Friday, December 30, 2011

9 of the most incredible ice hotels

9 of the most incredible ice hotels
IT IS just like any standard hotel room, with a bed, a minibar, bathrobes and some even provide two pairs of bedroom slippers. Except for the room temperature, which hovers just above freezing.

Imagine taking a shower before bed, not drying your hair properly and it freezes up as you sleep.

This is what you can expect of a stay at a typical ice hotel.

It is winter in the Northern Hemisphere again and ice hotels around the the world have been constructed to attract tourists seeking chilly vacations with nothing more than sub-zero temperatures.

While some offer unrivalled views of nature, and others boast of world-class sculptural designs, they all offer a stay of a lifetime and you would've earned for yourself some bragging rights if you survive the night.

Kim's death no joke for 'Dear Leader' double

SEOUL - He's been cursed in the street, appeared in a movie and perfected the wave of North Korea's "Dear Leader". Now Kim Jong-Il's leading look-alike feels that part of himself died along with the late ruler.
Passers-by stop and stare as a short, stout man with a bouffant hairdo, large glasses and olive green suit stands at the door of his small engraving shop in northern Seoul.
For more than a decade Kim Young-Sik has been moonlighting as an impersonator of North Korea's longtime leader.
But since Kim Jong-Il died on December 17, the 61-year-old father of two fears he may have to hang up his tailor-made suits after an illustrious career that saw him appear on Japanese TV and in a Middle East chocolate commercial.
"I feel very empty, as if a part of me died. People try to comfort me, saying some figures are more famous when they're dead, but I don't think it will be the case with Kim."
As a child, he never dreamt of becoming a communist ruler, and fell into the role almost by accident.
"One day after I got out of the shower and my hair was very curly, people told me I looked like Kim Jong-Il," he explained, during a break from serving customers at his store in a working-class district of the South Korean capital.
His break came with a role in the 1995 South Korean film "The Rose of Sharon Blooms Again" about a South Korean scientist who secretly helped the North develop nuclear weapons to prevent a Japanese invasion.
Since then he's rubbed shoulders with celebrities and world leaders - or at least people who look like them - including George W. Bush and Vladimir Putin impersonators.
His career began to take off after then-South Korean president Kim Dae-Jung began the "Sunshine Policy" of reconciliation with the North in the late 1990s. "People started to notice me and invite me to all sorts of television stations," he said.
Outside his home country the real Kim was often seen as a figure of fun, lampooned in the 2004 hit puppet movie "Team America" and an easy target for comedians.
But it's not always easy playing the role of a man who presided over a deadly famine, locked tens of thousands of his own people up in prison camps and tested a nuclear bomb.
"Some people curse at me and call me 'dictator', but those who know me wave and shout 'Kim Jong-Il!'. Then I would wave back at them and show them some of Kim's moves," he said.
Keeping up appearances takes some work. He perms his hair every three months and before Kim's death closely followed changes in his look and demeanour, even going on a diet when the late leader lost weight following a 2008 stroke.
"Back when Kim Jong-Il was young, I used to use hairspray, but after he got old and started to lose hair, I didn't have to do anything."
He has four different suits made in the style of the late ruler along with five pairs of platform shoes.
"Before, I used to wear the outfits almost everyday, but now I just wear them once in a while and when I'm invited to be Kim Jong-Il at an event. It's a shame I won't be able to wear them anymore," impersonator Kim said.
He regrets never having had the chance to meet the real Kim, or even visit North Korea, which in the past denied his visa request.
"Kim was a great man in a way because although he was a dictator, he built a country like no other. Do you think anyone could do it?"
Now, as Kim's youngest son Kim Jong-Un inherits the world's last communist dynasty, the late leader's double thinks it is time to step aside for a new generation.
"I'd like to do more acting as Kim Jong-Il, but they'll find someone new for Jong-Un. They asked if my son looked like him but he doesn't or I would have sent him to an audition," he said wistfully.

Cabby bashed with wine bottle for 'taking longer route'



By Zaihan Mohamed Yusof
The two men shouted at him to stop the taxi. They were angry that he had taken the "wrong" route. Spotting a bus stop ahead, Mr Muhamed Malek Mohd Amin did what he was told.
Just as he was about to stop the car, he heard a loud crack and felt wetness spreading over his upper body.
It was blood.
He had been struck on the head with a wine bottle by one of the passengers, he said.
When Mr Muhamed picked up the two men in the Holland area just after midnight on Christmas Eve, they did not seem aggressive.
The men, who appeared to be in their 40s, had just left a Christmas party and were heading to Hougang.
The cabby remembered them wishing the owner of the house "Merry Christmas".
While he was driving towards Hougang, the two men continued talking to each other.
But the jovial attitude soon disappeared, he said.
Said Mr Muhamed, a 47-year-old Trans Cab driver: "I don't know why it took the two passengers so long to realise I had taken the 'wrong' route.
"Logically speaking, taking the CTE was the shortest route, I thought.
"But on Serangoon North Avenue 3, one of them suddenly shouted at me, accusing me of trying to take the longer route."
Almost immediately, his passengers hurled vulgarities at him.
Mr Muhamed assured them he was on the way to their destination. He even drove a little faster in the hopes of calming them down.
Mr Muhamed, whose forehead was still bandaged when we spoke to him yesterday, said of the attack: "I was taken by surprise and I was disoriented. I couldn't see anything with blood dripping from my head into my eyes.
"I wanted to get out of the taxi, but the man who had attacked me was now standing outside the taxi holding the jagged edge of the bottle."

I was trying to protect my daughter: Quan Yi Feng


Local television host Quan Yi Feng was sentenced to 15 months' probation on Thursday but the 37-year-old said her actions were an attempt to protect her daughter.
At a press conference after District Judge Low Wee Ping granted her probation this morning, she said in Chinese: "I have thought long and hard about what to say to the media and my fans. I am really sorry about what has happened. However, I hope everyone can understand that while my behaviour might have fallen foul of the law, but in actuality, I was doing my best to protect my daughter, who was injured, insulted and frightened."
The Taiwan-born Quan was involved in an altercation with Mr Chan Swee Kong, a taxi driver, last June.
She was charged with damaging a taxi meter, removing the receipt printer of the taxi and spilling water on it. Two other charges of kicking the right passenger door of the taxi and pushing and attempting to kick the 52 year old cabbie were also taken into consideration.
On June 26 last year, Quan, her daughter and her personal assistant hailed Mr Chan's cab off Upper East Coast Road. When Quan asked Mr Chan to help load her luggage into the cab, he refused, citing an old injury he did not want to aggravate. Quan then criticised him for poor service.
Shortly after the journey started from Quan's home towards the airport, Mr Chan slammed on the brakes to avoid a collision. This threw Quan and her daughter forward. Quan and Mr Chan then got out of the taxi and started arguing, resulting in Quan committing mischief.
Quan, who was accompanied by her lawyer Subhas Anandan and great aunt Dr Mary Chen Ming Li at the press con said: "I hope everyone learns some lessons from my case. The mistake that I have made this time, I admit that I could have dealt with it better. But because I am a single mother, I was over protective of my child. So having been provoked, I acted in a wrong way. In the past 16 months, no one really knew the real version of the story. I always felt that there was no point explaining all by myself, but I understand how the law has casts a bad light on me in the public eye."
Her lawyer, Subhas Anandan, said that the sentence was a fair one and praised the courts for being compassionate.
He said: "Like the judge said, for a person of her age and position, it is very difficult to get probation. But she is given probation not because of who she is, she is given probation because the facts of the case justifies it, together with her medical background. In fact, the courts are ready to be flexible when it is necessary to show compassion and I think this charge has been very good in that."
Quan suffered from post-natal depression after the birth of her daughter in 1999 and has received treatment for severe depression, sleep problems and anxiety since 2007. She will continue her treatment during her probation period.
District Judge Low Wee Ping noted these circumstances but said they did not condone her actions. The judged warned Quan that any breach in probation conditions could see her return to court for sentencing of her offence as well as any new offence.
The conditions of Quan's probation include not travelling overseas without the permission of her probation officer and to report in within 24 hours of her return. She also has to attend psychiatric treatment and psychological counselling for anger management issues.
Quan, who is a single mother, said that the drawn out court case and media attention has taken a toll on her and her daughter but it has also brought them closer.
She said: "Towards this whole episode, she was mostly optimistic. After this case, I think the both of us have become stronger, closer and brave. Because if you never had a crisis, you would never know that a single mother would get hurt easily. Only after people have laughed at us, do we become stronger. My daughter feels that, yes, even if she had hurt herself in the incident, even if someone laughed at her for not having her father around, but she told me that she has the world's best mother. This to me, is the most heart warming thing she has ever said to me. "

Father held over chaining and starving his children

Police have arrested a father of two from Raja Uda for chaining his 2-year-old son and 6-year-old daughter in the bathroom and starving them for being disobedient.
Luckily, the children's cries were heard by a neighbour and they were rescued by the authorities.
Seberang Perai Utara district police chief Assistant Commissioner Zulkifli Alias said the man was arrested at a double-storey shoplot in Taman Mawar after his children were rescued at 8.40pm on Wednesday.
Zulkifli said based on initial investigations, the man, in his 40s, had chained the two children in the bathroom before leaving for work about 3pm.
The individual, who works as a delivery man had chained the children to teach them a lesson for being disobedient.
His Thai wife had walked out on him and the family about a month ago.
Zulkifli said the children's cries were heard by a neighbour who alerted the neighbourhood's Volunteer Patrol Team members who then contacted the police and the Welfare Department.
"The girl told the neighbour that their father had chained them in the bathroom and they were starving," Zulkifli said.
He said the authorities forced open the house door to free the children.
The rescuers gave the children some food before sending them to the Seberang Jaya Hospital where they have been warded for observation.
Zulkifli said there were no signs that the children were physically abused but police have obtained a four-day remand order beginning yesterday against the father to facilitate investigations under the Children Act 2001.
Meanwhile, the state Health, Environment and Caring Society Committee chairman Phee Boon Poh, who was present during the rescue operation, said the Welfare Department had also started its own investigations.
He said pending the results of the investigations, the siblings would be placed under the care of the department and the parents would be ordered to attend counselling.

Fast Five is most pirated film of 2011


Action movie Fast Five was the most pirated movie of 2011, reported BBC.
Part five of the Fast and Furious film series was downloaded 9.2 million times, according to figures from file-sharing blog Torrent Freak.
The Hangover II came in second with 8.8 million downloads, followed by Thor, thriller Source Code and I Am Number Four.
Figures for the entire top 10 pirated movies this year have dropped in comparison with last year.
James Cameron's Avatar, which was downloaded 16.6 million times, was the top pirated movie in 2010. Cameron had previously suggested that making movies in 3D would help prevent films from being downloaded illegally, said the BBC report.
Only two films in this year's top ten list, Harry Potter and Thor, were released in 3D. The low number of 3D films could be attributed to a decline in the popularity of the format due to the difficulty in pirating it.
The drop in pirated films might also be due to an increase in file sharing and streaming sites, said Torrent Freak. Such activities do not count towards download figures.
Data for the list is collected from several sources, including reports from thousands of BitTorrent trackers, said BBC.

EAC kukarabati reli ya kati

JUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC) imepanga kukarabati reli ya kati ili kuweza kuendeleza sekta ya reli nchini hapa kutokana na kutoridhishwa na maendeleo ya sekta hiyo. Reli hiyo ni moja ya miradi iliyopewa kipaumbele kati ya miradi 244  katika uendelezaji wa sekta ya miundombinu ya kiuchumi katika nchi wanachama wa EAC katika kipindi cha miaka 10.

 Akizungumza jijini Dar es Salaam, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Miundombinu ya Uchumi na Huduma za Jamii wa Wizara ya Afrika Mashariki, Dk Barthlomeo Rufunjo alisema kasi ya uendelezaji wa sekta ya reli nchini si ya kuridhisha kutokana na changamoto zilizopo.

“Kasi ya uendelezaji wa sekta ya reli ndani ya nchi yetu hairidhishi na hii inatokana na changamoto zinazoendelea kuikabili sekta hii, Baraza la Mawaziri wa sekta hiyo ndani ya EAC limeagiza kuchukua hatua za kuendeleza sekta hii nchini,” alisema Rufunjo.

Alisema baraza hilo liliridhia sekretarieti ya jumuiya hiyo ifuatilie kwa karibu msaada ulioahidiwa na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), ukiwa na lengo la nchi wanachama kuteua wataalamu wa masuala ya reli kufanikisha shughuli hiyo.

