Mahakama moja nchini Thailand imemhukumu mzee mwenye umri wa miaka 61 miaka ishirini jela kwa kutuma ujumbe mfupi wa simu unaokashfu mamlaka ya kifalme.
Mtu huyo, Ampon Tangnoppakul, alipatikana na hatia kwa kutuma ujumbe huo mara nne kwa njia ya simu ya mkononi kwa afisa mmoja wa ofisi ya waziri mkuu wa zamani, Abhisit Vejjajiva, wakati wa maandamano ya kupinga serikali mwaka uliopita.
Mtu huyo amehukumiwa chini ya sheria ya makosa ya matumizi mabaya ya kompyuta, na sheria inayolenga kulinda heshima ya mamlaka ya kifalme nchini humo.
Wakosoaji wanasema sheria zote mbili zimegubikwa na siasa na zinazuia uhuru wa kutoa maoni nchini Thailand.
Thursday, November 24, 2011
Rais Ali Abdullah Saleh wa Yemen ametia saini makubaliano ya kujiuzulu kwake.
Bw.Saleh alitia saini makubaliano hayo yaliyopendekezwa na nchi jirani za ghuba katika mji mkuu wa Saudi Arabia , Riyadh.Chini ya makubaliano hayo atamkabidhi madaraka naibu wake kabla ya uchaguzi mkuu utakaotishwa mapema na yeye mwenyewe atapata msamaha wa kinga ya kufikishwa mahakamani.
Lakini baadhi ya waandamanaji nchini Yemen wamesema watakataa makubaliano yoyote ambayo yatampa kinga rais na maafisa wake.
Waandamanaji hao walisema mpango huo wa nchi za Ghuba umepuuza "damu ya mashahidi."
Hatua ya serikali kupambana na waandamanaji imesbabaisha vifo vya mamia ya watu na maelfu kujeruhiwa nchini Yemen.
Kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 69 aliyetawala tangu 1978 amekabiliwa na maandamano tangu mwanzoni mwa mwaka huu.
Mara kadhaa alionekana kuwa tayari kutia saini makubaliano lakini alikuwa akibadili nia yake dakika za mwisho.
Wakati huo huo kumezuka mapambano kati ya wanajeshi wanaomuunga mkono Rais Saleh na wapiganaji wa kiongozi muasi wa kikabila Sheikh Sadiq al-Ahmar katika wilaya ya al-Hasaba mjini Sanaa,ingawa taarifa za awali hazikueleza kama kulikuwa na maafa yoyote.
CC yataka JK akutane na vyama vyote, si Chadema
KAMATI Kuu (CC) ya CCM, imemwagiza Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete akutane na vyama vyote vya siasa badala Chadema peke yake.
Kamati hiyo imesema ni muhimu hatua hiyo ya kuzungumzia muswada wa Katiba ikafanywa kwa umakini mkubwa kwa kuwa jambo hilo, linawagusa Watanzania wengi.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alisema jana Mjini Dodoma kuwa Muswada wa Marekebisho ya Katiba ni moja ya mambo yaliyojadiliwa kwa kina katika kikao hicho cha Kamati Kuu.
Agizo la chama hicho limekuja baada ya Rais Kikwete kupokea na kukubali ombi la Chadema la kukutana naye ili kujadili suala la Katiba.
Katika kutekeleza azma hiyo ya kuonana na Rais, Chadema iliunda timu ya watu saba chini ya Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe ambayo imepewa kazi ya kushughulikia suala hilo.
“Chama kimempongeza mwenyekiti kwa hotuba yake nzuri kuhusu mchakato wa Katiba Mpya. Pamoja na kukubali akutane na Chadema, tumetahadharisha kuwa lazima kushirikisha na wajumbe wengine kutoka vyama vyenye uwakilishi ndani ya Bunge isiwe Chadema pekee,’’ alisema Nape.
Alisema CCM kinaamini kuwa njia ya majadiliano waliyoitumia Chadema katika kutafuta haki ni nzuri na fursa hiyo ikitumiwa vizuri, inaweza kuleta maelewano mazuri na faida kwa jamii.
Viongozi wa dini wampongeza JK
viongozi wa dini, wasomi na wanasiasa, wamepongeza hatua ya Rais Jakaya Kikwete kukubali kukutana na viongozi wa Chadema ili kusikiliza madai yao juu ya Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Katiba wa mwaka 2011.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti jana, walisema uamuzi huo wa Rais umeonyesha kuwa amesoma alama za nyakati na wakamtaka atafute fursa ya kukutana na wadau wengine kupata maoni yao pia kuhusu suala hilo.
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Bashiru Ally alisema ni muhimu Rais akakutana na wadau hao kwa awamu, kwa kuwa Chadema hawawezi kuwawakilisha watu wote wanaopinga muswada huo.
“Chadema wajue wana madukuduku yao ambayo si ya watu wote, hivyo kuwe na awamu ya kukutana na Rais kwa ajili ya jambo hili,” alisema.
Alisema ni muhimu Rais akawa msikivu na akazialika taasisi zote Ikulu na kujadiliana nazo ili kupata ufumbuzi wa suala hilo lililoonekana kuwa bado ni tata.
