SERIKALI itaongeza fedha za kujikimu kwa wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu nchini kutoka Sh. 5,000 ya sasa hadi Sh. 7,500 katika mwaka huu wa fedha.
Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Dk. Shukuru Kawambwa, alipokuwa akisoma hotuba yake ya Makadirio ya Matumizi ya Fedha kwa Wizara yake kwa mwaka huu.
Alisema, kiasi cha Sh. bilioni 77.8 kitatumika kwa suala hilo na wanafunzi 91,568 wa elimu ya juu wa mwaka wa kwanza na wanaoendelea na masomo na kwa wanaosoma shahada za uzamili na uzamivu, wanatarajiwa kupewa mikopo kwa mwaka 2011/12.
Alisema katika mwaka huu wa fedha, Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) itaimarisha utoaji na urejeshaji wa mikopo kwa kuainisha taarifa za wakopeshwaji na zile za Tume ya Vyuo Vikuu, Baraza la Mitihani na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa.
Alisema pia Bodi hiyo itasogeza huduma za utoaji mikopo karibu na wananchi kwa kuanzisha ofisi ya kanda Zanzibar.
Akisoma maoni ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii kuhusu wizara hiyo, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Margaret Sitta , alisema ili kuimarisha uwezo wa Serikali kuendelea kutoa mikopo kwa wanafunzi, Kamati yake ilishauri Serikali itafute mbinu mbadala za kupata fedha ili kuinua uwezo wa kutoa mikopo mwaka hadi mwaka.
Alisema, ili kuimarisha urejeshwaji wa mikopo iliyotolewa tangu mwaka 2006, kiundwe chombo mahususi chini ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu, ili kufuatilia ukusanywaji wa marejesho ya mikopo iliyokwishatolewa.
Alisema, taarifa za mikopo husika zitambulike kwa walengwa ili kurahisisha ukusanyaji wa fedha hizo kwa ushirikiano wa mwajiri na Bodi ya Mikopo na kuwa fedha za marejesho ya mikopo hiyo zitambulike bayana, kwa kuonekana katika taarifa ya utekelezaji wa majukumu kila mwaka.
Pia Kamati ilishauri utoaji vitambulisho vya Taifa ukamilike ili kutambua wanafunzi wanaokopa na waliokopa na uraia wao, ambapo pia Kamati ilishauri kuwapo udhibiti wa karo hasa katika vyuo visivyo vya Serikali.
Mbunge wa Viti Maalumu, Diana Chilolo (CCM), alishauri kutokana na utata katika urejeshwaji wa mikopo, Serikali itoe fedha hizo bure kwa wanafunzi badala ya kuwakopesha.
Akiwasilisha maoni ya Kambi ya Upinzani, Msemaji Mkuu wa Kambi hiyo kwa Wizara ya hiyo Cristowaja Mtinda, alisema kutokana na muundo wa Bodi ya Mikopo na uendeshaji mbaya, kuna haja ikavunjwa kwani imeshindwa kuifanya elimu ya juu ipatikane kwa kila mwanafunzi anayestahili.
Alisema Bodi hiyo ilitoa mikopo kwa wanafunzi 91,568 mwaka uliopita, lakini ilikusanya marejesho ya mikopo yenye thamani ya Sh. bilioni 7.9 kati ya Sh. bilioni 21 zilizotarajiwa kukusanywa.
“Kutokana na sababu hizo, Serikali iazimie kuivunja Bodi hii, pamoja na kufanya uchunguzi huru wa fedha zilizotumika chini yake hadi sasa na kujiridhisha kama waliopewa dhamana hii hawakutumia nafasi zao kujinufaisha binafsi,” alisema.
Alisema baada ya Bodi hiyo kuvunjwa, Serikali iunde chombo kipya kitakachojulikana kama Mamlaka ya Taifa ya Kugharimia Elimu ya Juu (TAHEFA), ambacho kitachukua majukumu yote ya Bodi.
Wednesday, July 20, 2011
Kisa na mkasa na Salim Kikeke
Kikeke na kifua
"Mimi ni Dayo Yusuf wiki hii nikikuletea Kisa na Mkasa-- kwa sababu, Salim Kikeke, sauti yake imekauka kutokana na mafua.
Bwana Kikeke alisafiri kwenda Nairobi Kenya kwa ajili ya shughuli za kikazi na akapatwa na mafua hayo.Bila shaka tutakuwa naye wiki ijayo..", ilisikika sauti ya Dayo Yusuf.
Bunduki kwenye besdei
Bunduki
Bwana huyo aliwatisha watoto wa jirani yake huyo pamoja na watoto engine waliokuja kwenye sherehe hizo, kwa sababu watoto wake hawakupewa keki.
Mtandao wa news.com umesema polisi wa mjini Memphis wamesema bwana huyo Joseph Hayes alikasirishwa sana baada ya watoto wake kutopewa keki na Ice Cream katika sherehe hiyo.
"Kwa nini hamkuwapa watoto wangu keki na Ice cream" alifoka bwana Joseph na bastola yake.