Rufunjo alisema wataalamu hao watasaidiana na sekretarieti iliyoteuliwa katika kuendeleza hatua mbalimbali za kuendeleza reli katika nchi tano ambazo ni wanachama wa EAC.  Alisema miradi mengine iliyopewa kipaumbele ni sekta ya usafiri wa majini na bandari kutokana baada ya kuonekana haijapiga hatua ya kurudhisha  katika ngazi ya jumuiya.

 “Msukumo mpya wa kuiendeleza sekta hii ni pamoja na kuandaa mkakati wa uendelezaji kwa Baraza la Mawaziri kupitisha hadidu za rejea za maandalizi ya mkakati huo,” alisema Rufunjo.

Alisema katika kuimarisha sekta ya utabiri wa hali ya hewa wataalamu wa majanga, wataalamu wa hali ya hewa nchini watapata fursa ya kwenda kujifunza katika Kituo cha Utabiri na Majanga (ICPAC) kilichopo Nairobi nchini Kenya.

 Alisema katika mkutano wa saba wa Baraza la Mawaziri uliofanyika Oktoba mwaka huu Mombasa  ulijadili hali ya upatikanaji wa umeme na utekelezaji wa mpango kabambe wa umeme wa jumuiya  na kupokea taarifa juu ya hatua  mbalimbali zilizofikiwa na nchi wanachama. “Mradi huu utahusika katika uendelezaji wa sekta ya nishati  na upatikanaji wa nishati endelevu ya mafuta na umeme   ili kuweza kuondoa tatizo hilo katika nchi wanachama,” alisema Rufunjo.

Alisema kuwa katika uchunguzi ilibainika kwamba changamoto zilizokuwepo katika sekta hiyo ni pamoja na mabadiliko ya tabia nchi, ukuaji wa matumizi kutokana na ongezeko la mahitaji na uwekezaji mdogo katika sekta hiyo.

Pamoja na miradi hiyo mkutano huo pia ulipokea upembuzi yakinifu wa ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Kampala hadi Kigali na kuendelea hadi Bujumbura.

Kitanzi cha Hamad Rashid mikononi mwa Maalim Seif leo


KATIBU Mkuu CUF, Seif Shariff Hamad leo anaongoza Kikao cha Kamati ya Utendaji ya chama hicho kitakachopitia tuhuma za uvunjaji katiba zinazomkabili Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed na wenzake 12.

Wakati Maalim Seif akitarajiwa kuongoza kikao hicho, tayari Hamad Rashid ametangaza kutokuwa na imani na mtendaji mkuu huyo wa CUF baada ya kunasa kile alichokiita, waraka wa siri wa kiongozi huyo, unaoeleza namna ya kumfukuza uanachama.

Wachunguzi wa mambo ya siasa wanatafsiri mkutano wa leo chini ya  Maalim Seif dhidi ya hasimu wake kisiasa Hamad Rashid, ni sawa na kwamba  ameshika kitanzi kitakachoamua hatma ya uhai au ukomo wa mwanasiasa huyo ndani ya CUF.

Hata hivyo, jana akizungumza jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Kamati ya Nidhamu na Maadili ya chama hicho, Abdul Kambaya, alisema watuhumiwa hao wakipatikana na hatia, kamati hiyo inaweza kutoa mapendekezo kwa Baraza Kuu la kutoa onyo, karipio ama kuwafukuza uanachama.
 
Kambaya, alisema kamati hiyo imemaliza kuwahoji watuhumiwa 12 na mmoja ambaye ni mjumbe wa Baraza Kuu kutoka Mbeya, hakufika kuhojiwa. “Kwa hiyo tumemaliza kuwahoji watuhumiwa wote na wametupa ushirikiano, tunachofanya sasa ni kuandaa taarifa kwenda katika kikao cha siku mbili cha Kamati ya Utendaji kitakachoanza kesho (leo) mjini Zanzibar,” alisema Kambaya.

Akizungumzia uhalali wa kamati yake, mwenyekiti huyo, alisema kamati hiyo imeundwa kutokana na maelekezo ya Baraza Kuu kupitia kifungu namba 63, kipengele namba 1 (e).

“ Katika kifungu hicho kinaruhusu Baraza Kuu kuanzisha kamati ama kurugenzi,” alisema na kuongeza kuwa  kikao cha Baraza kilichoanzisha kamati hiyo, kilikutana Novemba 3 hadi 4 mwaka huu, jijini Dar es Salaam.

Alisema baada ya Hamad Rashid  kuelezwa kuhusu uhalali wa kamati hiyo, ndipo akasema hana imani na wajumbe wa kamati hiyo. Kambaya alifafanua kwamba licha ya kusema hana imani na wajumbe hao, lakini pia aliomba apatiwe tuhuma 11 zinazomkabili ili azipitie.
“ Katiba ya chama inaruhusu mtuhumiwa kusomewa tuhuma zake na kuzijibu papo hapo siyo kwenda nazo nyumbani, hivyo Hamad amevunja tena katiba ya chama hicho kwa kutozijibu tuhuma zake,” alisisitiza Mwenyekiti huyo.   Hamad Rashid Akizungumza kwa simu jana, Hamad Rashid alisema hategemei haki kutendeka katika kikao hicho kitakachoongozwa na Maalim Seif.

“Mnafahamu kuwa kikao cha Kamati ya Utendaji kitaendeshwa na Maalim Seif ambaye ameshafanya uamuzi wa kutaka nifukuzwe uanachama,” alisema Hamad.Aliongeza kuwa, “Hivyo vikao watakavyovifanya ni mchakato ambao hatma yake wanaifahamu ila wanafanya ili kutimiza wajibu tu.”

Hata hivyo, Hamad alisema hajapata taarifa zozote za kuitwa kwenye kikao hicho.  Hivi karibuni Hamad amejikuta katika mgogoro na baadhi ya viongozi wakuu wa CUF, baada ya kutangaza rasmi nia yake ya kuwania nafasi ya Katibu Mkuu wa chama hicho.

Baada ya kuweka wazi nia yake hiyo, alianza kupita kwenye  baadhi ya matawi na kugawa misaada hatua iliyozua vurugu katika Tawi la Chechnya lililopo Manzese, Dar es Salaam na kusababisha umwagaji damu baada ya wanachama wanaomuunga mkono, kupambana na walinzi wa chama hicho, maarufu kama  Blue Guard.

Mbali na Hamad, watuhumiwa wengine  waliohojiwa ni Mjumbe wa Baraza Kuu Unguja, Juma Said Saanan, Mjumbe wa Baraza Kuu kutoka Pemba, Shoka Hamis Shoka, Mjumbe wa Baraza Kuu kutoka Tanga, Doyo Hassan Doyon na Mwenyekiti wa Wilaya ya Ilala, Doni Waziri.
Wengine ni Katibu wa Wilaya ya Ilala, Mohamed Masaga, Mwenyekiti wa Wilaya ya Temeke Abdadawi na Amir Kiyungi.
Watuhumiwa wengine waliohojiwa ni Mkurugenzi wa Mipango na Uchaguzi Wilaya ya Temeke, Yusufu Mbungilo, Mwenyekiti wa Wilaya ya Nachingwea Nanjase, Ahmed Issa na Tamim Omar,      ENDS    

Vita urais yazidi kutikisa CCM


VIGOGO HAWAAMINIANI, KAMBI ZAPIGANA VIKUMBO KUJIIMARISHA

Mwandishi Wetu
WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikihaha kutibu makovu yanayotokana na harakati za kuwania urais wa 2015, imethibitika kwamba vigogo wa chama hicho wakiwamo wale wa kundi la wanamtadao linalodaiwa kwamba lilimwingiza Rais Jakaya Kikwete madarakani mwaka 2005 hawaaminiani katika harakati za kugombea urais kupitia CCM.Uchunguzi wa Mwananchi wa kabla na baada ya vikao vya Nec vilivyomalizika hivi karibuni unaonyesha kwamba vigogo wa CCM kutoka kambi zote wamekuwa wakiendesha kampeni za chini kwa chini kwa ajili ya kujiimarisha na kisha kuweza kuteuliwa kugombea kupitia chama hicho kwenye Uchaguzi Mkuu 2015.

Taarifa ambazo Mwananchi imezipata zinaonyesha kwamba hata baadhi ya vigogo wanaosadikiwa kuwa kundi moja sasa hawaaminiani jambo ambalo linaashiria kuwa vita ya urais CCM itatawala kwenye uchaguzi mkuu wa chama hicho unaoanza mwakani katika ngazi zote nchini.

Wakati wa vikao vyake vya juu vilivyomalizika Novemba 24 mwaka huu mjini Dodoma, CCM kilipokea na kupitisha taarifa ya hali ya siasa ambayo kimsingi ilibainisha kuwa hali ya siasa ndani ya chama sio shwari kutokana baadhi ya viongozi kupigana vikumbo kuwania madaraka.

Katika taarifa hiyo, CCM kilisema chanzo kikubwa cha migawanyiko ndani ya chama hicho ni harakati za kugombea urais mwaka 2015.

Sasa ni mwenzi mmoja tangu kumalizika kwa vikao hivyo, minyukano yenye lengo la kuwania urais wa 2015 imeendelea ndani ya CCM pia ndani ya makundi yenye lengo la kuwaweka wagombea wao katika nafasi hiyo ya juu ya uongozi nchini.

Hata hivyo, wimbi hilo la urais limeendelea kutikisa kambi ya wanamtandao ambayo taarifa za ndani zinasema huenda suala la urais likaibua mtafaruku mkubwa siku zijazo hivyo kutoa mwanya kwa kundi jingine kuibuka kidedea.

“Kuna hali ya kutoaminiana ndani ya CCM, kila kundi sasa liko mstari wa mbele kujijega ili kuweza kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kutoa mgombea urais. Hata ndani ya kundi la mtandao ambalo ndilo lenye nguvu kwa sasa wakubwa hawaaminiani,” alisema mtoa habari mmoja kutoka kundi la mmoja wa kiongozi anayetajwa kutaka kuwania urais ndani ya CCM.

Wachunguzi wa mambo wanautazama mgogoro huo ndani ya kambi hiyo tishio kwamba unaidhoofisha dhidi ya kambi zilizopo na nyingine zinazotarajiwa kuibuka kadri siku zinavyokwenda kuelekea 2015.

Wanaotajwa kwa urais

Ndani ya CCM, kinyang’anyiro cha urais kinawahusisha wanasiasa vijana ambao umri wao ni kati ya miaka 40 na 50, wanasiasa wenye umri kati ya miaka 50 na 60 na kundi la wazee wenye umri zaidi ya miaka 60 ambao wametumikia nchi tangu uhuru.

Wanasiasa vijana wanaotajwa ni pamoja na Waziri wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige, Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Emmanuel Nchimbi, Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Lazaro Nyalandu, Mbunge wa Bumbuli, January Makamba na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye.

Katika kundi la umri wa kati wapo Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye,  Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, Waziri wa Maji, Profesa Mark Mwandosya, Waziri Mkuu aliyejiuzulu na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Dk Asha-Rose Migiro.

Kundi hilo pia linawajumuisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Utawala Bora), Mathias Chikawe, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Hussein Mwinyi, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Shamsi Vuai Nahodha na Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk Harrison Mwakyembe.

Katika kundi la wenye umri zaidi ya miaka 60 wanaotajwa ni pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wassira na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta.

Vikao vya CCM
Taarifa ya hali ya siasa iliyowasilishwa katika vikao vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu vya CCM mwishoni mwa Novemba mwaka huu, inaweka bayana kwamba:
“Kumekuwapo na migogoro ya kiuongozi na migawanyiko, kutokuelewana, kutopendana na kuhasimiana baina ya viongozi wa CCM katika mikoa kadhaa na baadhi ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa”.

Taarifa hiyo iliyowasilishwa na January Makamba ambaye ni Katibu wa Siasa na Mambo ya Nje wa chama hicho, iliendelea kuweka wazi kuwa hali hiyo imesababisha kuhujumiana na kuchafuana na kutengeneza magenge ya wapambe kwa ajili hiyo.

“Matokeo yake ni kwamba umma umeanza kukiona chama chetu kuwa ni chama cha migogoro, na chama cha watu wanaogombea madaraka badala ya utumishi. Taswira hii ya migawanyiko na ugomvi, ikiwemo kutupiana maneno kwenye vyombo vya habari mara kwa mara, inawakwaza wanachama na wapenzi wa CCM na inapunguza imani ya wananchi kwa chama chetu,”inaeleza sehemu ya taarifa hiyo ambayo Mwananchi limeiona.

