Thursday, July 21, 2011

Kikwete atoa ufafanuzi wa umeme


Katika mahojiano maalum na Rais Kikwete, mwandishi wa BBC, Omar Mutasa, kwanza alitaka kujua, pamoja na kutafuta wawekezaji ambao kimsingi watahitaji nishati ya umeme ya uhakika, kwa nini tatizo la umeme halijapatiwa ufumbuzi.

"Serikali haina uwezo wa kufanya mvua inyeshe", alisema Rais Kikwete.

Habari zaidi
http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2011...

No comments:

Post a Comment