Polisi waliitwa kutuliza mzozo huo, na Bwana Joseph mwenyewe kukanusha kuwa alikuwa na bunduki. Alisema alikuwa na kifaa tu kilichoonekana kama bunduki. Bwana huyo ameshitakiwa kwa makosa ya kutishia watu.
Mwizi wa mabegi
Mabegi
Polisi nchini Uhispania wamemkamata bwana mmoja mwenye mwili unaoweza kunyumbulika kwa makosa ya wizi.
Mwizi huyo inadaiwa alikuwa akijificha ndani ya sanduku, na sanduku hilo kuwekwa katika mizigo ya abiria kutoka uwanja wa ndege wa Girona wanaokwenda jijini Barcelona. Kwa mwezi mzima polisi walikuwa wakishangazwa na wizi unaotokea kwenye eneo la kuwekea mizigo ndani ya basi. Hivi karibuni wizi kama huo ulitokea tena ambapo masanduku yote ya abiria yalikuwa yamevunjwa na vitu kuibiwa.
Hata hivyo abiria mmoja aligundua kuwa sanduku moja tu ndio lilikuwa halijaguswa. Polisi waliitwa na walipofungua sanduku hili walimkuta mtu amejikunja ndani yake. Polisi pia walimkamata mwenzake na mwizi huyo ambaye alikuwa akimpeleka kama mzigo ndani ya basi hilo.
Mwenzi huyo alikuwa akinunua tiketi ya basi na kuweka sanduku lake hilo lenye mwizi mwenzake katika eneo la mizigo, ambapo wakiwa safarini, mwizi huyo hutoka ndani ya sanduku na kuanza kuvunja na kuiba masanduku ya abiria.
Kabla ya mwisho wa safari, bwana huyo mwenye mwili unaonyumbulika, alikuwa akiingia katika sanduku lake na kujifungia ndani tena, na kubaki kama mizigo mingine.
Baharia mlevi
Boti
Baharia mmoja mlevi nchini Sweden alizua sokomoko na kusababisha shughuli za uokozi kufanyika baharini baada ya kutoa taarifa kuwa mke wake ameanguka baharini.
Hata hivyo baada ya msako wa muda, polisi waligundua kuwa baharia huyo alikuwa amemsahau mke wake nyumbani. Baharia huyo akiwa katika chombo chake binafsi, alipiga ishara ya hatari katika eneo la Kalmar, nje kidogo ya mwambao wa kusini wa Sweden, akiamini kuwa mkewe ameangukia baharini na kuzama.
Baada ya kufanya msako, waligundua kuwa mke huyo hata hakuwahi kuingia katika boti hiyo, na alikuwa salama salimini katika nchi kavu. Bwana huyo na boti yake walivutwa na boti ya polisi hadi pwani, ambapo baada ya kufanyiwa vipimo, baharia huyo, vipimo vilionesha amelewa chakari.
Mtandao wa news.com umesema baharia hiyo ameshitakiwa kwa kuendesha boti huku akiwa amelewa.
Mafunzo ya kwenda choo
Choo
Kundi moja la wazazi nchini Uingereza London limekasirishwa, baada ya shule wanayosoma watoto wao kutishiwa kukatazwa kwenda shule iwapo hawatapewa mafunzo thabiti ya kutumia choo.
Mkuu wa shule hiyo iliyopo jijini Liverpool, Patricia Deus, amewaonya wazazi kuwa walimu wake wanapoteza muda mwingi kila siku kuwasaidia watoto wenye umri wa hadi miaka mitano kwenda kujisaidia chooni. Wanafunzi wengi bado wanavaa nepi, limesema gazeti la Daily Express.
Mkuu wa shule, Bi Deus ameandika barua kwa wazazi wa watoto wote mia tatu na thelathini na mbili wanaosoma katika shule hiyo. "Tuna watoto wanaojiunga na shule yetu ambao hawajafunzwa kutumia vyema choo" imesema taarifa ya mkuu huyo wa shule na kuongeza kuwa watoto wenye matatizo ya kiafya tu ndio watapewa msaada.
"Hili ni jukumu la mzazi. Watoto watabaki nyumbani mpaka muwape mafunzo ya kutumia choo vyema" amesema mkuu wa shule.
Hospitali bei chee
Bwana mmoja nchini Uchina, alipata furaha kubwa sana baada ya kwenda hospitali na kupatiwa matibabu, na ilipofika wakati wa malipo, aliambiwa alipe senti moja.Gazeti la Xiaoxiang Morning Herald limesema bwana huyo wa mjini Changsha, katika jimbo la Hunan alikwenda hospitali akisumbuliwa na ugonjwa wa tumbo.
Baada ya kuhojiwa kwa muda na daktari, alipatiwa ushauri na dawa, lakini aligundua kuwa bili yote ni Yuan 0.01 ya Uchina, sawa na chini ya senti moja ya kimarekani.