Taarifa hiyo inasema chanzo kikubwa cha migawanyiko ndani ya CCM ni harakati za kugombea urais kwa mwaka 2015.

“Licha ya kwamba hadi sasa hakuna mwana-CCM aliyetangaza nia ya kugombea urais kwa mwaka 2015, wana-CCM wengi na Watanzania kwa ujumla wanaamini kwamba moja ya vyanzo vya migawanyiko ndani ya Chama ni kuibuka kwa makundi ya harakati za kugombea urais mwaka 2015,”ilisema taarifa hiyo na kuongeza:

“Inaaminika kwamba baadhi ya wana-CCM wenye nia ya kuomba nafasi hiyo, wameanza harakati za kutengeneza makundi ya kuwaunga mkono miongoni mwa viongozi na wanachama na katika jamii kwa ujumla. Vilevile, wana-CCM wengi wanaamini kwamba vitendo vya kuchafuana na kushutumiana na kutuhumiana baina ya viongozi wa CCM vinasababishwa na harakati hizi”.

January katika taarifa hiyo iliyopitishwa, pia alisema migogoro katika  baadhi ya Jumuiya za CCM, kama vile Umoja wa Vijana na baadhi ya mikoa inatafsiriwa kwamba inatokana na harakati za urais 2015.

“Umoja na mshikamano ndani ya Chama Cha Mapinduzi utaendelea kuhatarika iwapo wana-CCM wenyewe wataendelea kuaminishwa na kuamini kwamba ni lazima wachague upande katika watu wanaotajwa kugombea urais mwaka 2015,”alionya January katika taarifa yake.

Alisema pamoja na kwamba ni jambo la kawaida wana-CCM kuwa na maoni ya nani anafaa kuongoza taifa, lakini harakati za urais zimeanza mapema, kwani bado miaka minne kabla ya kipindi cha sasa kuisha.

Siasa za makundi ndani ya CCM pia zimekuwa tishio kwa uchaguzi wa chama hicho unaotarajiwa kuanza mapema mwakani.

Viongozi wengi wa CCM na baadhi ya wanachama wanaamini kwamba uchaguzi huo kwa mtazamo wa kimakundi, ndio utatoa taswira ya mwelekeo wa uchaguzi wa 2015.

Hatua za CCM
Kutokana na hali hiyo, January alipendekeza CCM kidhibiti harakati za kisiasa zenye mwelekeo wa kuwagawa wana-CCM kimakundi katika Uchaguzi wa Chama na Jumuiya mwaka kesho na kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.

“Harakati za kusaka urais kabla ya mchakato rasmi haujaanza, aidha kwa kujitangaza au kwa kuchafua na kuhujumu wana-CCM wengine, ziwekwe bayana na zichunguzwe kwa uwazi, na pale zinapothibitika zina ukweli, hatua kali zichukuliwe kwa vinara na wapambe wao,”anasema sehemu ya taarifa ya katibu huyo.

Kadhalika, alipendekeza utengenezwe utaratibu madhubuti wa kupata mgombea urais kwa tiketi ya CCM ambao hautategemea nguvu za kimakundi wala uwezo wa fedha, huku akitaka viongozi wa CCM na wa Serikali wanaoacha shughuli zao na kujihusisha na kuusaka urais au kunadi wagombea urais pia wadhibitiwe.

Taarifa hiyo ilikwenda mbali zaidi na kupendekeza kwamba CCM kijizatiti kuhakikisha uchaguzi wake wa mwaka ujao hauharibiwi kwa  kutumiwa kupanga safu za kusaidia watu au mtu kwenye uchaguzi wa udiwani, ubunge au urais mwaka 2015.

Polisi atoweka, akwepa tuhuma

ASKARI Polisi anayedaiwa kuhusika na wizi wa dola za Marekani 50,000 za kidhibiti katika kituo kikuu cha Polisi jijini hapa, ametoroka na familia yake.

Askari huyo (jina limehifadhiwa) anadaiwa kutoroka usiku wa manane wakati Tume maalumu ya Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Said Mwema, ikiwa inaendelea kuhoji polisi na raia juu ya upotevu wa fedha hizo.

Awali askari huyo, aliwekwa rumande na mwenzake, lakini walipewa dhamana baada ya kuandika
maelezo kwa viongozi hao wa juu wa Polisi mkoani hapa juu ya wizi huo.

Kaimu Kamanda wa Mkoa wa Arusha, Akili Mpwapwa, alipoulizwa alikiri kuwekwa ndani kwa askari hao, lakini alikataa kutaja majina yao kwa sababu za kichunguzi juu ya suala hilo.

Mbali ya askari huyo kutoweka, askari kanzu mwingine mwenye cheo cha Konstebo (jina tunalo), alikamatwa juzi jioni na anashikiliwa katika kituo kikuu cha Polisi kwa madai ya kufahamu mtandao mkubwa wa wizi jijini hapa na kuhusika na wizi wa fedha hizo.

Mpwapwa alipoulizwa jana kwa njia ya simu juu ya kutoweka kwa askari huyo na familia yake, na mwingine kukamatwa, alisema yeye yuko nje ya mji, labda inawezekana ikawa kweli au la, lakini kwa kuwa yuko nje ya ofisi hilo hatalizungumzia.

‘’Mimi niko Karatu kikazi labda huyo askari alitoroka wakati nikiwa huku na kama kuna mwingine, nikirudi kesho (leo) nitapata taarifa kwa ukaribu zaidi na kupata ukweli wake,’’ alisema Mpwapwa.

Kwa mujibu wa vyanzo vya habari, kukamatwa kwa askari kanzu huyo kulitokana na taarifa kutoka kwa raia wema kuwa askari huyo alihusika moja kwa moja na upotevu wa dola hizo.

Habari zilisema kuwa konstebo huyo piaanadaiwa kumiliki magari ya kisasa jijini Arusha, zaidi ya 10 yakiwamo yaliyokodishwa na mengine kubeba abiria - teksi.

Vyanzo vya habari vilisema kwamba baadhi ya askari kanzu ambao wanafanya kazi karibu na Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai wa Mkoa wa Arusha (RCO) ambao walikuwa zamu siku ya upekuzi nyumbani kwa mtuhumiwa nao tayari wamehojiwa na Tume hiyo ya IGP.

Fedha hizo za kigeni sawa na Sh milioni 90 zinazodaiwa kuwa sehemu ya dola za Marekani
200,000 zilizoporwa zilioneshwa mahali ziliko na mmoja wa watu watatu wanaosadikiwa
kuhusika na ujambazi wa kutumia usafiri aina ya pikipiki maarufu jijini Arusha kwa jina la
Toyo ama Bodaboda.

Fedha hizo dola 50,000 ziliyeyukia mikononi mwa polisi katika mazingira ya kutatanisha.

Watuhumiwa hao wa ujambazi walifanya uhalifu huo hivi karibuni kwa kumpora dereva wa gari la hoteli maarufu ya kitalii ya jijini hapa ya Kibo Palace, Onesmo Joseph (28), dola
200,000 sawa na zaidi ya Sh milioni 340.

Kunyongwa au kupigwa mawe?


NewsImages/6143574.jpg
Picha ya mwanamke mtuhumiwa wa uzinzi na mauaji
Sakineh Mohammadi Ashtiani, mwanamke wa Kiirani anayetuhumiwa kwa makosa ya kumuua mumewe na kufanya uzinzi akiwa anatambukuwa kuwa ana mume, Huenda akaepuka adhabu ya kupigwa mawe hadi afe na badala yake anakabiliwa na adhabu ya kunyongwa.
Vyanzo vya Nifahamishe, vimearifiwa kuwa, mwanamama huyo aliyekuwaanakabiliwa na adhabu ya kurembewa mawe hadi anakata roho kwa mujibu wa sheria za Kiisalam kwa mtu mzinzi ambaye ameshaoa au kuolewa, huenda akapewa adhabu ya kunyongwa kwa kosa la kupanga njama na kutekeleza mauaji ya mumewe ili apate nafasi ya kustarehe na mwanamume mwingine. Hili linatokana na namna kesi ilivyoendeshwa na kutopatikana uthibitisho wa uzinifu wake, kwani kwa mujibu wa sheria za Kiislam, lazima pawepo na wanaume wanne walioshuhudia tukio la uzinifu kwa kuona kwa macho! Au muhusika wa uzinifu akiri mwenyewe kuwa amezini na anataka apewe adhabu ya kumtakasa na dhambi ya zinaa.

Kwa upande wake bibi Sakineh Mohammadi Ashtiani, amekana madai ya kuzini na kwa hiyo hakuna ushahidi wa kumtia hatiana kwa kosa la zinaa, na kilichobaki ni kesi ya mauaji inayomkabili na kwa mujibu wa sheria za Kiislam zinazofuatwa na serikali ya Iran, adhabu ya muuaji ni kulipiziwa kisasa kwa kuuliwa au ndugu wa marehemu wamsamehe.

Mbunge Atupwa Jela Kwa Kudai Rais ni Shoga


NewsImages/6150322.jpg
Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe
Mbunge wa chama cha MDC (Movement for Democratic Change) cha nchini Zimbabwe amejikuta akiingia matatani baada ya kudai rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe alifanya mapenzi ya jinsia moja.

Mbunge huyo wa kike aliyetajwa kwa jina la Lynette Kareny alisema kuwa Robert Mugabe ambaye pia ni rais wa chama tawala cha Zanu-PF alifanya mapenzi na wanasiasa wawili wa kiume.

"Karenyi anatuhumiwa kutoa kauli hiyo ya kumkashifu kiongozi wa nchi wakati wa mkutano wa hadhara wa chama cha MDC uliofanyika disemba 9 kwenye viwanja vya mpira vya Chimanimani,” limeripoti gazeti la The Herald la nchini Zimbabwe.

Mugabe ambaye anajulikana kwa kauli zake za kupinga ushoga ambapo huwafananisha mashoga na wasagaji na nguruwe na mbwa.

Mwezi uliopita, Mugabe alimuita waziri wa Uingereza shetani kufuatia kauli yake kuwa nchi zinazotaka misaada toka kwa Uingereza lazima zikubali kutetea haki za mashoga na wasagaji.

Karenyi alisherehekea krismasi akiwa mahabusu baada ya kukamatwa tarehe 19 disemba kabla ya kuachiwa baada ya siku saba kwa dhamana ya dola 200.

Karenyi na chama chake walikataa kusema chochote kuhusiana na sakata hilo.

Wednesday, December 28, 2011

Mother sues son for selling her flat 'without permission'


 A 75-year-old woman is suing her son and his wife for selling her four-room flat while she was overseas.

The Straits Times reported today that Madam Nelukkara Mohamed Abdullah Fatimah Zaharah was in India looking for a bride for her youngest son when she received a call from another son informing her that her Telok Blangah residence had been sold.

She has now taken her 39-year-old son, tourism officer Mr Zulfikar Ali Kappukal Abdul Wahab Kashmiri, and his wife to court to recover the $430,000 in sales proceeds.

The widow claims that he had disposed of the asset without her permission.

In his defence, Mr Zulfikar Ali said she had always wanted to sell the flat and give the proceeds to him and his younger brother.

According to the English daily, court documents filed by Madam Nelukkara's lawyer state that she signed an authorisation document at a law firm on April 16, 2009 which gave him the power of attorney to rent out the flat while she was away.

However, Madam Nelukkara said she was not told that it also gave him the power to sell the flat.

Shocked

Madam Nelukkara said she was shocked to receive the call from Mr Zulfikar Ali telling her that the flat had been sold.

After she returned on Dec 28 that year, she found that the payment had been deposited into a joint account held by her and Mr Zulfikar Ali.

However, a large portion of the money had been withdrawn by him, she said.

According to The Straits Times, Madam Nelukkara said in court papers that Mr Zulfikar Ali paid his younger brother only $130,000.

He is also alleged to have withdrawn $422,220 from the account to buy a $290,000 flat in Eunos Crescent.

Snow and tears mark funeral for N. Korean leader


SEOUL - North Korea's military staged a huge funeral procession in the snowy streets of the capital, Pyongyang, on Wednesday for its deceased "dear leader,"Kim Jong-il, readying a transition to his son, Kim Jong-un.