“Suala la Katiba ni kubwa na hiyo aliyofanya Rais ni hatua moja hivyo ni bora taasisi zote zihusishwe na utafutwe muda wa kukutana naye pamoja,” alisema.
Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe alisema ni muhimu kwa wadau wote wa Katiba kupewa fursa ya mazungumzo ili muafaka upatikane kwa lengo la kuwa na Katiba bora.
Zitto alisema hatua hii ya Rais Kikwete kukubali kukutana na Chadema ni njema: “Nchi haiongozwi barabarani. Kitendo cha Chadema kuachana na maandamano na kuamua kwenda kukutana na Rais na yeye kukubali hilo, nawapongeza wote,” alisema Zitto.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Makanisa ya Pentekoste Tanzania (PCT), Dk David Mwasota amepongeza hatua ya Rais Kikwete kukubali kukutana na uongozi wa Chadema.
Dk Mwasota alisema hatua hiyo ni njema na inaonyesha mwanga bora na mwelekeo wenye kuleta matumaini mapya kwa taifa. Alisema kwa muda sasa kumekuwa na matukio yanayoonyesha ishara mbaya likiwemo la mchakato wa kuandika Katiba Mpya ambao wabunge wa Chadema na NCCR-Mageuzi walisusia mjadala wake bungeni.
“Tunampongeza Rais Kikwete, hii ni hatua inayoashiria mwanga bora kama wa asubuhi, ni imani yetu kuwa mazungumzo hayo yatazaa matunda na kurejesha amani na utulivu ambao tayari kumekuwa na ishara mbaya juu yake,” alisema Dk Mwasota.
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Deus Kibamba alisema hatua ya Chadema kukutana na Rais ni jambo jema na inastahili kufanywa pia kwa vyama vingine vya siasa.
Alisema Rais ni mkuu wa nchi na kiongozi wa wote hivyo Chadema kutaka kukutana naye kwa ajili ya kuwasilisha madai yao wako sahihi.Kuhusu mjadala wa Katiba alisema ni mchakato unaohusu wananchi wote na kwamba wanasiasa wana nafasi yao kama ilivyo kwa wananchi.
Kamati hiyo imesema ni muhimu hatua hiyo ya kuzungumzia muswada wa Katiba ikafanywa kwa umakini mkubwa kwa kuwa jambo hilo, linawagusa Watanzania wengi.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alisema jana Mjini Dodoma kuwa Muswada wa Marekebisho ya Katiba ni moja ya mambo yaliyojadiliwa kwa kina katika kikao hicho cha Kamati Kuu.
Agizo la chama hicho limekuja baada ya Rais Kikwete kupokea na kukubali ombi la Chadema la kukutana naye ili kujadili suala la Katiba.
Katika kutekeleza azma hiyo ya kuonana na Rais, Chadema iliunda timu ya watu saba chini ya Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe ambayo imepewa kazi ya kushughulikia suala hilo.
“Chama kimempongeza mwenyekiti kwa hotuba yake nzuri kuhusu mchakato wa Katiba Mpya. Pamoja na kukubali akutane na Chadema, tumetahadharisha kuwa lazima kushirikisha na wajumbe wengine kutoka vyama vyenye uwakilishi ndani ya Bunge isiwe Chadema pekee,’’ alisema Nape.
Alisema CCM kinaamini kuwa njia ya majadiliano waliyoitumia Chadema katika kutafuta haki ni nzuri na fursa hiyo ikitumiwa vizuri, inaweza kuleta maelewano mazuri na faida kwa jamii.
Viongozi wa dini wampongeza JK
viongozi wa dini, wasomi na wanasiasa, wamepongeza hatua ya Rais Jakaya Kikwete kukubali kukutana na viongozi wa Chadema ili kusikiliza madai yao juu ya Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Katiba wa mwaka 2011.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti jana, walisema uamuzi huo wa Rais umeonyesha kuwa amesoma alama za nyakati na wakamtaka atafute fursa ya kukutana na wadau wengine kupata maoni yao pia kuhusu suala hilo.
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Bashiru Ally alisema ni muhimu Rais akakutana na wadau hao kwa awamu, kwa kuwa Chadema hawawezi kuwawakilisha watu wote wanaopinga muswada huo.
“Chadema wajue wana madukuduku yao ambayo si ya watu wote, hivyo kuwe na awamu ya kukutana na Rais kwa ajili ya jambo hili,” alisema.
Alisema ni muhimu Rais akawa msikivu na akazialika taasisi zote Ikulu na kujadiliana nazo ili kupata ufumbuzi wa suala hilo lililoonekana kuwa bado ni tata.
“Suala la Katiba ni kubwa na hiyo aliyofanya Rais ni hatua moja hivyo ni bora taasisi zote zihusishwe na utafutwe muda wa kukutana naye pamoja,” alisema.
Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe alisema ni muhimu kwa wadau wote wa Katiba kupewa fursa ya mazungumzo ili muafaka upatikane kwa lengo la kuwa na Katiba bora.
