Wednesday, July 27, 2011

Kenya: Wabunge walipe kodi au wasilipe?

Idara ya forodha nchini Kenya inawataka wabunge wawe wakilipa kodi za mishahara yao kikamilifu, ikiwalaumu kuwa wamekiuka katiba kwa kukosa kulipa. Idara hiyo pia inataka wabunge walipe kodi za tangu mwezi Agosti mwaka 2010 wakati katiba mpya ya nchi ilipozinduliwa. Wabunge wa Kenya ni miongoni mwa wabunge wanaopokea mishahara mikubwa zaidi duniani, kila mmoja akipokea $ 9,300 kwa mwezi .

No comments:

Post a Comment