Pictures from state television showed a funeral cortege led by a limousine carrying a huge picture of the 69-year old, who died on Dec. 17, passing serried ranks of olive green-clad soldiers whose bare heads were bowed in homage in the main square of the capital.
A hearse carrying the coffin was led by a weeping Kim Jong-un, accompanied by Jang Song-thaek, his uncle and a key power-broker in the transition, and Ri Yong-ho, the army chief of staff.
"Seeing this white snow fall has made me think of the general's (Kim's) efforts and this brings tears to my eyes," Seo Ju-rim, a red-cheeked, weeping female soldier, told North Korean television.
One of the myths surrounding Kim Jong-il was that he could control the weather and state media has reported unusually cold and wild weather accompanying his death.
The video of weeping civilians, who swayed with grief and shouted "father, father", appeared to be out of synch with the audio on the broadcast. It was not clear whether it was live or recorded as black Lincoln and Mercedes limousines as well as army trucks streamed past the crowds.
Kim Jong-un will become the third member of the family to run the isolated and unpredictable North Asian country as it enters 2012, the year that was supposed to mark its self-proclaimed transformation into a "strong and prosperous" nation.
"The footage highlights the rising status of Jang Song-thaek ever since the first news of Kim Jong-il's death," said Yoo Ho-yeol, a North Korea expert at Korea University in the south.
"Kim Jong-un is clearly the head of the new leadership but, in terms of hierarchy and influence, Jang appears to have secured considerable position," he said.
It would seem, however, that little is set to change for the 25 million citizens of a country that has staged what many analysts have dubbed a "Great March Backwards" over the past 20 years.

Mark Zuckerberg in Vietnam over Christmas



The Facebook founder and girlfriend visited Hanoi, Halong Bay and Sa Pa on their Christmas holiday to Asia.

Mark Zuckerberg, owner and founder of the world's largest social networking service and website Facebook, landed in Vietnam on Thursday from Bangkok.

His girlfriend Priscilla Chan confirmed on her Facebook account that Mark arrived at Noi Bai Airport on Thursday.


Facebook Vietnam director Huynh Kim Tuoc said Zuckerberg has been on a private visit to Hanoi to enjoy his holiday on Christmas occasion. The visit is definitely not for business.

He stayed in a five-star Sofitel Metropole hotel in Hanoi.

Zuckerberg and girlfriend were spotted visiting the Hoa Lo Prison Museum, also known as the Hanoi Hilton prison where American prisoners of war were held during the Vietnam War.

He was also spotted touring Hoan Kiem Lake.

The couple visited a shop selling luxury Vertu mobile phone in Hanoi but his bodyguards prevented any access from fans. No photography was allowed.

Zuckerberg was granted a two-week entry visa into Vietnam from December 16.

‘Makundi maalum yasaidiwe ipasavyo’

Patricia Kimelemeta

JAMII imetakiwa kusaidia makundi maalum ya walemavu ili waweze kupata mahitaji muhimu ikiwemo vifaa vya kufanyia kazi kutokana na ulemavu wao, jambo ambalo litawawezesha kuondokana na utegemezi.
Hayo yalisemwa jijini Dar es Salaam na Mratibu wa Taasisi isiyo ya kiserikali inayojishughulisha na walemavu ya Unity in Diversity Foundation (UDF) Enock Bigaye wakati wa kukabidhi baiskeli 400 za walemavu zenye thamani ya Sh120 milioni.
Alisema walemavu wanahitaji msaada wa hali na mali ili waweze kuendesha kazi zao, jambo ambalo linaweza kuwasaidia kupunguza utegemezi katika maisha, hivyo jamii inapaswa kutambua na kuwa nao karibu.

“Jamii inapaswa kutambua kuwa walemavu ni kundi muhimu linalohitaji msaada wa ari na mali ili waweze kuendesha shughuli zao, jambo ambalo linaweza kuwapunguzia hali ya utegemezi, kutokana na hali hiyo wanapaswa kuwa nao karibu,” alisema Bigaye.
Aliongeza kuna baadhi ya taasisi zinashindwa kufanya kazi yake ipasavyo, ikiwa ni pamoja na kuchukua misaada kwa wafadhili na kushindwa kuwasilisha kwa walengwa, jambo ambalo limesababisha baadhi ya wafadhili kugoma, kutokana na hali hiyo jamii inapaswa kubadilika ili waweze kujenga uaminifu.
Alisema, mpaka sasa taasisi yake imeweza kuwafikia walemavu zaidi ya 3,500 kutoka mikoa mbalimbali ikiwa ni pamoja na kukadhibi misaada hiyo, jambo ambalo linafaa kuigwa na wadau wengine.
Alisema taasisi yake ni miongoni mwa taasisi zinazopata misaada mbalimbali kutoka kwa wafadhili na kuhakikisha kuwa misaada hiyo inafika kwa walengwa kwa wakati jambo ambalo limeweza kuwajengea uaminifu.

Alisema mkakati uliopo ni kuhakikisha kuwa wanashirikiana na wadau mbalimbali ili waweze kuwasaidia walemavu hao na kuwabaini walio majumbani ili waweze kuwasaidia

Bei mpya ya umeme kutangazwa wiki ijayo

Ibrahim Yamola
MAMLAKA ya Udhibiti wa huduma za Nishati na Maji (Ewura) , imesema imekamilisha taratibu zote zinazohitajika za kutangaza bei mpya ya umeme na kwamba sasa inajipanga kufanya hivyo, mwanzoni mwa Januari. Ofisa Habari wa Ewura,  Titus Kaguo alisema jana jijini Dar es Salaam kuwa hiyo ni baada ya Bodi ya wakurugenzi kukaa na kupitia hoja za Tanesco na wadau mbalimbali kuhusu suala hilo na kujiridhisha.

“Bodi ya Wakurugenzi ilikutana Disemba 15 na 16 mwaka huu ili kupitia maombi ya Tanesco na wadau hivyo bodi imeamuru kufanyika kwa uchunguzi ambao utatoa majibu sahihi kwa lengo la kutomuumiza mwananchi na mwekezaji,” alisema Kaguo.

Kaguo aliongeza kuwa mchakato uliopo sasa ni mgumu  kwani ni hatua ambayo itaamuru hatma ya nini kifanyike kwa makusudi ya kutoathiri wadau  wa huduma hiyo na kwamba  bei hiyo itatangazwa mwakani na siyo mwisho mwa mwaka huu kama awali alivyosema.   Alifafanua  kuwa nia ya Ewura ni kuhakikisha wananchi wake na  wawekezaji  wanakuwa na usawa katika ufanisi wa kutoa na kupokea maoni  kwa pande zote na kwamba ndiyo maana bodi ikaamua kufanyike uchunguzi huo.

“Tuko makini kuhakikisha usawa wa huduma hii muhimu kwa jamii haiathiri pande hizi mbili ambazo kimsingi zinategemeana katika utendaji wake wa kazi hivyo nawaomba wananchi wawe wavumilivu wakati tukikamilisha zoezi zima la uchunguzi,” alisema Kaguo.

Hatua hiyo inafanyika kufuatia Tanesco kuwasilisha Ewura mapendekezo ya kupandisha gharama za umeme kwa bei ya wastani ya kuuza umeme iliyopo sasa ya Sh141 kwa uniti hadi Sh359 kwa uniti kuazia  Januari mwakani ambapo ongezeko hilo ni sawa na asilimia 155 ya bei ya sasa.

Mkurugenzi wa Tanesco,  William Mhando alisema sababu ya kutaka kupandisha bei hiyo ya umeme ni kuliwezesha shirika hilo kukabiliana na ongezeko la gharama za uendeshaji ili  kuondokana na mgao wa umeme.

Mhando alisema athari ambazo zitapatikana ikiwa bei haitaongezwa ni pamoja na Shirika kushindwa kufanya uwekezaji na kutekeleza miradi mbalimbali ikiwemo ya kuuganisha wateja wapya.Hata hivyo  wadau  mbalimbali wa umeme walipinga hatua hiyo wakisema nyongeza itayumbisha uchumi wa taifa na kulitaka Shirika  liimarishe kwanza uzalishaji wa umeme ili liweze kupata faida.

Wadau hao walisema Tanesco ina hali ngumu ya kifedha kutokana na mgawo na kwamba mkakati uwe  ni wa kuongeza uzalishaji ili watu wautumia na hapo ndipo wataweza kujiimarisha na kujikusanyia mapato mengi kuliko njia hii wanayo taka kuitumia ya kupandisha bei.

Hamad Rashid agoma kuhojiwa

Raymond Kaminyoge na Aziza Masoud
HALI bado tete ndani ya Chama Cha Wananchi (CUF) baada ya Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed, kugoma kuhojiwa na Kamati ya Nidhamu na Maadili ya chama hicho kuhusu tuhuma za kuvunja katiba. Mbunge huyo aliibua tuhuma nzito kwamba amekamata waraka wa siri wa viongozi wawili waandamizi wa chama hicho, waliokuwa wakipanga njama za kumfukuza.

Hamad aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa ana sababu tano za kugomea kikao hicho, ambazo ni pamoja na waraka huo wa siri aliodai ulitoka kwa mmoja wa viongozi hao kwenda kwa mwenzake. Waraka huo ambao Hamad alidai kuunasa unasomeka, “Tuwe waangalifu tusiingie katika mtego” na uliandikwa Desemba 14 2011 na kutumwa kwa barua pepe.

“ …anataka nifukuzwe kwenye chama, baadhi walioteua na walioteuliwa katika Kamati ya Nidhamu na Maadili wamekwishanituhumu hadharani na kunitia hatiani hivyo kikao hiki hakitatenda haki,” alisema Hamad.

Alitaja sababu nyingine ya kukataa kuhojiwa kuwa ni kutoelezwa tuhuma zake hasa vifungu vya Katiba alivyodaiwa kuvikiuka. “ Ni vema nikaelezwa ni vifungu vipi vya katiba hiyo nilivyokwenda navyo kinyume,” alisema Hamad. Alifafanua kwamba, alitaka apewe hadidu za rejea za kikao kilichounda Kamati ya Nidhamu na Maadili kwa sababu kikatiba, hakuna chombo kama hicho.

“Katiba ya CUF haina chombo kama hicho, kamati hii imeundwa na nani nikipewa hadidu za rejea za kikao kilichounda kamati hiyo zitanisaidia katika kumbukumbu,” alisema Hamad Rashid. Alisema alitaka pia apewe nakala ya uteuzi wa wajumbe walioteuliwa katika kamati hiyo.

Mbunge huyo pia alisema amegomea kikao hicho hadi atakapopewa kanuni zitakazotumika katika kuendesha shughuli nzima ya kujibu tuhuma hizo na kupewa katiba iliyotumika ambayo ameivunja. “Nataka kupewa vitu hivyo ili niweze kuweka kumbukumbu sahihi kwa kila hatua inayochukuliwa na chama,” alisema mbunge huyo wa CUF.

Akizungumzia kamati hiyo, mbunge huyo alisema kati ya wajumbe wanane, watano hana imani nao kwa sababu wamekuwa wakimtuhumu hadharani. “Hawa wajumbe sina imani nao uamuzi wao hautakuwa wa haki,” alisema Hamad. Juzi Hamad Rashid na wenzake 13 waliitwa na Kamati na Nidhamu ili kujibu tuhuma za kuvunja Katiba ya chama hicho. Hatua hiyo imekuja baada ya mvutano wa muda mrefu kati ya Katibu Mkuu na Mbunge huyo kutuhumiana hadharani.

Waraka wa Siri
Hamad alisema hawezi kuhudhuria kikao hicho kwa kuwa tayari amebaini njama za kushughulikiwa zilizosukwa na vigogo wawili wa chama hicho dhidi yake.“ Nimeshauriana na Makamu na tumeona kuna haja ya jamaa yako (Rashid) na genge lake kuitwa katika Kamati ya Nidhamu na Maadili kuhojiwa,” inasema sehemu ya waraka huo ambao aliusambaza kwa vyombo vya habari.

Waraka huo uliongeza, “ushahidi wa kutosha umekusanywa dhidi yake na wasaidizi wake wakuu na muono wetu ni kuwa tumfukuze uanachama.” Waraka huo ulisisitiza, “Wanachama walio wengi wanatudadisi kwa nini hatuchukui hatua, akishajulikana kuwa si mwanachama atakuwa hana mashiko muache aende CCM au Chadema.” Alipoulizwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili na Nidhamu wa CUF, Abdul Kambaya alisema taarifa za Rashid kukataa kuhojiwa na Kamati zitapelekwa katika Kamati ya Utendaji.