Zitto alisema hatua hii ya Rais Kikwete kukubali kukutana na Chadema ni njema: “Nchi haiongozwi barabarani. Kitendo cha Chadema kuachana na maandamano na kuamua kwenda kukutana na Rais na yeye kukubali hilo, nawapongeza wote,” alisema Zitto.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Makanisa ya Pentekoste Tanzania (PCT), Dk David Mwasota amepongeza hatua ya Rais Kikwete kukubali kukutana na uongozi wa Chadema.
Dk Mwasota alisema hatua hiyo ni njema na inaonyesha mwanga bora na mwelekeo wenye kuleta matumaini mapya kwa taifa. Alisema kwa muda sasa kumekuwa na matukio yanayoonyesha ishara mbaya likiwemo la mchakato wa kuandika Katiba Mpya ambao wabunge wa Chadema na NCCR-Mageuzi walisusia mjadala wake bungeni.
“Tunampongeza Rais Kikwete, hii ni hatua inayoashiria mwanga bora kama wa asubuhi, ni imani yetu kuwa mazungumzo hayo yatazaa matunda na kurejesha amani na utulivu ambao tayari kumekuwa na ishara mbaya juu yake,” alisema Dk Mwasota.
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Deus Kibamba alisema hatua ya Chadema kukutana na Rais ni jambo jema na inastahili kufanywa pia kwa vyama vingine vya siasa.
Alisema Rais ni mkuu wa nchi na kiongozi wa wote hivyo Chadema kutaka kukutana naye kwa ajili ya kuwasilisha madai yao wako sahihi.Kuhusu mjadala wa Katiba alisema ni mchakato unaohusu wananchi wote na kwamba wanasiasa wana nafasi yao kama ilivyo kwa wananchi.
Lori lagonga magari saba, laua na kujeruhi
SIMANZI na majonzi jana vilitawala eneo la River Side, Dar es Salaam baada ya ajali mbaya iliyohusisha lori la mafuta na magari mengine madogo saba kusababisha vifo vya wawili papo hapo na wengine wanne kujeruhiwa vibaya. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Charles Kenyela alisema ajali hiyo ilitokea majira ya saa saba mchana na kwamba maiti na majeruhi wote walipelekwa Hospitali ya Wilaya ya Ilala, Amana.
Lori la mafuta aina ya Marcedes Benz la Kampuni ya Dalbit lililokuwa likielekea Buguruni liliacha njia na kuyagonga magari saba yaliyokuwa kwenye foleni ya kuelekea Ubungo. Magari mengine yaliyohusika katika ajali hiyo ni Toyota Noah, BMW, Toyota Canter na Toyota Corolla nne. Mmoja wa waliofariki dunia ni mama mmoja ambaye mwili wake ulitenganishwa kabisa na kichwa baada ya gari alilokuwemo kukandamizwa na lori hilo.
Habari kutoka eneo la tukio, zilieleza kuwa chanzo cha ajali hiyo ni lori hilo kuacha njia, baada ya dereva wake kutaka kumkwepa mtembea kwa miguu ambaye alielezwa kuwa ni mama mjamzito. Watu hao wawili waliofariki dunia walikuwa kwenye magari tofauti.
Hata hivyo, habari nyingine zinadai kwamba miongoni mwa waliofariki katika ajali hiyo ni mchuuzi kanda za video ambaye alikuwa akitembeza biashara yake katika eneo hilo. Baadhi ya majeruhi walisema chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi wa lori hilo la mafuta baada ya dereva wake kushindwa kulimudu alipojaribu kumkwepa mtembea kwa miguu aliyekuwa anavuka barabara.
“Nilikuwa naelekea Ubungo nikiwa katika foleni, mara nikaona lori la mafuta likiwa linahama njia na kuja upande wetu. Baadaye kidogo, sikuelewa tena kilichokuwa kimetokea,” alisema Yahaya Makame.
Makame ambaye ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, alisema licha ya kutokea kwa ajali hiyo mbaya, hakukuwa na msaada wowote wa haraka zaidi wa wakazi wa eneo hilo na wapita njia waliojitokeza kushuhudia.
Gamba gumu CCM
WATUHUMIWA WAGOMA KUJIUZULU,JK AHOJI UVCCM WALIKOPATA FEDHA
Neville Meena, Dodoma
UTEKELEZAJI wa mpango wa CCM uliolenga kuwashinikiza watuhumiwa wa ufisadi kuachia nafasi zao za uongozi ndani ya chama hicho, umechukua sura mpya na sasa Kamati Kuu (CC) inaomba ipewe kibali cha kuwachukulia hatua zaidi wale ambao wamegoma kujiuzulu.Juzi, katika kikao chake mjini hapa, CC iliazimia kuomba idhini ya Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM ili ifanye kazi hiyo baada ya kuwepo ukimya ambao unaashiria kutokuwepo viongozi na makada ambao wako tayari kujiuzulu nyadhifa zao kwa hiari.
Tangu kupitishwa kwa mpango huo maarufu kwa jina la kujivua gamba katika kikao cha NEC kilichopita cha Aprili mwaka huu, ni kada mmoja tu, Rostam Aziz aliyechukua hatua za kujiuzulu ubunge wa Jimbo la Igunga na ujumbe wa NEC, lakini wengine wamekuwa kimya hadi sasa.