Kwa mujibu wa Yang Li, mkurugenzi wa hospitali hiyo, amesema wanajaribu kuwaridhisha wagonjwa wao, na wameanza kwa kutoza fedha kidogo kwa ajili ya matibabu, ili kupunguza gharama za matibabu kwa wagonjwa.
Na kwa taarifa yako......
Binaadam wa kawaida huota kwa wastani, ndoto elfu moja mia nne na sitini kwa mwaka.Tukutane Wiki Ijayo.... Panapo Majaaliwa
Saturday, July 16, 2011
JOB OPPORTUNITIES/ NAFASI ZA KAZI
Team Leader- Call Centre
Date Listed: 15/07/2011
Application Deadline: 23/07/2011
Application Deadline: 23/07/2011
From: The Guardian, July 15, 2011
Qualifications
• Minimum bachelor’s degree
• Good knowledge of Ms Office computer packages
• Minimum of 3 years in heading a 10 seat or above call centre
Qualifications
• Minimum bachelor’s degree
• Good knowledge of Ms Office computer packages
• Minimum of 3 years in heading a 10 seat or above call centre
The Human Resource Manager
Business Machines Tanzania Limited
P O BOX 1599
Dar es Salaam, Tanzania
Write Team Leader – Call Centre on the right hand corner of your envelop
Business Machines Tanzania Limited
P O BOX 1599
Dar es Salaam, Tanzania
Write Team Leader – Call Centre on the right hand corner of your envelop
IT Manager
Date Listed: 15/07/2011
Application Deadline: 25/07/2011
Application Deadline: 25/07/2011
From: The Guardian, July 15, 2011
Qualifications
• Bsc. Computer Science /Information Systems
• Understanding of IT strategy
• Knowledge of relevant computer operating systems
• Knowledge and experience of IT Security
• 5 years experience in IT
Qualifications
• Bsc. Computer Science /Information Systems
• Understanding of IT strategy
• Knowledge of relevant computer operating systems
• Knowledge and experience of IT Security
• 5 years experience in IT
Human Resource Manager
(Position you are applying)
Tanga Cement Company Limited
P O BOX 5053
Tanga, Tanzania
(Position you are applying)
Tanga Cement Company Limited
P O BOX 5053
Tanga, Tanzania
Capex Accountant
Date Listed: 15/07/2011
Application Deadline: 25/07/2011
Application Deadline: 25/07/2011
From: The Guardian, July 15, 2011
Qualifications
• Certified Public Accountant
• Knowledge of project accounting
• Good knowledge of computer financial accounting systems
• SAP knowledge
• 2 or 3 years experience in the same position
Qualifications
• Certified Public Accountant
• Knowledge of project accounting
• Good knowledge of computer financial accounting systems
• SAP knowledge
• 2 or 3 years experience in the same position
Human Resource Manager
(Position you are applying)
Tanga Cement Company Limited
P O BOX 5053
Tanga, Tanzania
(Position you are applying)
Tanga Cement Company Limited
P O BOX 5053
Tanga, Tanzania
Weighbridge Supervisor
Date Listed: 15/07/2011
Application Deadline: 25/07/2011
Application Deadline: 25/07/2011
From: The Guardian, July 15, 2011
Qualifications
• Diploma in Accounting or Business Adminstration
• Basic knowledge of accounting principles
• 2 or 3 years experience in administration
Qualifications
• Diploma in Accounting or Business Adminstration
• Basic knowledge of accounting principles
• 2 or 3 years experience in administration
Human Resource Manager
(Position you are applying)
Tanga Cement Company Limited
P O BOX 5053
Tanga, Tanzania
(Position you are applying)
Tanga Cement Company Limited
P O BOX 5053
Tanga, Tanzania
Development Director
Date Listed: 14/07/2011
Application Deadline: 22/07/2011
Application Deadline: 22/07/2011
From: The Guardian, July 14, 2011
Qualifications
Master’s degree in Social Work (MSW or MA Social Work)
Qualifications
Master’s degree in Social Work (MSW or MA Social Work)
Tanzania Social Workers Association (TASWA)
C/o The American International Health Alliance
P O BOX 80297
Dar es Salaam, Tanzania
Nutrition Advisor
Date Listed: 14/07/2011
Application Deadline: 10/08/2011
From: The Guardian, July 14, 2011
Qualifications
• A post graduate qualification in nutrition, public health or other development related disciplines relevant to the requirement of this post
• A minimum of 4 years experience working in the field of nutrition developing countries preferably in Africa
From: The Guardian, July 14, 2011
Qualifications
• A post graduate qualification in nutrition, public health or other development related disciplines relevant to the requirement of this post