“ Ni kweli Hamad amegoma kuhojiwa kuhusu tuhuma zinazomkabili, lakini tunachofanya ni kupeleka taarifa kwa kamati ya Utendaji itakayofanya maamuzi,”alisema Kambaya na kubainisha kuwa kamati hiyo inaendelea kuwahoji wanachama wengine wanaotuhumiwa kuvunja katiba ya chama hicho.

Hivi karibuni Hamad Rashid alijikuta kwenye mgogoro na baadhi ya viongozi wa makao makuu ya chama hicho, baada ya kutangaza dhamira hiyo yake ya kugombea nafasi ya katiba mkuu mwaka 2014. Kuanzia hapo akajikuta ameingia kwenye mgogoro na chama hicho kiasi cha kunusurika kushambuliwa na watu wasiojulikana wakati akigawa misaada katika matawi ya chama hicho, kata ya Manzese. Mvutano huo ulisababisha vurugu katika tawi la Chechnya ambako wanachama wanaomuunga mkono walipambana na walinzi wa Blue Guard na kusababisha umwagaji damu.

Boti yazama baharini, 20 wahofiwa kufa

Nora Damian
WATU 20 wanahofiwa kufa maji, baada ya jahazi walilokuwa wakisafiria kutoka Mafia kwenda Dar es Salaam kugonga mwamba katika eneo la Nyororo, Bahari ya Hindi. Jahazi hilo lijulikanalo kama Zulkani, lilikuwa na abiria 25.

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), Ahmed Kilima alithibitisha kutokea kwa ajali hiyo juzi na kusema ni watu watano tu kati ya abiria wote waliookolewa.

Alisema ajali hiyo ilitokea juzi saa 4:00 usiku na kwamba watu hao watano waliokolewa na chombo kimoja kilichopita eneo hilo. “Bado hatuna taarifa kuhusu watu wengine waliokuwa wamesalia, lakini tunafuatilia na tutatoa taarifa zaidi,” alisema Kilima. Alisema bado kuna tatizo la kuitikia na kutoa msaada pindi yanapotokea majanga akisema hilo ni tatizo la kitaifa.

Ajali hiyo imekuja miezi mitatu baada ya taifa kukumbwa na msiba mzito wa kuzama baharini kwa meli ya MV Spice Islanders Septemba 10 mwaka huu.Mv Spice ilizama katika eneo la Nungwi na kusababisha zaidi ya watu 200 kupoteza maisha huku maelfu wakijeruhiwa na mali nyingi kuteketea baharini. Meli hiyo iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kwenda Pemba ilizama katika eneo la mkondo wa maji Nungwi.

Mbali ya Mv Spice, ajali nyingine mbaya ya majini ni ile ya MV Bukoba ambayo ilitokea katika Ziwa Victoria eneo la Mwanza Mei, 1996 na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 800.

Tume kuwakaanga vigogo wanaoficha mali

Geofrey Nyang’oro
TUME ya maadili ya viongozi wa umma, imeanza kuwashirikisha wananchi kwa lengo la kufichua viongozi wasio waadilifu ambao hutoa taarifa zisizo sahihi kuhusu mali wanazomiliki.Kutokana na hali hiyo, tume hiyo imewatahadharisha viongozi wa umma kuepuka kutoa taarifa za uongo za mali na madeni yao na kwamba kufanya hivyo ni kosa kwa mjibu kifungu cha  15 (b) cha Sheria za maadili ya viongozi wa umma namba 13 ya mwaka 1995.

Kamishina wa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Salome Kaganda alisema jijini Dar es Salaam jana kuwa wananchi wana haki ya kushirikiana na Sekretarieti ya maadili ya Viongozi wa umma kutoa taarifa juu ya uhalali wa mali wanazomiliki viongozi wao sababu  ndio wanaoishi nao.

“Kiongozi wa umma atahesabiwa kuwa ametenda kosa la kukiuka maadili endapo atatoa tamko huku akijua ni la  uongo au potofu katikia kipengele chochote muhimu na ikibainika atachukuliwa hatua za kinidhamu kwa mujibu wa sheria za utumishi wa umma,” alisema Kaganda na kuongeza:

“Tumeamua kuwashirikisha wananchi katika hili sababu wao ndio wanaowachagua, wanaishi nao hivyo wanawafahamu zaidi na hili ni katika kutekeleza sera za kidemokrasia hasa katika kipindi hiki ambacho kumekuwa na tuhumu za ufisadi”.

Jaji Kaganda alifafanua kuwa viongozi watakaotoa taarifa za uongo  na watakaohindwa kutimiza matakwa ya sheria watashitakiwa katika baraza la maadili.

Alisema ikiwa itathibitika kiongozi kukutwa na hatia ya kutenda  kosa hilo pamoja na makosa mengine  anaweza kuchukuliwa hatua  za kufukuzwa kazi, kushauriwa kujiuzulu wadhifa unaohusu ukiukwaji huo, kusimamishwa kazi na kushushwa cheo.

Adhabu nyingine ni kupewa onyo kali, kuonywa na kupewa tahadhari, kupewa adhabu nyingine zinazoruhusiwa kwa mujibu wa sheria za nidhamu kwa kuzingatia wadhafa wa kiongozi na kuhimizwa kuchukuliwa hatua kwa kiongozi kwa mjibu wa sheria nyingine za nchi.

Tume hiyo imetaja Desemba 31 mwaka huu kuwa ni siku ya mwisho kwa viongozi kuwasilisha matamko ya mali na madeni wanayomiliki.

Chini ya utaratibu huo, viongozi wanatakiwa kuwasilisha kiwango halali cha mali wanazomiliki ndani na nje ya nchi pia madeni wanayodaiwa iwe Benki na maeneio mengine.

Jaji Kaganda alisema endapo hadi kufikia Desemba 31 mwaka huu viongozi hao watakuwa bado hawajatoa tamko la mali zao watakumbwa na mkondo wa sheria huku watakaorudiwa makosa wakikubwa na adhabu kali zaidi isiyo na msamahama.“Tunawasihi viongozi wa wa Umma kutoka katika Mamlala zote kuwasilisha mali wanazomiliki katika Tume ya maadili kabla ya Desemba 31 mwaka huu ili kuepuka hatua za kisheria zinazoweza kuchukuliwa dhidi yao”alisema Kaganda.

Kaganda alifafanuwa kuwa viongozi zaidi ya 9000 wa serikali, Bunge na Mahakama ndio wanaohusika na sheria hiyo.Katika kikao cha kwanza kilichokaa kati ya mwezi Mei na Juni mwaka huu mashauri 41 yalifikisha mbele ya baraza la maadili ambapo viongozi viongozi 24 walipatwa na hatia.

Alisema kati yao sita walipewa onyo kali, 18 onyo la kawaida huku mmoja akipata faidia ya shauri lake kuwa na shaka.Katika hatua nyingine Jaji Kaganda ameeleza kuibuka kwa kundi la matapeli ambao wamekuwa wakijifanya kuwa maofisa wa tume hiyo.

Alisema matapeli hao wamekuwa wakiwapigia simu viongozi na kuwatisha kwamba majina yao yamo kwenye orodha ya kuhojiwa lengo likiwa kushinikiza wapewe fedha za hongo ili wasiwaadhibu viongozi hao.

Alisema matukio hayo yaliripotiwa siku chache baada Baraza la Maadili na  Sekretarieti ya maadili ya Viongozi wa umma, kukamilisha usikilizwaji wa mashauri mbalimbali dhidi ya viongozi.“Mara baada ya kumaliza kazi ya hiyo mwezi, Juni mwaka huu Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imeletewa taarifa mara kadhaa na viongozi ambao wamedai kupigiwa simu na watu wanaojitambulisha kuwa ni watumishi wa tume ya maadili ya Viongozi wa Umma,”alisema Kaganda na kuongeza:

“Watu hao wamekuwa wakiwatisha viongozi kuwa majina yao yapo kwenye orodha ya viongozi wanaotarajia kufikishwa kwenye baraza la Maadili ya vuiongozi wa Umma na kuwataka kutoa fedha ili kwa lengo la kusaidiwa”alisema.

Alisema tume imesikitishwa ana taarifa hizo na kutoa tahadhari kwa viongozi wa umma pamoja na wananchi wote kuwa macho na matapeli hao na kwamba pindi wanapowabaini watoa taarifa Tume au Polisi ili hatua za ksheria ziweze kuchukuliwa dhidi yao.“Kimsingi sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kama chombo cha kikatiba chenye jukumu la kusimamia tabia na mienendo ya viongozi wa Umma nchini, hufanya kazi zake kwa kuzingatia sheria kanuni na taratibu”alisema Kaganda na kuongeza kuwa;

Chombo  kinautaratibu wake maalamu wa kuwasiliana na viongozi ambao kinataka kuwafikisha mbele ya baraza la maadili”.

Mahakama Kuu yasitisha Kafulila kuvuliwa ubunge


Boniface Meena
MBUNGE wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila amepata amri ya Mahakama Kuu ya kuzuia utekelezaji wa uamuzi wa chama chake kumvua uanachama.Halmashauri Kuu ya NCCR-Mageuzi, ilimvua uanachama Kafulila, Desemba 18, mwaka huu, siku 10 baada ya kumwengua kwenye nafasi ya Katibu Mwenezi wa chama hicho kwa tuhuma za kutoa siri za chama.

Amri hiyo ya Mahakama Kuu imetolewa siku chache baada ya Kafulila kufungua kesi namba 218/2011 akipinga uamuzi huo na kuomba zuio la utekelezaji wake hadi kesi yake ya msingi itakapomalizika.

Katika maombi yake, Kafulila aliitaka Mahakama itengue utekelezaji wa uamuzi huo wa chama chake ili aendelee kuwa mwanachama na mbunge wakati kesi ya msingi ikiendelea.

Wakili wa Kafulila, Daniel Welwel alisema jana kuwa ombi la mbunge huyo wa Kigoma Kusini kuzuia utekelezaji wa uamuzi wa chama chake, limekubaliwa.

Alisema ombi hilo lilikubaliwa jana kwa zuio lililotolewa na Jaji Alice Chingwile wa Mahakama Kuu na utekelezaji wake umeanza mara moja na kwamba utaendelea hadi hapo kesi ya msingi itakapomalizika.

“Amepata 'Injunction' kuzuia utekelezaji wa uamuzi wa Halmashauri Kuu (ya NCCR-Mageuzi) kumvua uanachama mpaka kesi ya msingi itakaposikilizwa,” alisema Welwel.

Alipoulizwa kama tayari Kafulila ameshawasilisha hati ya zuio hilo kwa viongozi wa NCCR-Mageuzi, alisema hajafanya hivyo kwa kuwa ndiyo kwanza walikuwa wamepata amri hiyo ya mahakama.

Awali, Kafulila alisema kwa kutolewa amri hiyo, ataendelea na majukumu yake ya ubunge kama kawaida na kuwataka wananchi wake kutokuwa na wasiwasi...
“Kikubwa ni kwamba nitaendelea kuwatumikia wananchi wangu   (Kigoma Kusini) hivyo wasiwe na wasiwasi,” alisema Kafulila.

Kafulila alifukuzwa uanachama pamoja na wenzake watatu, akiwamo aliyekuwa mgombea urais wa chama hicho katika uchaguzi wa mwaka jana, Hashim Rungwe.

Mbunge huyo kijana kabla ya kuvuliwa uanachama, Halmashauri ya NCCR-Mageuzi ilipokaa, aliingia katika ukumbi wa mkutano huo akiwa na nguvu na matumaini ya kumsimamisha uongozi Mwenyekiti wa chama chake, James Mbatia lakini upepo ulivuma vibaya kuelekea upande wake na hatimaye akajikuta akisulubiwa kwa kuvuliwa uanachama.

Kafulila alitokea Chadema kujiunga na NCCR- Mageuzi, mwishoni mwa mwaka juzi. Mwaka jana alifanikiwa kuingia bungeni baada ya kumshinda mgombea wa CCM, Kifu Gullamhussein.

Mwanasiasa huyo alianza kung’ara katika medani za siasa nchini kutokana na kusimamia hoja zenye maslahi ya umma kama Katiba Mpya, kupinga nyongeza ya posho za wabunge na kutaka wale ambao walisababisha hadi Dowans kupata tuzo ya zaidi ya Sh100 wachukuliwe hatua.

