Wednesday, March 2, 2011

Utafiti kwenye sanaa na wasanii

Napenda kufahamu kama kuna mtu aliyefanya utafiti (research) kwenye kuboresha maslahi ya wasanii na ubora wa kazi zao. Pia kama kuna mtu anayefahamu journal yeyote Tanzania, au Afrika inayohusu kazi za wasanii.

No comments:

Post a Comment