• A minimum of 4 years experience working in the field of nutrition developing countries preferably in Africa
The Ambassador
Embassy of Ireland
P O BOX 9612
Dar es Salaam, Tanzania
Embassy of Ireland
P O BOX 9612
Dar es Salaam, Tanzania
Manager Internal Audit
Date Listed: 14/07/2011
Application Deadline: 28/07/2011
From: Daily News, July 14, 2011
Qualifications
• A good Accounting/Finance Bachelor’s Degree
• Holder of recognized professional accounting certification as a CPA or ACCA is preferred
• A graduate degree in business Administration is preferred
• A minimum of 5 years of fill time experience in auditing in a senior post in a reputable company
From: Daily News, July 14, 2011
Qualifications
• A good Accounting/Finance Bachelor’s Degree
• Holder of recognized professional accounting certification as a CPA or ACCA is preferred
• A graduate degree in business Administration is preferred
• A minimum of 5 years of fill time experience in auditing in a senior post in a reputable company
Senior Manager Human Resources
TANESCO
P O BOX 9024
Dar es Salaam, Tanzania
TANESCO
P O BOX 9024
Dar es Salaam, Tanzania
Senior Programme Officer (Capacity Building and Marketing)
Date Listed: 14/07/2011
Application Deadline: 27/07/2011
From: Daily News, July 13, 2011
Qualifications
• Minimum of Masters Degree in Social Sciences or equivalent plus course work in training and management of training institutions
• Training and facilitation experiences for 2-3 years
• Course work on gender or women studies
• Relevant experience of 3-5 years of working with gender and development issues
• Interpersonal relationships and marketing and publicity skills
From: Daily News, July 13, 2011
Qualifications
• Minimum of Masters Degree in Social Sciences or equivalent plus course work in training and management of training institutions
• Training and facilitation experiences for 2-3 years
• Course work on gender or women studies
• Relevant experience of 3-5 years of working with gender and development issues
• Interpersonal relationships and marketing and publicity skills
The Executive Director
Tanzania Gender Networking Programme (TGNP)
P O BOX 8921
Dar es Salaam, Tanzania.
Tanzania Gender Networking Programme (TGNP)
P O BOX 8921
Dar es Salaam, Tanzania.
Sales/Marketing Managers
Date Listed: 14/07/2011
Application Deadline: 24/07/2011
From: Daily News, July 14, 2011
Qualifications
• Post graduate diploma in Business Administration with major in sales and marketing
• At least 10 years experience in sales /marketing in a manufacturing organization
• Preference shall be given to the candidates having Engineering degree in civil or architecture, networking with architects and contractors fraternity and experience in sales/marketing of steel and aluminum products
From: Daily News, July 14, 2011
Qualifications
• Post graduate diploma in Business Administration with major in sales and marketing
• At least 10 years experience in sales /marketing in a manufacturing organization
• Preference shall be given to the candidates having Engineering degree in civil or architecture, networking with architects and contractors fraternity and experience in sales/marketing of steel and aluminum products
Human Resource Manager
ALAF Limited
P O BOX 2070
Dar es Salaam, Tanzania
ALAF Limited
P O BOX 2070
Dar es Salaam, Tanzania
Agronomist
Date Listed: 08/07/2011
Application Deadline: 22/07/2011
Start Date: 01/08/2011
Qualifications
Should have at Diploma / Advance Diploma / Degree in Agronomy / horticulture or related field.
Should have more than 2 years field experiences, preferable with fruit trees and if possible mango trees.
A proven track record in working successfully on horticultural issues.
Excellent listening skills combined with oral and written communication skills; and working knowledge of word processing, spreadsheets and database software.
Start Date: 01/08/2011
Qualifications
Should have at Diploma / Advance Diploma / Degree in Agronomy / horticulture or related field.
Should have more than 2 years field experiences, preferable with fruit trees and if possible mango trees.
A proven track record in working successfully on horticultural issues.
Excellent listening skills combined with oral and written communication skills; and working knowledge of word processing, spreadsheets and database software.