Katika kikao cha Aprili NEC hiyo ya CCM ilipitisha maazimio 26 lakini kubwa ni lile lililokuwa likihimiza vita dhidi ya ufisadi kuendelea na kutoa mwito kwa watu wanaotajwa na jamii kuhusika na ufisadi ambao wako ndani ya chama kujitathmini kisha kuchukua hatua za kuachia madaraka waliyo nayo.
Sehemu ya mwisho ya azimio hilo inasomeka: “Wasipoachia madaraka chama kiwachukulie hatua mara moja.”
Mmoja wa wajumbe wa CC ambaye ameomba jina lake kuhifadhiwa alisema: “Tunawaomba NEC waturuhusu jambo hili tulifanyie kazi sisi (CC) na litafanyiwa kazi kupitia taratibu za kawaida za chama kwa kuzingatia kanuni na taratibu za maadili za chama hicho.”
Kubadilika kwa utaratibu wa kuwashughulikia watuhumiwa wa ufisadi, kulipokewa kwa shangwe na wafuasi wa watuhumiwa hao ambao wanasema kulikuwa na ajenda ya siri, kubwa likiwa ni vita ya urais wa 2015.
Hata hivyo, kada mwingine ambaye yuko karibu wa vigogo wa chama hicho alisema: “Hivi sasa hali itakuwa mbaya zaidi kwa watuhumiwa, tunakokwenda si hiari tena itakuwa ni lazima ikiwa chama kitawapata na hatia.”
“Ujue azimio la kwanza lilikuwa na pande mbili, kwanza ni watuhumiwa hao kujipima wenyewe kisha kuchukua hatua, lakini pili ni upande wa chama, sasa ukomo wa upande wa kwanza ambao ni kuchukua hatua wenyewe umekwisha, sasa ni zamu ya upande wa pili ambao ni wa chama,” alisema kada huyo ambaye pia ni mshiriki wa vikao vya uamuzi ndani ya CCM.
Makatibu wapya
Halmashauri ya CCM iliyoanza mkutano wake jana, ilifanya mabadiliko ya makatibu wa chama hicho katika mikoa sita.Walioteuliwa ni Joyce Masunga, Mohamed Nyawenga, Pazi Mamulima, Zainab Shomari, Abdallah Mihewa na Rahel Ndegeleki ambao watapangiwa vituo vya kazi hivi karibuni.
Habari kutoka katika kikao cha Kamati Kuu zinasema kwamba imebariki pendekezo la kumvua madaraka kiongozi mmoja wa ngazi za juu baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kubadili orodha ya matokeo ya kura za madiwani wa Viti Maalumu bila kushirikisha vikao husika.
Kigogo huyo alitiwa hatiani kuchakachua orodha ya madiwani iliyowasilishwa Tume ya Tiafa ya Uchaguzi (NEC) kwa kuondoa jina namba mbili katika mtiririko wa orodha hiyo na kuliweka chini, hivyo kumkosesha mmoja wa makada wa chama chake nafasi ya kuwa diwani.
Kikwete anena
Kikao cha NEC kilianza jana saa 5:00 asubuhi kwa Rais Kikwete kuwatoa hofu wajumbe akisema hakuna kitakachoharibika. Mara baada ya kuingia, Rais Kikwete aliwasalimu wajumbe akisema: “Jamani hamjambo …. mmelala salama?” Baada ya wajumbe kujibu ndiyo aliongeza:
“Mbona nimeambiwa kwamba wajumbe wengine hamjalala vizuri, mmelala na hofu tu, CCM ni chama kikubwa, kwa hiyo jamani tulieni hapa hakuna jambo litakaloharibika, watu msiwe na hofu,” alisema kisha kutamka kwamba kikao hicho kimefunguliwa rasmi na kuwataka waandishi wa habari kutoka ndani ya ukumbi wa mikutano.
Kauli ya Kikwete ilikuwa ni kama mwangwi wa yaliyotokea juzi usiku baada ya kumalizika kwa kikao cha CC, kwani wapambe wa makundi mawili hasimu ndani ya chama hicho yalikuwa yakihaha kushawishi kuungwa mkono na wajumbe wakati wa vikao vya NEC.
Kati ya saa saba na nane usiku wa kuamkia jana, wapambe wa makundi hayo na mmoja kati ya makada hao alisikika akisema kuwa: “Ujue sikulala kabisa na sasa naingia kwenye NEC, fitina ilikuwa kubwa sana jana (juzi) usiku, lakini tutashinda tu.”
Kundi la makada wanaojipambanua kuwa wapambanaji wa ufisadi walikuwa wakihaha kushawishi wajumbe wa NEC kukataa uamuzi wa suala la kujivua gamba kurejeshwa CC, wakati kundi la pili lilikuwa likishawishi wajumbe kusimama kidete na kuunga mkono pendekezo hilo.
Habari zilizopatikana jana jioni zinadai kuwa, jana NEC haikuwa imejadili suala lolote kuhusu kujivua gamba na kwamba hata mmoja wa wajumbe ambaye amekuwa akitajwa katika suala hilo, Edward Lowassa alipotaka kulizungumzia aliambiwa asubiri wakati mwafaka wa ajenda husika.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alipoulizwa kuhusu pendekezo hilo alisema: “Jamani, kikao hiki bado kinaendelea, kama kuna jambo lolote mimi niliwaahidi kwamba niko tayari kuwaambia.”
