Wednesday, July 13, 2011

Rostam Aziz ajivua gamba

 
HUENDA katika siku 90 zijazo, wananchi wa jimbo la Igunga mkoani Tabora , wakaingia kwenye uchaguzi mdogo, baada ya Mbunge wao mfanyabiashara maarufu nchini, Rostam Aziz, kujiuzulu nyadhifa zake zote ndani ya CCM ukiwamo ubunge. Mbali na ubunge wa Igunga mkoani Tabora alioushikilia kwa miaka

No comments:

Post a Comment