The Secretary
The Association of Mango Growers (AMAGRO)
Third Floor, Linda House CDP Office (opp – TOTAL HQ)
Nkrumah Street, PO Box 2359
Dar es Salaam
The Association of Mango Growers (AMAGRO)
Third Floor, Linda House CDP Office (opp – TOTAL HQ)
Nkrumah Street, PO Box 2359
Dar es Salaam
Manager Internal Audit
Date Listed: 14/07/2011
Application Deadline: 28/07/2011
From: Daily News, July 14, 2011
Qualifications
• A good Accounting/Finance Bachelor’s Degree
• Holder of recognized professional accounting certification as a CPA or ACCA is preferred
• A graduate degree in business Administration is preferred
• A minimum of 5 years of fill time experience in auditing in a senior post in a reputable company
From: Daily News, July 14, 2011
Qualifications
• A good Accounting/Finance Bachelor’s Degree
• Holder of recognized professional accounting certification as a CPA or ACCA is preferred
• A graduate degree in business Administration is preferred
• A minimum of 5 years of fill time experience in auditing in a senior post in a reputable company
Senior Manager Human Resources
TANESCO
P O BOX 9024
Dar es Salaam, Tanzania
P O BOX 9024
Dar es Salaam, Tanzania
Grants Officer
Date Listed: 09/07/2011
Application Deadline: 22/07/2011
From: Daily News, July 8, 2011
Qualifications
• Bachelor of commerce in accounting, finance ,business administration or related field
• At least 3 years working experience in managing financial administration of major donor grants and contracts
• Knowledge of regulations applicable to grants management and adminstration
From: Daily News, July 8, 2011
Qualifications
• Bachelor of commerce in accounting, finance ,business administration or related field
• At least 3 years working experience in managing financial administration of major donor grants and contracts
• Knowledge of regulations applicable to grants management and adminstration
Tanzania Women Lawyers Association
P O BOX 9460
Dar es Salaam, Tanzania
P O BOX 9460
Dar es Salaam, Tanzania
Head of Finance and Administration
Date Listed: 08/07/2011
Application Deadline: 22/07/2011
From: Daily News, July 8, 2011
Qualifications
• Bachelor of commerce in accounting, finance or its equivalent
• CPA knowledge will be an added advantage
• Masters will be an added advantage
• Fully computer literate especially in financial systems like notebook, spreadsheet, MS Excel and Data base application
From: Daily News, July 8, 2011
Qualifications
• Bachelor of commerce in accounting, finance or its equivalent
• CPA knowledge will be an added advantage
• Masters will be an added advantage
• Fully computer literate especially in financial systems like notebook, spreadsheet, MS Excel and Data base application
Tanzania Women Lawyers Association
P O BOX 9460
Dar es Salaam, Tanzania
P O BOX 9460
Dar es Salaam, Tanzania
Investment Officer
Date Listed: 04/07/2011
Application Deadline: 22/07/2011
Application Deadline: 22/07/2011
From: Daily News, July 4, 2011
Qualifications
• University holder or equivalent qualifications in the fields of business administration , accounting, economics, animal science or other related field
• At least ten years of relevant work experience in reputable organization
• An MBA Degree will be an added advantage
Terms of Employment
3 years contract, renewable based on performance
Qualifications
• University holder or equivalent qualifications in the fields of business administration , accounting, economics, animal science or other related field
• At least ten years of relevant work experience in reputable organization
• An MBA Degree will be an added advantage
Terms of Employment
3 years contract, renewable based on performance
The General Manager
National Ranching Company Limited (NARCO)
P O BOX 9113
Dar es Salaam, Tanzania
National Ranching Company Limited (NARCO)
P O BOX 9113
Dar es Salaam, Tanzania
Deputy Claims Manager
Date Listed: 30/06/2011
Application Deadline: 22/07/2011
Application Deadline: 22/07/2011
From: The Guardian, June 30, 2011
Qualifications
• A university degree
• An advanced diploma in insurance
• At least 4 years working experience in a busy insurance claims setup
Qualifications
• A university degree
• An advanced diploma in insurance
• At least 4 years working experience in a busy insurance claims setup
The Managing Director
Century Insurance Company Ltd
P O BOX 71009
Dar es Salaam, Tanzania
Century Insurance Company Ltd
P O BOX 71009
Dar es Salaam, Tanzania
Senior Consultants
Date Listed: 12/07/2011
Application Deadline: 06/08/2011
Application Deadline: 06/08/2011
Employment Type: Contract/Temporary
Qualifications:
Relevant Masters Degree, Msc
Professional with app 10 years of working experience
Qualifications:
Relevant Masters Degree, Msc
Professional with app 10 years of working experience
Human Resource and Admin Manager
COWI Tanzania Limited
P O BOX 1007
Dar es Salaam, Tanzania
COWI Tanzania Limited
P O BOX 1007
Dar es Salaam, Tanzania
Operations Manager
Date Listed: 15/07/2011
Application Deadline: 31/07/2011
Application Deadline: 31/07/2011
From: The Guardian, July 15, 2011
Qualifications
• At least a degree in electrical, mechanical or civil engineering
• Be able to demonstrate at least 10 years of experience within the industry of which at least 5 in managerial position
Qualifications
• At least a degree in electrical, mechanical or civil engineering
• Be able to demonstrate at least 10 years of experience within the industry of which at least 5 in managerial position
Mwenga Hydro Limited
P O BOX 70912
Dar es Salaam, Tanzania
P O BOX 70912
Dar es Salaam, Tanzania
Barrick Graduates Compass Development Program
Date Listed: 12/07/2011
Application Deadline: 31/07/2011
Professions Required:
Mining Engineering, Metallurgy, Geology, Environment, Occupational Health Aand Safety , Exploration ,Survey, SuppLy Chain, Maintenance Engineering, Education And HR Education:
• Bachelor degree in the mentioned areas above
• GPA upper second not lower than 3.8
Mining Engineering, Metallurgy, Geology, Environment, Occupational Health Aand Safety , Exploration ,Survey, SuppLy Chain, Maintenance Engineering, Education And HR Education:
• Bachelor degree in the mentioned areas above