“Kwa sasa siwezi kuzungumza lolote zaidi ya yale niliyowafahamisha leo (jana) mchana na ujue kwamba yapo mambo mengi ambayo ili kwenda kwa umma lazima yapate kibali cha NEC, vinginevyo nitakuwa navunja taratibu,” alisema Nape.
Kombora UVCCM
Katika hatua nyingine, kundi la viongozi na marafiki wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) lililopo Dodoma, jana lilitaharuki baada ya kupokea taarifa za kurushiwa makombora, huku Rais Kikwete akiwazodoa kwa kuwaambia: ‘Msitutishe,’ ishara ya kukerwa na taarifa kwamba vijana hao walitishia kuhamia Chadema ikiwa Umoja wao utavunjwa.
Habari za uhakika kutoka ndani ya kikao cha CC kilichomalizika juzi usiku zinasema, ajenda kuhusu UVCCM ni kama haikuwa rasmi lakini baada ya kuibuliwa na Nape ilisababisha Kaimu Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo, Benno Malisa kusakamwa ipasavyo na kutishwa kwamba hatima yake kisiasa inaweza kuwa mbaya.
“Yule bwana mdogo (Benno) alipata wakati mgumu sana, maana wale wazee walimshughulikia ipasavyo, alijaribu kujitetea lakini haikusaidia, kweli nilimwonea huruma sana maana hakuwa na mtetezi mle ndani,” kilisema chanzo kingine kutoka ndani ya CC.
Taarifa hizo ziliendelea kudai kuwa Nape aliomba kikao hicho kimpe majibu ya kutoa kwa waandishi wa habari ambao wamekuwa wakimwuliza kuhusu suala hilo ambalo alisema hakuwa na majibu.
“Nimeambiwa UVCCM viongozi wa mikoa na baadhi ya wilaya wako hapa, mwenyekiti naomba nipate majibu nisaidiwe katika hili, kama ni Baraza Kuu linakutana nifahamu na kama kuna mkutano mwingine nijue pia, lakini hali hii inaniweka katika wakati mgumu mimi kama mwenezi,” alinukuliwa Nape na chanzo chetu ndani ya CC.
Maelezo hayo yalisababisha Benno kusimama kutoa utetezi ambao hata hivyo, haukusikilizwa na hapo wajumbe wawili, Mawaziri, William Lukuvi na Steven Wassira kila mmoja kwa wakati wake, aliushambulia umoja huo.
Inadaiwa kuwa Rais Kikwete ndiye aliyegongelea msumari wa mwisho pale aliponukuliwa na mtoa taarifa wetu akisema: “Mnataka kututisha, msitutishe hata kidogo maana nasikia kwamba mnataka kwenda Chadema, nendeni hata kesho, au mnasubiri tuuvunje ndiyo muondoke!”Kadhalika Rais alinukuliwa akihoji vijana hao walikopata fedha zinazowawezesha kukaa hapa kwa muda wote huku akiwakumbusha kwamba CCM hakiwezi kuyumba ikiwa kitawatimua kwani kimewahi kufanya hivyo kwa viongozi wa ngazi za juu.
Pamoja na hali hiyo, viongozi wengi wa UVCCM wa mikoa na wilaya mbalimbali nchini bado wapo Dodoma na baadhi yao walisema huenda wakatoa tamko baada ya kikao cha NEC kumalizika.
Wednesday, November 23, 2011
Student builds $163 'iPad' for girlfriend



A senior college student has built a tablet PC from a 500-yuan ($102) secondhand laptop for his girlfriend.
Wei Xinlong and his girlfriend Sun Shasha, both from rural areas, are seniors in the Art & Design Department at Northeast Normal University in Changchun, capital of Jilin province.
The weight and thickness of the gadget, which resembles an iPad and took Wei 10 days and 800 yuan, is like a 400-color-page book. "One can read, download, watch movies, play games by just touching the screen," Wei explained.
Wei said he did not have enough money to buy Sun a new computer, so he started building one by studying Internet video programs on how to make tablet PCs.
"The main board, video card, CPU and screen were all from the old laptop, but I bought the touch screen and battery online," Wei said.
Wei spent a considerable amount of time and energy on the cover of the PC too, according to Sun Shasha. "The holes on it were all hand-carved and polished."
"This is the best gift I've ever had, and I will keep it forever," she said. Sun added rhinestones to her gift.
Sun later posted The Birth of My Tablet PC online, and the article attracted 100,000 hits in three days.
One netizen said, "It is an avant-garde present, which outshines a real iPad."
Blogger probed for offensive Facebook post
SINGAPORE - Police are investigating a blogger for allegedly publishing a photo that is offensive to Muslims on his Facebook (FB) page.
Donaldson Tan, editor of Singapore-based current affairs commentary website New Asia Rebublic, is accused of putting up a picture of a pig superimposed on the Kaaba, a cuboid building in Mecca that is sacred in Islam.
Pigs are considered unclean animals in Islam.
The post was accompanied by the text: "This is a flame bait. YOU ARE WARNED".