Safari ya kumshughulikia Kafulila ilianzia Desemba 8, mwaka huu baada ya kuvuliwa wadhifa wa Katibu Mwenezi wa chama hicho na baadaye kuhitimishwa kwa kumfukuza uanachama.

Wajumbe 64 wa mkutano huo wa Halmashauri ya NCCR-Mageuzi walifika katika ukumbi wa mkutano wakionekana kuwa na shauku ya kutaka kujua hatima ya chama hicho baada ya kuibuka kwa mvutano baina ya Kafulila, Mbatia na Katibu Mkuu, Samwel Ruhuza.

Katika mkutano huo, Mbatia alikuwa mmoja wa watuhumiwa ambao alipaswa kujibu madai ya kukifanya chama kama CCM B huku Kafulila akituhumiwa kuvujisha siri za chama nje ya utaratibu wa vikao. Moja ya tuhuma za Kafulila ni kueleza vyombo vya habari kwamba ameondolewa katika nafasi ya uenezi.

Tuhuma dhidi ya Mbatia zilitolewa na Kamishna wa chama hicho Mkoa wa Tanga, Mbwana Hassan pamoja na wengine 26 waliosaini hati ya kutokuwa na imani naye.

Hata hivyo, akizijibu shutuma hizo mbele ya waandishi wa habari Ruhuza alisema kuwa mkutano huo ulitoa maazimio kwamba Mbatia yuko safi, hodari na shujaa wa chama.

“Wajumbe wote waliotoa malalamiko walijiondoa na Mbatia akawa safi hiyo ikiwa ni pamoja na hao waliokuwa wakimpinga awali,” alisema Ruhuza.

Hali ya Hewa: Mafuriko makubwa yanakuja Dar


YASEMA ALHAMISI HADI JUMAMOSI KUWA SIKU MBAYA ZAIDI, PIA KUYAKUMBA MAENEO MENGINE NCHINI

Waandishi wetu
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetoa tahadhari ya kuendelea kunyesha mvua kubwa zaidi katika siku 10 zijazo, huku ikizitaja Alhamisi hadi Jumamosi kuwa ni siku za mafuriko mengine makubwa zaidi katika jiji la Dar es Salaam.

Wakati TMA ikitoa tahadhari hiyo, Shirika la Reli Tanzania (TRL), limesitisha safari za treni ya abiria kwa muda usiojulikana kutoka Dar es Salaam kwenda Kigoma, kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali ya nchi.

Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Dk Agnes Kijazi alisema jana katika taarifa yake kuwa kutokana na mvua hizo, ni vyema tahadhari zote zikachukuliwa mapema ili kuepuka maafa zaidi.

“Wale wananchi ambao wanaishi mabondeni na waliokumbwa na mafuriko, wahame kutokana na mvua zinazoanza kunyesha Desemba 27 (jana), hadi Desemba 31 mwaka huu, kwani zitaleta madhara makubwa kwa wanaoishi mabondeni na sehemu nyingine mbalimbali,” alisema Dk Kijazi.

Alisema kwamba ukanda wa mvua unatarajia kuimarika maeneo mengi nchini na mvua zinatarajiwa kuanza kwenye ukanda wa pwani, ikiwemo Mkoa wa Dar es Salaam na kuongezeka kuelekea mwaka mpya wa 2012.

Dk Kijazi alisema mifumo ya hali ya hewa inaonyesha kuimarika kwa hali ya joto katika Bahari ya Hindi na kuongezeka kwa msukumo wa hewa yenye unyevunyevu kutoka misitu ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC).

Alisema hali hiyo imesababisha makutano ya upepo katika eneo la Mashariki na Kusini Magharibi mwa nchi, kuanzia leo kuelekea mwaka mpya... “Hali hii inatarajia kusababisha kuanza kwa vipindi vya mvua kubwa katika maeneo mengi hapa nchini.”

Alisema maeneo ya mikoa ya ukanda wa Pwani (Dar es Salaam, Pwani, Mtwara, Lindi na Unguja), yanatarajiwa kuwa na vipindi vya mvua kubwa.

Dk Kijazi aliyataja maeneo mengine kuwa ni ya Nyanda za Juu Kusini Magharibi ambayo ni Mikoa ya Mbeya, Iringa na Rukwa na Kanda ya Kati katika Mikoa ya Dodoma na Singida.

“Kwa upande wa Magharibi mwa nchi, Mikoa ya Kigoma na Tabora na maeneo machache ya Nyanda za Juu Kaskazini Mashariki katika Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara, yanatarajiwa kuwa na vipindi vya mvua kubwa,” alisema.

Alisema kutokana na viwango vikubwa vya mvua vilivyonyesha, ongezeko kidogo la mvua linatarajia kusababisha mafuriko na uharibifu wa miundombinu, hivyo ni muhimu tahadhari stahili ziendelee kuzingatiwa.

Msimbazi wagoma
Licha ya tahadhari hiyo ya TMA, baadhi ya wakazi waishio katika Bonde la Mto Msimbazi wamedai kuwa hawataondoka katika nyumba zao zilizokumbwa na mafuriko hadi watakapoona maji yamejaa katika mto huo.
Wakizungumza jana kwa nyakati tofauti wakazi hao walisema hawana pa kwenda licha ya kuisikia tahadhari hiyo ya TMA.

“Ningekuwa mpangaji sawa, sasa mimi nimejenga nitakwenda wapi na kwetu ni mikoani huko,” alisema Ramadhani Kimbuyu wakati akifanya ukarabati wa nyumba yake huku akisisitiza kuwa kipimo chao kitakuwa Mto Msimbazi.

Alisema kosa walilofanya awali ni kupuuza licha ya kuona mto huo umejaa jambo ambalo alidai hawatalirudia... “Tukiona yamejaa tu tunahamia juu relini, yakipungua tunarudi.”

Kauli ya RC
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadiki amesema Serikali itawachukulia hatua kali watakaokaidi amri ilivyotangazwa na Rais Jakaya Kikwete ya kutorejea katika maeneo hatarishi ya mabondeni.

“Tangu mwaka 1979 Serikali ilitoa amri ya watu kuondoka mabondeni lakini wamekuwa wakikaidi na kuendelea kuishi, kitendo hicho kimechangiwa na uzembe kwa baadhi ya viongozi katika kutekeleza agizo hilo,” alisema.

Sadiki alisema baadhi ya watu wameanza kurejea kwenye mabonde yaliyoathirika na kuwaonya wasirudi na badala yake watafute maeneo mengine kuendesha makazi yao.

Alisema Serikali itawapatia waliojenga mabondeni viwanja na siyo wapangaji. Wakazi hao wametengewa viwanja katika eneo la Mabwe Pande lililoko mpakani na Bagamoyo, Pwani na kwamba mpaka sasa viwanja 700 vimeshapimwa.

“Baada ya kugawa viwanja hivi tutaanza zoezi la kuzibomoa nyumba walizokuwa wanaishi maeneo ya mabondeni ili kutoruhusu watu kurudi tena huko kwani bila kufanya hivyo, hatutafanikisha lengo hilo,” alisema Sadiki.

Treni zatishwa
Kutokana na mvua kubwa zinazonyesha maeneo mbalimbali nchini wa TRL, jana ulitangaza kusitishwa kwa safari za treni ya abiria kutoka Dar es Salaam hadi Kigoma... “Safari hizo zimesitishwa hadi itakapotangwa vinginevyo baadaye,” alisema Meneja Uhusiano wa TRL, Midladjy Maez.

Alisema abiria wote waliokuwa wamepanga kusafiri jana na katika treni zijazo, wanatakiwa kufika na tiketi zao katika ofisi za Stesheni Masta wa kituo husika ili warejeshewe fedha zao.

Walia na huduma mbovu
Waathirika wa mafuriko waliopo katika Kituo cha Hananasifu, Kinondoni Dar es Salaam, wamelalamikia uongozi wa kituo hicho kutoa huduma za chakula na malazi usiku bila umeme.

Wakizungumza kambini hapo jana waathirika hao walisema, uongozi unatoa huduma hizo waathirika kuanzia saa 4:00 hadi saa 6:00 usiku kitendo ambacho kinafanya baadhi yao wapoteze vifaa vyao.Kambi ya Hananasif imeshapoteza magodoro 50, ambayo inaelezwa na wananchi hao kuwa waliohusika ni baadhi ya viongozi waliopewa dhamana ya kuhudumia eneo hilo.

“Hapa kituoni hatuna umeme, lakini utaona viongozi wanakaa kimya mpaka ifike saa nne ndipo wanaanza kugawa magodoro, wengine wakishirikiana na vibaka usiku kuhamisha baadhi ya magodoro kupeleka mahali kusikojulikana,” alisema Hamed Shaban.

Tuesday, December 27, 2011

Wachunguzi waanza kazi Syria

Ujumbe wa Jumuia ya nchi za Kiarabu unaanza kazi yake nchini Syria kuchunguza makubaliano mepya ya kumaliza ghasia nchini humo.
Luteni Jenerali Mohammad al_dabi wa Sudan anaongoza ujumbe wa Kiarabu Syria
Wanaharakati wanasema baadhi ya vifaru vya serikali ya Syria vimeanza kuondoshwa katika mji wa Homs, ambako kwa miezi kadha kumekuwa na mapambano na waandamanaji wanaopinga serikali, na watu kadha wameuwawa.
Ujumbe huo unasema utakwenda kujionea hali ilivyo huko Homs.
Inaarifiwa kuwa watu kama 30 waliuwawa Jumatatu katika ghasia za karibuni kabisa.
Umoja wa Mataifa unasema watu zaidi ya 5000 wameuwawa tangu maandamano dhidi ya serikali kuanza nchini Syria mwezi wa March.

Natasha Giggs regrets affair with superstar footballer



Natasha Giggs, 29, had an eight-year affair with Manchester United winger Ryan Giggs, 38, when she was married to his brother Rhodri.
In an interview with The Sun, she said she was a fool to risk her marriage just for experiencing the high of sleeping with someone like Ryan Giggs.
Rhodri Giggs, 34, left her after the news of the affair broke, and now she's hoping he will take her back.
"Now I pray he will forgive me and we can be together again," she told The Sun.
The man found out about his wife's two-timing only in June when a Sunday newspaper ran an interview with her where she confessed it all.
Rhodri packed his bags and left - and Natasha spent their wedding anniversary in tears. She admitted that her decision to come clean to a paper rather than to Rhodri was "unforgivable".
She said she decided to go public about her affair after it emerged that the Manchester United player had cheated on his wife, Stacey, mother of his two children, with Big Brother beauty Imogen Thomas.
Ryan Giggs took out a gag order to stop Thomas from selling her story to the media. But last week, the High Court in London cleared the 28-year-old Thomas of trying to blackmail him.

N Korea set to mobilise masses for funeral


SEOUL - North Korea is expected to mobilise hundreds of thousands of mourners for Wednesday's funeral of late leader Kim Jong-Il, as the world watches for clues to future powerbrokers in the nuclear-armed nation.
Pyongyang's state media has so far given no details of the planned event, and foreign guests are barred.
But analysts expect largely a re-run of the 1994 obsequies for Kim's father and founding president Kim Il-Sung - a ceremony designed to pay homage to the late leader and build loyalty to his dynastic successor.
"The outpouring of grief in 1994 was prevalent throughout Pyongyang, with almost all citizens out to bid farewell to their leader," Yang Moo-Jin of Seoul's University of North Korean Studies told AFP.
"The grief for Kim Il-Sung was genuine, with many people expressing real sorrow. The mood this time appears to be slightly different," Yang said.
"The regime used the 1994 funeral to strengthen public allegiance and loyalty to new leader Kim Jong-Il. His own funeral this week will be staged in a similar way."
The communist state has proclaimed Kim's youngest son Jong-Un the "great successor" since his father died on December 17 aged 69.
But while Kim Jong-Il had 20 years to prepare for his takeover, Jong-Un has had barely three. Analysts are seeking clues about who will have most influence with the untested son, only in his late 20s.
"Old-time Kremlinologists will have a field day figuring out who is standing where and what it all means," Ralph Cossa, president of the Pacific Forum CSIS, said of Wednesday's funeral.
The North declared 10 days of national mourning after Kim Il-Sung died aged 82 on July 8, 1994.
State media depicted scenes of feverish collective grief for him, as it has for his son, with long lines of mourners in front of statues and portraits.

Car seat of the future will identify your butt



TOKYO - Engineers at the Advanced Institute of Industrial Technology have developed a car seat that can identify you by the pressure you apply on a seat when sitting down, Japanese daily Nikkei reported.