• GPA upper second not lower than 3.8
Learning and Development Department
African Barrick Gold
P O BOX 1081
Dar es Salaam, Tanzania
African Barrick Gold
P O BOX 1081
Dar es Salaam, Tanzania
Reservation Manager
Date Listed: 06/07/2011
Application Deadline: 31/07/2011
Duties/Responsibilities
• Control hotel room inventory and assist in room sales efforts of the hotel
• Review office performance for quality, accuracy and standardization
• Maintain up-to-date information on villa inventory
• Coordinate room sales efforts with the Sales Department by advising room availability
• Report booked dates to appropriate people or offices
• Ensure effective communication and co-operation between Reservations Department and all other departments of the hotel
• Ensure effective communication with our guests
• Handling of reservations by telephone and fax
• Handling of group and banqueting enquiries
Duties/Responsibilities
• Control hotel room inventory and assist in room sales efforts of the hotel
• Review office performance for quality, accuracy and standardization
• Maintain up-to-date information on villa inventory
• Coordinate room sales efforts with the Sales Department by advising room availability
• Report booked dates to appropriate people or offices
• Ensure effective communication and co-operation between Reservations Department and all other departments of the hotel
• Ensure effective communication with our guests
• Handling of reservations by telephone and fax
• Handling of group and banqueting enquiries
HRD
P.O BOX 2404
Zanzibar
P.O BOX 2404
Zanzibar
Telephone Operator
Date Listed: 04/07/2011
Application Deadline: 22/07/2011
Application Deadline: 22/07/2011
From: The Guardian, July 4, 2011
Qualifications
• Secondary school education with special training of handling of communication equipments
• Minimum of 3 years of relevant experience in the field
• Good communication skills
• Computer literate
• Fluency in spoken and written English and Kiswahili
Qualifications
• Secondary school education with special training of handling of communication equipments
• Minimum of 3 years of relevant experience in the field
• Good communication skills
• Computer literate
• Fluency in spoken and written English and Kiswahili
Development Support Services Unit, UNDP
P O BOX 9182
Dar es Salaam, Tanzania
P O BOX 9182
Dar es Salaam, Tanzania
Environmental Engineers
Date Listed: 14/07/2011
Application Deadline: 24/07/2011
From: Daily News, July 14, 2011
Qualifications
• Degree in environmental engineering
• Preference shall be given to the applicants with hands on experience in continuous process industry
• At least 3 years experience in environment quality management as per ISO Standards
From: Daily News, July 14, 2011
Qualifications
• Degree in environmental engineering
• Preference shall be given to the applicants with hands on experience in continuous process industry
• At least 3 years experience in environment quality management as per ISO Standards
Human Resource Manager
ALAF Limited
P O BOX 2070
Dar es Salaam, Tanzania
ALAF Limited
P O BOX 2070
Dar es Salaam, Tanzania
Board Chair Persons
Date Listed: 06/07/2011
Application Deadline: 29/07/2011
Application Deadline: 29/07/2011
From: Daily News , July 6, 2011
The ministry is now looking for experienced and qualified candidates to fill vacant positions of Board Chair Persons for the Following Water Boards
• Ruvuma River Basin
• Wami/Ruvu River Basin
• Lake Victoria Basin
• Lake Rukwa Basin
• Internal Draining Basin
Qualifications and Experience Required
• Adequate knowledge and experience in water sector or proven experience in leadership and administration or sector related to utility provision
• They should have specific knowledge of water resources management disciplines and should not be a major water user
The ministry is now looking for experienced and qualified candidates to fill vacant positions of Board Chair Persons for the Following Water Boards
• Ruvuma River Basin
• Wami/Ruvu River Basin
• Lake Victoria Basin
• Lake Rukwa Basin
• Internal Draining Basin
Qualifications and Experience Required
• Adequate knowledge and experience in water sector or proven experience in leadership and administration or sector related to utility provision
• They should have specific knowledge of water resources management disciplines and should not be a major water user
The Permanent Secretary
Ministry of Water
P O BOX 9153
Dar es Salaam, Tanzania
Ministry of Water
P O BOX 9153
Dar es Salaam, Tanzania
Investment Officer
Date Listed: 04/07/2011
Application Deadline: 22/07/2011
Application Deadline: 22/07/2011
From: Daily News, July 4, 2011
Qualifications
• University holder or equivalent qualifications in the fields of business administration , accounting, economics, animal science or other related field
• At least ten years of relevant work experience in reputable organization
• An MBA Degree will be an added advantage
Terms of Employment
3 years contract, renewable based on performance
Qualifications
• University holder or equivalent qualifications in the fields of business administration , accounting, economics, animal science or other related field
• At least ten years of relevant work experience in reputable organization
• An MBA Degree will be an added advantage
Terms of Employment
3 years contract, renewable based on performance
The General Manager
National Ranching Company Limited (NARCO)
P O BOX 9113
Dar es Salaam, Tanzania
National Ranching Company Limited (NARCO)
P O BOX 9113
Dar es Salaam, Tanzania
Marketing Specialist
Date Listed: 04/07/2011
Application Deadline: 22/07/2011
Application Deadline: 22/07/2011
From: Daily News, July 4, 2011
Qualifications
• Holders of a Marketing or MBA majoring in Marketing of equivalent qualifications
• At least ten years of relevant work experience in reputable organization
Terms of Employment
This is a consultancy assignment –duration 3 months
Qualifications
• Holders of a Marketing or MBA majoring in Marketing of equivalent qualifications
• At least ten years of relevant work experience in reputable organization
Terms of Employment
This is a consultancy assignment –duration 3 months
The General Manager
National Ranching Company Limited (NARCO)