Mr Tan told The Straits Times that he had seen the photo on his FB news feed when his friend commented on it, and had reposted the photo as a warning to people to look out for the photo as a "flame bait'.
A flame bait, more commonly known as trolling, is something deliberately engineered to provoke angry responses or an argument on a topic the poster often has no real opinion on.
He said he was soon attacked online by Muslims, but told reporters that he would not take the picture down even after being requested to do so by well-meaning friends, as he believes in the freedom of speech and that "Islam is not sacrosanct".
Facebook has since removed the original post and his reposting has disappeared consequentially.
He added that he does not consider what he did as wrong, and that people are overreacting.
The post was brought to the attention of the police by Mr Amran Junid, who lodged a police report. Mr Amran said the editor has made racist remarks about Malays or Muslims on his FB page before, which Mr Amran had disregarded as "just a comment from a misinformed individual", The Online Citizen (TOC) reported.
Mr Tan was a former editor at TOC, but was asked to leave in January 2010, TOC said.
Mr Amran also highlighted a woman called Serena Lee for posting racist comments on the FB post by Mr Tan.
This is the third such case of racially or religiously offensive online postings in recent weeks. The other two police reports were lodged against People's Action Party youth wing member Mr Jason Neo and full-time national serviceman Christian Eliab Ratnam.
Mr Neo had posted a racist photo of a kindergarten bus carrying Malay students. He has sent an apology to the school, Huda Kindergarten, and requested permission to pay a visit to the school to apologise in person.
Mr Ratnam had posted a picture of text criticising Islam on his FB page. He has apologised for the posting through a statement published by TOC.
The Ministry of Home Affairs reminded the public that the right to free speech does not extend to making remarks that incite racial and religious friction and conflict.
If charged and found guilty, those accused of promoting ill-will and hostility between Singapore's ethnic communities can be jailed for a maximum of three years and/or fined up to S$5,000.
Donaldson Tan, editor of Singapore-based current affairs commentary website New Asia Rebublic, is accused of putting up a picture of a pig superimposed on the Kaaba, a cuboid building in Mecca that is sacred in Islam.
Pigs are considered unclean animals in Islam.
The post was accompanied by the text: "This is a flame bait. YOU ARE WARNED".
Mr Tan told The Straits Times that he had seen the photo on his FB news feed when his friend commented on it, and had reposted the photo as a warning to people to look out for the photo as a "flame bait'.
A flame bait, more commonly known as trolling, is something deliberately engineered to provoke angry responses or an argument on a topic the poster often has no real opinion on.
He said he was soon attacked online by Muslims, but told reporters that he would not take the picture down even after being requested to do so by well-meaning friends, as he believes in the freedom of speech and that "Islam is not sacrosanct".
Facebook has since removed the original post and his reposting has disappeared consequentially.
He added that he does not consider what he did as wrong, and that people are overreacting.
The post was brought to the attention of the police by Mr Amran Junid, who lodged a police report. Mr Amran said the editor has made racist remarks about Malays or Muslims on his FB page before, which Mr Amran had disregarded as "just a comment from a misinformed individual", The Online Citizen (TOC) reported.
Mr Tan was a former editor at TOC, but was asked to leave in January 2010, TOC said.
Mr Amran also highlighted a woman called Serena Lee for posting racist comments on the FB post by Mr Tan.
This is the third such case of racially or religiously offensive online postings in recent weeks. The other two police reports were lodged against People's Action Party youth wing member Mr Jason Neo and full-time national serviceman Christian Eliab Ratnam.
Mr Neo had posted a racist photo of a kindergarten bus carrying Malay students. He has sent an apology to the school, Huda Kindergarten, and requested permission to pay a visit to the school to apologise in person.
Mr Ratnam had posted a picture of text criticising Islam on his FB page. He has apologised for the posting through a statement published by TOC.
The Ministry of Home Affairs reminded the public that the right to free speech does not extend to making remarks that incite racial and religious friction and conflict.
If charged and found guilty, those accused of promoting ill-will and hostility between Singapore's ethnic communities can be jailed for a maximum of three years and/or fined up to S$5,000.
Woman gets cement injected into her rear by fake doctor
| ||||||||||
| A woman's desire for a more attractive body nearly cost her her life after she went through an illegal operation where toxic substances were injected into her body. Police in Miami, Florida, allege that Oneal Morris, a transgender man who dresses like a woman, performed the illegal surgery on the woman, reported Britain's Daily Mail. The woman's buttocks were injected with a "cocktail of chemicals" which included cement, tyre sealant, superglue and mineral oil, according to a police statement. Police say the incision was later sealed with superglue. "They agreed on a price of US$700 (S$910)...to enhance her buttocks," Miami Gardens Police Sergeant Bill Bamford told CNN affiliate WPLG. The woman, who was referred to Morris by a friend of a friend, told police that Morris' equipment appeared rudimentary and appeared to include a hose pipe attached to a cooler box, through which he pumped the mixture into incisions in herbuttocks. Soon after the procedure in May, the woman suffered "serious complications" including "very serious pains in her abdomen and her body", said Sgt Bamford. The woman, who felt agonising pain that left her screaming, drove herself to hospital after becoming ill with flu-like symptoms the following day. But she was too embarrassed to tell baffled doctors what had occurred and fled from two hospitals before she could be diagnosed or treated. Finally, after her mother drove her to a third hospital, she revealed her story and gave doctors Morris' telephone number. | ||||||||||
Mattaka kizimbani kwa matumizi mabaya ATCL
Nora Damian
ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), David Mattaka jana alipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za matumizi mabaya ya ofisi na kushindwa kuweka kumbukumbu za ununuzi wa magari chakavu yenye thamani ya zaidi ya Sh1 bilioni.