The report said the group of engineers at the Tokyo public graduate school will seek to market their innovation as a highly reliable anti-theft system through collaboration with automakers in two or three years.

The system works through a sensor attached under the driver's seat to measure pressure at 360 points, the report said. The pressure at these points is shown in an index that runs from 0 to 256.

Click here to find out more!
According to the report, a trial test was able to distinguish the individuals with about 98 per cent accurary.

According to a document published online, the engineers claimed that car seat pressure identification has a higher accuracy rate and is a less stressful solution for the user, as compared to other authentication systems that use passwords or keys which can be easily duplicated.

The document said that the car pressure identification system won't be affected by factors such as noise, dust or brightness. In the trial test, it also succeeded in identifying the different seating pressure styles of six people.

The technology could also be used to implement a user-recognition system for the office as opposed to logging in on the computer, the document said.

However, the technology's high cost presents a problem for actual commercial use, the group said in the document.

Car seat of the future will identify your butt

TOKYO - Engineers at the Advanced Institute of Industrial Technology have developed a car seat that can identify you by the pressure you apply on a seat when sitting down, Japanese daily Nikkei reported.

The report said the group of engineers at the Tokyo public graduate school will seek to market their innovation as a highly reliable anti-theft system through collaboration with automakers in two or three years.

The system works through a sensor attached under the driver's seat to measure pressure at 360 points, the report said. The pressure at these points is shown in an index that runs from 0 to 256.

Click here to find out more!
According to the report, a trial test was able to distinguish the individuals with about 98 per cent accurary.

According to a document published online, the engineers claimed that car seat pressure identification has a higher accuracy rate and is a less stressful solution for the user, as compared to other authentication systems that use passwords or keys which can be easily duplicated.

The document said that the car pressure identification system won't be affected by factors such as noise, dust or brightness. In the trial test, it also succeeded in identifying the different seating pressure styles of six people.

The technology could also be used to implement a user-recognition system for the office as opposed to logging in on the computer, the document said.

However, the technology's high cost presents a problem for actual commercial use, the group said in the document.

Mbatia ampiku Kikwete


Na Kondo Tutindaga
 
Uchambuzi

WIMBI la migogoro katika vyama vya siasa nchini limezidi kutanda. Inavyoonekana kwa sasa ni kuwa hakuna chama chenye ubavu wa kumcheka mwenzake. Kwa hatua hii, ni vigumu kulisemea kwa usahihi. Kwamba huku dalili ya kukua kwa demokrasia ndani ya vyama au kukua kwa udikteta.
Tumeshuhudia kwa macho yetu vyama vilivyofukuza wanachama kama njia ya kumaliza migogoro kutofanikiwa kutatua migogoro hiyo. Hali kadhalika vile vilivyoshindwa kuwafukuza wanachama wasio na nidhamu pia havikufanikiwa kumaliza matatizo yaliyopo. Kufukuzana au kutofukuzana si suluhisho la migogoro.
Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambacho kwa miaka mingi kilikuwa kinavizomea vyama vya upinzani kuwa havijakomaa na ndiyo maana vinafukuzana mara kwa mara, kimejikuta katika mgogoro usiokwisha unaotokana na kutaka kuwafukuza wanaowaita mafisadi. Mgogoro wa ndani ya chama hiki ni mkubwa kwa sababu kuu tatu.
Kwanza, ni chama kikubwa na kwa hiyo mgogoro wake lazima uwe mkubwa. Pili, kwa mara ya kwanza, chama hicho kinakabiliwa na ombwe la uongozi kiasi cha hata kushindwa kutunza kumbukumbu za vikao vyake na wakati mwingine kulazimika kutumia magazeti ili kukumbuka kiliamua nini katika vikao vilivyopita.
Tatu, mgogoro ndani ya CCM umegeuka mgogoro ndani ya serikali. Kutumia mtindo wa kufukuzana ni sawa na kuivunja serikali; na kusita kufukuzana ni sawa na kuuboresha mgogoro ili uenee hata katika vyombo vingine na hatimaye nchi nzima. Kimsingi, huu si mgogoro unaoweza kutatuliwa na Rais Jakaya Kikwete tunayemfahamu.
Wimbi hili la migogoro kwa sasa linachemka kwa kasi katika vyama viwili vya upinzani – Chama cha Wananchi (CUF) na chama cha NCCR-Mageuzi. Hivi ni vyama vilivyowahi kuwa vyama vikuu vya upinzani nchini. Vilifanya makosa kadhaa vilipokuwa kileleni na kusababisha kuporomoka kwake.
Baada ya kuporomoka vikafanya kosa jingine linalovigharimu kwa sasa. Vikajiruhusu kuingia katika ubia wa wazi na wa siri na CCM. Ubia huu haujavisadia vyama hivi, badala yake umewatumbukiza kwenye mgogoro mkubwa wa kiimani mbele ya wananchi.
Baadhi ya wanasiasa wazoefu ndani ya CCM wanasema bila kumung’unya maneno kuwa CUF na NCCR-Mageuzi vilifanya makosa makubwa kukiamini chama hicho kwa sababu usaliti wa vyama hivyo kwa agenda ya upinzani ni dalili kuwa vinaweza kukisaliti hata CCM yenyewe. Usaliti huo ndiyo kiini cha fukuzana iliyotokea NCCR- Mageuzi na ndiyo unaoinyemelea CUF.
Ndani ya NCCR-Mageuzi wameweza kuwafukuza uanachama baadhi ya viongozi wake mashuhuri akiwamo mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila; navutika kusema uamuzi huo hata kama haupendwi na wengi, una fundisho muhimu kisiasa.
Mafundisho ya kisiasa yaweza kuwa mabaya au mazuri. Hili la NCCR-Mageuzi lina fundisho zuri kwa CCM. Fundisho hilo linaweza kugeuka kuwa pigo kwa CCM pia.
NCCR-Mageuzi kilikuwa na wabunge wanne tu wa majimbo na wote wanatoka mkoa wa Kigoma. Kwa bahati mbaya wabunge wake hawa wamejikuta ni maarufu kuliko chama chao na maarufu kuliko hata uongozi wa chama chao kitaifa. Umaarufu na ujana ni kama petroli na moto. Yako makosa mengi kisiasa yanaweza kufanywa na wanasiasa vijana waliofanikiwa kuwa maarufu. Hata wabunge hawa wa NCCR wamejikuta katika mtanange huo.
Chama chao kilitegemewa kitambue mgogoro huu na kuwasaidia lakini kimeamua kutanguliza maslahi ya chama kuliko umaarufu wa wanachama wake. Hatua hii ni ya msingi na kwa hili nakipongeza chama hiki. Suala la kama uamuzi huu umefanywa ili kulinda maslahi ya chama au kulinda viongozi walioishiwa mvuto na maono tuliache kwa muda, lakini uamuzi wa kuwapa adhabu wanachama wanaokihujumu chama ni wa kupongezwa.
Wakati CCM kina wabunge zaidi ya mia tatu na madiwani wengi sana, kimeshindwa kufukuza wabunge wake wawili ili kurudisha nidhamu ndani ya chama chake – ambayo imeporomoka tangu awamu ya nne iingie madarakani.
Ndani ya chama hiki, kila mwanachama amegeuka msemaji. Waadilifu ni wasemaji na hata mafisadi wana sauti pia. Imefikia wakati hata viongozi wanaogopa kuitisha vikao kwa sababu ya kutotabirika kwa matokeo ya vikao hivyo.
Mwenyekiti wa chama, Rais Kikwete aliasisi kauli mbiu ya kujivua gamba ili kukinusuru chama na viongozi walio mzigo kwa chama hicho. Lakini wanachama wake wakagawanyika kuhusu azma hii na kumfanya mwenyekiti ama akwepe kuongoza hatua za kuchukua au ajute ni kwa nini alianzisha kauli mbiu hii.
Siyo tu kwamba aligeuziwa kibao na kuonekana yeye pia ni “gamba la kuvuliwa,” ispokuwa vikao vya maamuzi vya chama chake vilimeguka vipande vipande na kukifanya chama kishindwe mpaka sasa kuchukua hatua dhidi ya wanachama wanaokichafua chama hicho mbele ya jamii.
Katika hali ya kushangaza sana, makundi yote yaliyo ndani ya CCM, hakuna hata kundi moja linalopingana na hoja ya kuwa ufisadi umekithiri ndani ya chama hicho. Karibu makundi yote yanakubaliana na malalamiko ya mwenyekiti wao kuwa chama chao kimepoteza mvuto mbele ya wapiga kura kutokana na viongozi walio mzigo kwa chama (mafisadi) na kuna haja ya kuwaondoa ili kukipa chama sura inayowapa watu matumaini mapya.
Kinachoyafanya makundi kutofautiana, ni juu ya nani hasa ni fisadi na mzigo kwa chama. Wapo wanaonyosheana vidole na kutuhumiana kuwa ni mafisadi. Lakini wapo wanaosema makundi yote ni mafisadi ama wa fikra au matendo. Hali hii ndiyo inayoweza kuwa imesababisha kushindikana kuchukuliwa hatua dhidi ya mafisadi.
Kutofautiana maoni juu ya; ni nani hasa fisadi; na nani si fisadi, ni jambo la kawaida katika maisha ya chama cha siasa. Tatizo ni pale inaposhindikana kufikia muafaka na kusonga mbele. Ikitokea hali ya namna hiyo kama ilivyotokea ndani ya CCM, tatizo linakuwa si ufisadi tena, bali uongozi. Chama kikubwa kukosa uongozi ni balaa na kimsingi ni afadhali ya kuwa na chama kidogo kama NCCR-Mageuzi lakini chenye uongozi unaofanya maamuzi.
Hii ndiyo sababu nadiriki kusema kuwa uamuzi wa NCCR-mageuzi kuwafukuza uanachama wake akiwamo mbunge mmoja ni pigo na fundisho kwa CCM.
Kwamba CCM kimeendelea kukumbatia viongozi wabovu katika ngazi zote kwa kutishiwa nyau na viongozi hao kila kinapoonyesha dalili za kuwafukuza au kuwapa adhabu. Wakati mwingine udhaifu wa kiuongozi ndani ya chama hicho umeshindwa kuwachukulia hatua makada wake na kuwaona kuwa ni maarufu sana kuliko chama chenyewe na kuhofia kuwa kikiwafukuza wataondoka na wanachama wengi.
Aidha, CCM kimeshindwa kufanya upembuzi yakinifu na kugundua kuwa umaarufu wa kiongozi wa chama siasa mara nyingi ni pale anapokuwa bado ni kiongozi. Akifukuzwa umaarufu wake hupungua na hata baadhi ya watu aliodhani watamfuata huwa wanaingia mitini na kupotea. Kufukuzwa uongozi ni pigo kwa kiongozi kuliko kuwa pigo cha chama kinachomfukuza hata kama uamuzi wenyewe umefanywa kimakosa.
Hii ni kwa sababu dhamana ya uongozi ikishaondolewa, sababu ya watu kumfuata kiongozi huyo huwa haipo tena. Kimsingi mpaka hapa, CCM inazidi kuwapa umaarufu wanachama wake inaochelea kuwafukuza. Watu hawa wameendelea kuwa maarufu zaidi kuliko walivyokuwa kabla CCM haijatangaza azma ya kuwafukuza.
Kufukuzana ni silaha muhimu hata kama wakwale wanaodai si muhimu. CCM watakuja kugundua siku moja, kwamba kuendelea kukumbatia mafisadi na kuwa na kigugumizi kutawagharimu na hawatakusahau.
Uamuzi uliofanya na NCCR-Mageuzi ni wa kishujaa hata ukiwagharimu huko mbele chama hicho kichanga katika siasa za mizengwe. Kama chama hiki kingeamua kubaki na Kafulila na wenzake kingeendelea na migogoro isiyokwisha na mwisho wa siku kingepotea kwenye lamani ya kisiasa.

Kombora mbio za urais 2015

Mchungaji Lusekelo asema kuwaza sasa ni utoto wa moyo, Sitta: urais unakuja wenyewe
Fidelis Butahe
MCHUNGAJI wa Kanisa la Maombezi, Anthony Lusekelo amesema mbio za urais za 2015 zitalipeleka taifa kubaya huku akisema wanaofanya harakati hizo kwa kasi hivi sasa ni sawa na watu wenye “utoto wa moyo.”Wakati mchungaji huyo akisema hayo, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta amesema anachukizwa na tabia ya baadhi ya watu kuota urais kila siku na kuacha kuutumikia umma ambao umegubikwa na kero nyingi ikiwemo umasikini.