P O BOX 9113
Dar es Salaam, Tanzania
National Ranching Company Limited (NARCO)
P O BOX 9113
Dar es Salaam, Tanzania
Ranch Manager
Date Listed: 04/07/2011
Application Deadline: 22/07/2011
Application Deadline: 22/07/2011
From: Daily News, July 4, 2011
Qualifications
• Holder of a form 4 or 6 certificate plus a diploma in veterinary science or ranch management or animal husbandry or ranch management
• At least 3 years of working experience
Terms of Employment
3 years contract, renewable based on performance
Qualifications
• Holder of a form 4 or 6 certificate plus a diploma in veterinary science or ranch management or animal husbandry or ranch management
• At least 3 years of working experience
Terms of Employment
3 years contract, renewable based on performance
The General Manager
National Ranching Company Limited (NARCO)
P O BOX 9113
Dar es Salaam, Tanzania
National Ranching Company Limited (NARCO)
P O BOX 9113
Dar es Salaam, Tanzania
Senior Procurement Manager
Date Listed: 04/07/2011
Application Deadline: 22/07/2011
Application Deadline: 22/07/2011
From: Daily News, July 4, 2011
Qualifications
• Holder of professional qualifications, to a first degree level or equivalent in purchasing and supply management or supply chain management and logistics
• Holder of Certified Supplies Professional (CSP) Certificate offered
• A minimum of 5 years working experience in procurement and materials management
• Not above 45 years of age
Qualifications
• Holder of professional qualifications, to a first degree level or equivalent in purchasing and supply management or supply chain management and logistics
• Holder of Certified Supplies Professional (CSP) Certificate offered
• A minimum of 5 years working experience in procurement and materials management
• Not above 45 years of age
The Managing Director
Reli Assets Holding Company Limited
Railway Street/Sokoine Drive
P O BOX 76959
Dar es Salaam, Tanzania
Reli Assets Holding Company Limited
Railway Street/Sokoine Drive
P O BOX 76959
Dar es Salaam, Tanzania
Senior Supplies and Stores Officer
Date Listed: 04/07/2011
Application Deadline: 22/07/2011
Application Deadline: 22/07/2011
From: Daily News, July 4, 2011
Qualifications
• Holder of professional qualifications, to a first degree level or equivalent in purchasing and supply management or supply chain management and logistics
• A minimum of 3 years working experience in warehousing ,purchasing and inventory management Qualifications
• Holder of professional qualifications, to a first degree level or equivalent in purchasing and supply management or supply chain management and logistics
• Not above 45 years of age
The Managing Director
Reli Assets Holding Company Limited
Railway Street/Sokoine Drive
P O BOX 76959
Dar es salaam, Tanzania
Reli Assets Holding Company Limited
Railway Street/Sokoine Drive
P O BOX 76959
Dar es salaam, Tanzania
Economic Advisor
Date Listed: 14/07/2011
Application Deadline: 10/08/2011
From: The Guardian, July 14, 2011
Qualifications
• A postgraduate qualification in economics or other development related disciplines relevant to the requirements of this post
• A minimum of 4 years experience working in similar role
• Knowledge and experience of Tanzania and how the budget works from within the government will be an added advantage
From: The Guardian, July 14, 2011
Qualifications
• A postgraduate qualification in economics or other development related disciplines relevant to the requirements of this post
• A minimum of 4 years experience working in similar role
• Knowledge and experience of Tanzania and how the budget works from within the government will be an added advantage
The Ambassador
Embassy of Ireland
P O BOX 9612
Dar es Salaam, Tanzania
Embassy of Ireland
P O BOX 9612
Dar es Salaam, Tanzania
Health Advisor
Date Listed: 14/07/2011
Application Deadline: 10/08/2011
From: The Guardian, July 14, 2011
Qualifications
• A relevant post graduate qualification
• A minimum of 4 years relevant experience with policy engagement and planning at national and district level and working with development partnerships
• Capacity and experience in the analysis ,management and synthesis of varied quantitative and qualitative data
From: The Guardian, July 14, 2011
Qualifications
• A relevant post graduate qualification
• A minimum of 4 years relevant experience with policy engagement and planning at national and district level and working with development partnerships
• Capacity and experience in the analysis ,management and synthesis of varied quantitative and qualitative data
The Ambassador
Embassy of Ireland
P O BOX 9612
Dar es Salaam, Tanzania
Embassy of Ireland
P O BOX 9612
Dar es Salaam, Tanzania
Photographer (2 Posts)
Date Listed: 14/07/2011
Application Deadline: 25/07/2011
Application Deadline: 25/07/2011
From: Daily News, July 14, 2011
Qualifications
• Holder of a degree in photography or its equivalent
• Proficient in ICT Skills
• Excellent knowledge of graphics/illustration
• At least 3 years experience in photojournalism
Qualifications
• Holder of a degree in photography or its equivalent
• Proficient in ICT Skills
• Excellent knowledge of graphics/illustration
• At least 3 years experience in photojournalism
Managing Editor
Tanzania Standard Newspapers Limited
P O BOX 9033
Dar es Salaam, Tanzania
Tanzania Standard Newspapers Limited
P O BOX 9033
Dar es Salaam, Tanzania
Sales and Marketing Executive
Date Listed: 05/07/2011
Application Deadline: 01/08/2011
Position Description:
Our company is currently seeking experienced sales people who can effectively sell advertising space in our magazine publications. The publications are East Africa based and all sales should be to Tanzania, or other companies who advertise in Tanzania. The right provided would be selling advertising space various magazine titles. The idea candidate must speak perfect English and have experience in selling and closing deals. If overseas must have the ability to call companies to complete deal sales. This consulting position will pay by commission. All which will be negotiated on once we select the right candidates. This will required a contract with the right people and out company.
