kuwatawanya.
Katika tukio hilo inadaiwa kuwa Sheikh Ponda aliyekuwa katika gari ndogo huku wafuasi wake wakimsindikiza kwa miguu, walipofika eneo la gereji mabomu ya machozi yalipigwa na polisi waliokuwa katika magari aina ya defender wakati wakijaribu kuwatawanya wafuasi hao.
Baada ya tukio hilo baadhi ya wafuasi wake walimchukua Sheikh Ponda kutoka katika gari lake na kumkimbizia katika gereji moja, kisha wakatoka wakiwa wamempakia katika pikipiki na kumpeleka katika Hospitali ya Rufaa ya Morogoro.
Mlinzi mmoja wa lango namba moja alisema kuwa ulifika msululu wa pikipiki zaidi ya 50, lakini pikipiki zote zilizuiliwa isipokuwa iliyokuwa imembeba Sheikh Ponda na kwenda naye mpaka mapokezi.
Aidha, alisema wakiwa katika eneo hilo magari kadhaa ya polisi yaliingia katika lango la hospitali hiyo. Hivyo wafuasi wa Sheikh Ponda wakalazimika kumbeba begani na kutoroka naye kupitia lango namba mbili.
Taarifa zilizopatikana baadaye zinadaiwa kuwa Sheikh Ponda alikimbizwa katika Hospitali ya Kiislamu ya Msamvu.
Baadhi ya watu walidai kumwona Sheikh Ponda akiingizwa katika Hospitali ya Rufaa Morogoro, lakini walishangaa alivyotoweka.