Kauli za Mchungaji Lusekelo na Sitta zinakuja kipindi ambacho baadhi ya wanasiasa wamekuwa wakipigana vikumbo kuwania kumrithi Rais Jakaya Kikwete mwaka 2015, huku CCM kikiri kuwa mbio hizo zimekiongezea mpasuko.

Hivi karibuni sekretarieti ya CCM ilipeleka kwenye Halmashauri ya CCM (Nec), taarifa ya hali ya siasa ndani ya chama hicho ikieleza mambo matatu kuwa ndiyo yanayokisumbua. Hayo ni pamoja na mbio za urais 2015, mchakato wa kujivua gamba na kura za maoni za ubunge za mwaka jana.

Akizungumza na waandishi wa habari jana katika salamu zake za Sikukuu ya Krismas na Mwaka Mpya, Mchungaji Lusekelo maarufu kama 'Mzee wa Upako' alisema umefika wakati kwa wanasiasa kutambua kuwa 2015 si mwisho wa dunia na kwamba kuna maisha baada ya mwaka huo.

“Ni heri ilivyokuwa miaka ya nyuma maana ili uwe mwanasiasa ulikuwa lazima usome… walikuwa wakisomea pale chuo cha Kigamboni, jambo hili hivi sasa halipo na kila mtu anataka kuwa mwanasiasa,” alisema Mchungaji Lusekelo.

Alisema siasa ni taaluma kama zilivyo nyingine na kitendo cha wanasiasa ambao kitaaluma si wanasiasa kulumbana katika jambo fulani wanaoumia si wao, bali ni Watanzania.

“Si vyema kwa viongozi wa kisiasa kulumbana kwani watakaoumia ni Watanzania na jambo hili lisipoangaliwa, hali inaweza kuwa mbaya zaidi mwaka 2015,” alisema

Alisema kitendo cha viongozi mbalimbali wa Serikali kustaafu na kupewa kazi nyingine, ndicho chanzo cha kuwa na viongozi waliolewa uongozi.

“Huu ndiyo utoto wa moyo ninaousema, mtu anaacha uwaziri kisha anapelekwa kuwa kiongozi wa shirika au taasisi fulani ya Serikali, kila siku viongozi ni walewale na ndiyo mwanzo wa kuwa na viongozi walevi wa uongozi,” alisema.

Posho za wabunge
Akizungumzia posho za wabunge ambazo zimeongezwa kutoka Sh70,000 hadi 300,000, alisema tatizo si posho, bali ni mfumo mzima wa kulipana posho.

Licha ya kuitaka Serikali kutowatupa watumishi wake katika kuwalipa vizuri, Mchungaji Lusekelo alitoa angalizo kwamba kiwango kikubwa cha posho kitawafanya wasiokuwa wanasiasa nao kutaka kuwa wabunge.

“Tunaweza kuwa na bunge la watu fulani hivi waliofuata posho na si watendaji na wanasiasa makini,” alisema.

Katiba Mpya
Akizungumzia suala la mchakato wa Katiba Mpya ambao juzi Mwenyekiti wa Kigoda cha Mwalimu Nyerere, Profesa Issa Shivji aliuponda kuwa ni mbovu na hautazaa katiba bora, Mchungaji Lusekelo alisema ili kufikia tamati ya uwepo kwa Katiba Mpya ni lazima Watanzania waaminiane.

“Muswada ndiyo huo umepitishwa, nadhani kinachotakiwa hivi sasa ni kuaminiana tu, Katiba Mpya ni jambo zuri na mwenye uwezo atoe maoni yake juu ya Katiba anayoitaka. Katiba iliyopo ni nzuri ila ina upungufu wake hasa katika kipengele cha madaraka makubwa aliyonayo Rais.”

Sitta: Urais unakuja wenyewe
Katika hotuba yake aliyotoa jimboni kwake Urambo Mashariki mwishoni mwa wiki, Sitta alisema urais ni jambo linalokuja lenyewe kwa watu waadilifu hivyo hakuna haja ya kuuota kila siku.

“Urais unakuja wenyewe kwa watu walio waadilifu. Nachukizwa na watu ambao wao kila siku wamekuwa na mawazo ya urais na kuacha mambo ya msingi ya kutumikia wananchi wa Tanzania,” alisema.

Sitta ambaye alikuwa Spika wa Bunge la Tisa, alisema anachukizwa pia na kuhusishwa katika harakati za urais wa 2015 akisema ni mapema mno kufikiria jambo hilo sasa kwani bado kuna muda mwingi.
Alisema urais si suala la kukimbilia wala kulitafuta kwa nguvu na mbinu chafu akisema siku zote watu waadilifu wanafahamika na hakuna haja ya kutumia nguvu nyingi kutafuta madaraka hayo ya juu ya nchi.

“Haya mambo ya urais kila siku hayana maana. Kibaya zaidi watu wanahamisha mambo ya msingi na kuyapeleka katika fikra za ovyo.  Hebu ufike wakati tuangalie matatizo ya wananchi kwanza tusifikirie vitu ambavyo havimsaidii mwananchi wala taifa,” alisema.

Hatima ya Hamad Rashid wa CUF leo


Kizitto Noya
HATIMA ya uanachama ya Mbunge wa Wawi (CUF), Hamad Rashid Mohamed inatarajiwa kujulikana leo atakapojieleza mbele ya Kamati ya Nidhamu na Maadili ya chama hicho.

Hatua hiyo inakuja siku chache baada ya Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila kuvuliwa uanachama na chama chake hicho kwa madai ya kukiuka maadili na katiba ya chama ambayo kwa kiasi kikubwa yanafanana na yale yanayomkabili Hamad.

Hamad hivi karibuni amejikuta katika mgogoro na baadhi ya viongozi wa makao makuu ya CUF baada ya kutangaza kuwania nafasi ya katibu mkuu wa chama inayoshikiliwa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad na kuanza kupita kwenye matawi akigawa misaada, hatua ambayo ilisababisha vurugu katika matawi aliyopita huku tukio katika Tawi la Chechnya lililopo Manzese, likisababisha umwagaji damu baada ya wanachama wanaomuunga mkono kupambana na walinzi wa Blue Guard.

Baada ya vurugu hizo, Naibu Katibu Mkuu wa CUF, Julius Mtatiro alisema Hamad angeitwa mbele ya kamati hiyo na jana, taarifa ya  CUF ilisema mbunge huyo leo atahojiwa na kamati hiyo kwa tuhuma za kuvunja katiba ya chama hicho.

Kwa mujibu wa Katiba ya CUF, adhabu ya kosa la kuvunja Katiba ya chama ni kupewa onyo kali, kusimamishwa au kufukuzwa uanachama.Hamad Rashid mwenyewe, alithibitisha kuitwa kwenye kikao hicho na wanachama wenzake 13 wanaomuunga mkono.“Ni kweli nimeitwa lakini tuko wengi kidogo. Wameniandikia barua kuniita kwenye Kamati ya Nidhamu na Maadili kesho (leo), ila nasikitika kwamba walianza kunihukumu kabla ya kunisikiliza,” alisema Hamad.

Kuhusu alichoitiwa Hamad alisema: “Wanasema nimevunja Katiba ya chama,” huku akirejea adhabu zilizoanishwa kikatiba juu ya kosa hilo.Lakini, akionekana kujua kitakachomtokea kwenye kikao hicho, Hamad alisema kuwa atakata rufaa kupinga uamuzi wa kufukuzwa uanachama.
“Mimi kuitwa nilitarajia lakini hofu yangu ni kwamba wameshanihukumu kabla ya kunisikiliza. Ila msimamo wangu bado uko palepale, nitakata rufaa kupinga adhabu ya kufukuzwa uanachama,” alisema.

Awali, katika taarifa yake kwa vyombo vya habari jana, Mkuu wa Idara ya Nidhamu na Maadili ya CUF, Abdul Kambaya alisema Hamad na wenzake hao 12 wanaitwa kwenye kikao hicho ili kusomewa tuhuma zinazowakabili na kuwapa fursa ya kujieleza.
“Tayari tumeshawapa barua za kuwaita kwenye Kamati ya Nidhamu ya Chama kuanzia 27 na 29 kwa mahojiano zaidi,” alisema Kambaya na kuongeza kuwa kuhojiwa kwa viongozi hao kuna baraka zote za chama.

Mbali na Hamad, Kambaya aliwataja watuhumiwa wengine walioitwa kwenye kamati hiyo kuwa ni Juma Saidi Saanan (Mjumbe wa Baraza Kuu Unguja) na Shoka Khamis Juma (Mjumbe wa Baraza Kuu kutoka Pemba).
Wengine ni Doyo Hassan Doyo (Mjumbe wa Baraza Kuu Tanga), Yasini Mrotwa (Mjumbe wa Baraza Kuu Mbeya), Doni Waziri (Mwenyekiti wa Wilaya ya Ilala) na Mohamedi Massaga (Katibu wa Wilaya ya Ilala).

Wanachama wengine Albadawi (Mwenyekiti wa Wilaya ya Temeke), Amir Kilungi, Yusufu Mbungilo (Mkurugenzi wa Mipango na Uchaguzi Wilaya ya Temeke) na Nanjase ambaye ni Mwenyekiti wa Wilaya ya Nachingwea.

Pia wamo Tamimu Omari (Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mkunduge, Kata ya Tandale) na Ahmed Issah kutoka Wilaya ya Morogoro Mjini.“Tumeamua kuwaita kwa malengo ya kujadiliana na kuangalia mustakabali wa chama kwa mujibu wa katiba ya chama chetu,” imesema taarifa hiyo na kuongeza:

"Tunawomba wanachama kuendeleza amani na utulivu hasa katika kipindi hiki ambacho chama kinakaa katika vikao vya uamuzi.”
Baadaye Kambaya alisema kwa simu kuwa kamati hiyo, haina mamlaka ya kuwapa adhabu watuhumiwa hao hata kama watabainika kuwa na makosa.
“Sisi kazi yetu ni kuwasomea tuhuma zao na watapewa muda wa kujieleza kisha tutapendekeza adhabu kwenye vikao vya uamuzi ambavyo ni Kamati ya Utendaji na Baraza Kuu la Uongozi.”

Alipoulizwa vikao hivyo vitakaa lini alisema: “Kamati ya Utendaji itaketi Desemba 30 na Baraza Kuu la Uongozi Desemba 31, mwaka huu.”
Hata hivyo, alieleza kuwa mtuhumiwa asiyekubaliana na uamuzi wa vikao hivyo anaweza kukata rufaa kwenye Mkutano Mkuu wa Taifa ambao katika suala hilo, utapangwa na Baraza la Uongozi.

Ingawa haijathibitika kama Hamad na wenzake hao watafukuzwa uanachama, CUF ina historia ya kufanya hivyo kwa wanachama wake. Kumbukumbu zinaonyesha kuwa waliowahi kukumbuwa na masahibu hayo ni pamoja na aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho, James Mapalala na aliyekuwa Mbunge, Naila Jidawi na Salum Msabaha.

Lakini Kambaya alisema katika taarifa hiyo kuwa: “Tunawaahidi wanachama na Watanzania kuwa hatutamuonea yeyote katika uamuzi utakaotolewa na vikao vyote.”

Mgogoro wa Hamad na Maalim Seif ulianza kuibuka baada ya Hamad kutangaza nia yake ya kuwania ukatibu mkuu wa CUF kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika 2014.

Mgororo huo ulipambana moto mwishoni mwa Novemba katika mkutano wa Hamad uliofanyika Manzese, Dar es Salaam ambako mabaunsa wa chama hicho walivamia mkutano huo na kusababisha mapigano baina yao na wanachama waliokuwa wamehudhuria.

Tangu hapo, Seif na Hamad wamekuwa wakizunguka kwa nyakati tofauti mikoani mbalimbali nchini na kutoa matamko kadhaa kuhusu ugomvi huo.Mara ya mwisho Seif akiwa Mwanza, alisema mgogoro huo utamalizwa katika vikao vya ndani vya chama hicho.

Kwa upande wake, Rashid akiwa mkoani Singida alisema hana hofu na vikao hivyo na kwamba anavisubiri kwa hamu ili akaseme kile alichokiita ukweli juu ya hatima ya chama hicho chini ya uongozi wa Maalim Seif.