Mbali ya Mattaka, washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni Kaimu Mhasibu Mkuu wa shirika hilo, Elisaph Ikomba na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu, William Haji.
Mwendesha mashtaka wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Ben Lincon alidai mahakamani hapo kuwa washtakiwa kwa pamoja walitenda makosa hayo kati ya Juni na Julai, 2007.
Katika shtaka la kwanza ambalo linawahusu wote watatu, ilidaiwa kuwa kati ya Juni na Julai, 2007 Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam washtakiwa kwa nafasi zao walishindwa kutunza kumbukumbu za taarifa za kukubali zabuni ya ununuzi wa magari chakavu 26.
Mwendesha mashtaka alidai kuwa katika shtaka la pili ambalo pia linawahusu washtakiwa wote, kati ya Julai 2 na Agosti 23, 2007 kwa pamoja, walishindwa kufuata taratibu za ununuzi wa umma katika magari chakavu 26 yenye thamani ya Dola za Marekani 809,300,000 kutoka katika Kampuni ya Bin Dalmouk Morots Co. Ltd ya Dubai.
Katika shtaka la tatu linalomuhusu Mattaka, ilidaiwa kuwa kati ya Julai 2 na Agosti 23, 2007 akiwa Mkurugenzi Mkuu wa ATCL, alitumia madaraka yake vibaya katika ununuzi wa magari hayo bila kuwepo kwa mkataba wa zabuni uliosainiwa na pande zote mbili na kuhakikiwa na bodi ya zabuni ya shirika hilo suala ambalo ni kinyume cha sheria.
Baada ya kusomwa mashtaka hayo, upande wa mashtaka kupitia kwa wakili wa Serikali Oswald Tibabyekomya ulisema kuwa haupingi dhamana kwa washtakiwa lakini ukaitaka mahakama kuzingatia kifungu namba 148 (5) (e) cha Mwenendo wa Makosa ya Jinai (CPA).
Kwa mujibu wa kifungu hicho, mshtakiwa wa kosa linalozidi Sh10 milioni anatakiwa kuweka mahakamani nusu ya fedha alizoshtakiwa nazo kama dhamana.
Hata hivyo, upande wa utetezi uliokuwa unaongozwa na Mawakili, Peter Swai na Alex Mgongolwa ulipinga kifungu hicho kwa madai kuwa hakiendani na mashtaka yanayowakabili wateja wao.
“Tunapinga hoja za upande wa mashtaka kwa sababu katika mashtaka yanayowakabili wateja wetu hakuna mahala palipotajwa kwamba wamesababisha hasara ama wizi,” alisema Swai.
Mshtakiwa wa pili ambaye hakuwa na wakili, aliiomba mahakama impe dhamana kwa madai kuwa yeye ni mfanyakazi mwaminifu wa Serikali kwani ni mwanataaluma ambaye amesajiliwa na Bodi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu (NBAA), anayekagua hesabu za Serikali na taasisi mbalimbali.
Baada ya kusikiliza hoja zote, Hakimu Mkazi, Rita Tarimo alikubaliana na hoja za upande wa utetezi kwamba mashtaka yanayowakabili washtakiwa hao hayahusiani na kusababisha hasara au wizi hivyo akatoa masharti ya dhamana.
Katika masharti hayo, kila mshtakiwa alitakiwa kuwa na wadhamini wawili wa kuaminika watakaosaini dhamana ya maneno ya Sh10 milioni.
Washtakiwa wote walitimiza masharti hayo na kuachiwa kwa dhamana hadi Desemba 5, mwaka huu kesi hiyo itakapotajwa tena.
Mattaka alistaafu utumishi wa umma Mei mwaka huu baada ya kuitumikia ATCL kwa miaka mitano.
Rais Kikwete akubali kukutana na Chadema
AAGIZA WAPANGIWE SIKU YA KUKUTANA IKULU,CCM NGOMA NZITO
Mwandishi Wetu
RAIS Jakaya Kikwete amekubali kukutana na viongozi wa ngazi za juu wa Chadema kusikiliza madai yao juu ya Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Katiba wa mwaka 2011, uliopitishwa bungeni juma lililopita.Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu jana jioni ilieleza kuwa Rais amelipokea ombi hilo kwa furaha kwa sababu ni jambo jema.
“Kufuatia kukubali kwake ombi hilo, Rais ameagiza mawasiliano yafanyike ili kupanga tarehe mwafaka ya kukutana na viongozi hao wa Chadema na kuzungumzia suala hilo,” ilieleza taarifa hiyo.
Kabla ya Kurugenzi hiyo kutoa taarifa hiyo, Mwandishi wa Habari Msaidizi wa Rais, Premi Kibanga akizungumza na gazeti dada la hili, The Citizen alisema Rais amepokea jambo hilo kwa furaha.
“Tumepokea barua ya Chadema muda mfupi uliopita (jana jioni), ikiomba kukutana na Rais Kikwete na bahati njema Rais pia amependekeza kuwa yuko tayari kukutana na viongozi kutoka vyama vya siasa,” alisema Kibanga.
Uamuzi huo wa Rais umekuja siku moja baada ya Chadema kuunda kamati ndogo ya watu sita kwa ajili ya kuonana na Rais Kikwete na kuwasilisha madai yake juu ya muswada huo wa sheria.
Kamati hiyo iliyoundwa katika mkutano wa dharura wa Halmashauri Kuu ya chama hicho, inataka kujadiliana na Rais kuhusu kile ilichoeleza kuwa ni upungufu uliopo katika muswada huo uliopitishwa na Bunge na kutaka Rais atafakari kama ausaini kuwa sheria au la.
Akisoma tamko hilo kwa vyombo vya habari katika mkutano uliofanyika makao makuu ya chama hicho, Dar es Salaam juzi, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe alisema kamati hiyo ya watu sita, ilikuwa ikifanya taratibu za kumuona Rais Kikwete.
Mbowe alisema ushiriki wa Chadema katika mchakato wa kuandika Katiba Mpya utategemea mazungumzo hayo baina ya wajumbe wa kamati ya chama chake na Rais Kikwete.
Ijumaa iliyopita, Rais Kikwete akizungumza na wazee wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam kuhusu uchumi na mchakato wa Katiba, alisema atautia saini kuwa sheria muswada huo licha ya kelele za wanasiasa za kuupinga.
Alitoa kauli hiyo huku akipangua hoja zote kuhusu mchakato huo zilizokuwa zikitolewa na Chadema kuwa muswada huo haukuzingatia kanuni zitakazowezesha demokrasia.
Kauli hiyo ya Rais ilikuja saa chache baada ya Bunge kupitisha muswada wa mabadiliko ya Katiba ambao ulisusiwa na wabunge wa Chadema na NCCR-Mageuzi kwa madai kuwa mchakato mzima una kasoro.
Kamati Kuu CCM bado siri nzito
Huko Dodoma, ajenda kuhusu Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), ilijitokeza kwa sura isiyo rasmi wakati Kamati Kuu (CC), ilipokuwa ikijadili taarifa ya uchaguzi mdogo wa Igunga iliyowasilishwa na aliyekuwa Kiongozi wa Kampeni za CCM, Mwigulu Nchemba lakini haikudumu.
Habari kutoka katika kikao hicho zinasema mmoja wa wajumbe wa CC ambaye ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi akichangia hoja ya uchaguzi wa Igunga alisema hali ya vijana wa jimbo hilo na kwingineko nchini kukichukia CCM ni kutokana na Umoja wa vijana kutotekeleza wajibu wake, badala yake kujishughulisha na mambo mengine yasiyokuwa na tija.
Lukuvi ambaye pia ni Mbunge wa Isimani, Iringa alinukuliwa akitoa kauli hiyo baada ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wassira kusema kuwa tatizo katika uchaguzi mdogo wa Igunga walikuwa ni vijana wengi ambao walionyesha chuki kwa CCM wakati wa uchaguzi huo, wakidai kutoshughulikiwa kwa matatizo yao.
Uchaguzi Igunga
Habari kutoka ndani ya kikao hicho zimeeleza kuwa katika siku ya kwanza ya kikao chake juzi, CC ilipokea taarifa ya uchaguzi mdogo wa Igunga ambao ulimwingiza bungeni, Dk Dalaly Kafumu.
Ripoti ya Igunga iliyowasilishwa na Nchemba iliweka bayana kwamba hali katika uchaguzi huo ilikuwa mbaya kiasi cha kuwepo kwa hofu ya CCM kushindwa uchaguzi.
Nchemba alinukuliwa akieleza mitafaruku kadhaa iliyotokea wakati wa kampeni kiasi cha kuwafanya madiwani wa CCM Igunga kutishia kujitoa katika chama na kuingia upinzani, lakini akasema suala hilo lilimalizwa kwa kutumia busara, hatua iliyokiwezesha kupata ushindi.
Baada ya taarifa ya Mwigulu, Mwenyekiti wa kikao hicho, Rais KIkwete anadaiwa kwamba alihoji ukweli wa taarifa za baadhi ya makada wa chama hicho kuwapigia kampeni wapinzani kwa kutumia kauli mbiu ya “Tushindwe ili tuheshimiane”, swali ambalo hata hivyo, halikupata majibu kutokana na wajumbe kukaa kimya.
“Mwenyekiti aliuliza tena kwamba kuna watu waliompigia simu na kumtumia meseji (ujumbe mfupi wa simu wa maandishi), kwamba kuna makada waliokuwa wakiwapigia kampeni Chadema, lakini wote walikaa kimya na ndipo aliposema kwamba tuache majungu na fitina,” kilisema chanzo chetu kutoka ndani ya mkutano huo.
Subscribe to:
Posts (Atom)