Our company is currently seeking experienced sales people who can effectively sell advertising space in our magazine publications. The publications are East Africa based and all sales should be to Tanzania, or other companies who advertise in Tanzania. The right provided would be selling advertising space various magazine titles. The idea candidate must speak perfect English and have experience in selling and closing deals. If overseas must have the ability to call companies to complete deal sales. This consulting position will pay by commission. All which will be negotiated on once we select the right candidates. This will required a contract with the right people and out company.
J’Son Shopping Magazine,
Plot 109 Block 44,
Kijitonyama, Kinondoni
Dar es Salaam, Tanzania.
Plot 109 Block 44,
Kijitonyama, Kinondoni
Dar es Salaam, Tanzania.
Research Technician- Laboratory
Date Listed: 06/07/2011
Application Deadline: 20/07/2011
From: The Guardian , July 6, 2011
Qualifications and Experience Required
• Diploma in Agriculture, Biotechnology or related science field
• Training in plant issues culture plus 2 years experience after Diploma
From: The Guardian , July 6, 2011
Qualifications and Experience Required
• Diploma in Agriculture, Biotechnology or related science field
• Training in plant issues culture plus 2 years experience after Diploma
Country Representative
IITA Tanzania
P O BOX 34441
Dar es Salaam, Tanzania
IITA Tanzania
P O BOX 34441
Dar es Salaam, Tanzania
Chemist
Date Listed: 16/06/2011
Application Deadline: 22/07/2011
Position Description:
Degree in Science and Sound knowledge in QA/HSE
Degree in Science and Sound knowledge in QA/HSE
Intertek Testing Services
P.O. Box 77428
Dar es Salaam
P.O. Box 77428
Dar es Salaam
Ranch Manager
Date Listed: 04/07/2011
Application Deadline: 22/07/2011
Application Deadline: 22/07/2011
From: Daily News, July 4, 2011
Qualifications
• Holder of a form 4 or 6 certificate plus a diploma in veterinary science or ranch management or animal husbandry or ranch management
• At least 3 years of working experience
Terms of Employment
3 years contract, renewable based on performance
Qualifications
• Holder of a form 4 or 6 certificate plus a diploma in veterinary science or ranch management or animal husbandry or ranch management
• At least 3 years of working experience
Terms of Employment
3 years contract, renewable based on performance
The General Manager
National Ranching Company Limited (NARCO)
P O BOX 9113
Dar es Salaam, Tanzania
National Ranching Company Limited (NARCO)
P O BOX 9113
Dar es Salaam, Tanzania
General Manager – Technical
Date Listed: 12/07/2011
Application Deadline: 07/08/2011
Candidate Profile: Application Deadline: 07/08/2011
Aged between 40 – 45 years
University Graduate with Bachelor's degree in Pharmacy
Assertive, Tactful & Diplomatic
Excellent communication and interpersonal skills
No less than 15 - 20 years proven managerial experience in a busy pharma environment.
Must be fully conversant with Validations, Documentation and Audits
An Active Listener
Proficient in IT
Note - Candidates strictly from pharmaceutical business need to apply.
Shelys Pharmaceuticals Ltd.
P.O. Box 3016
Dar-es- Salaam, Tanzania
P.O. Box 3016
Dar-es- Salaam, Tanzania
Lowassa aweka mambo hadharani
MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa, amesema atatangaza uamuzi kuhusu nyadhifa zake ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakati muafaka ukifika. Amesema ameshitushwa na kitendo cha aliyekuwa mbunge wa Igunga, Rostam Aziz, kutangaza kuachia nafasi hiyo na ya ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM.
Lowassa aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Serikali ya Muungano, alisema hayo baada ya kutakiwa kutoa maoni kuhusu uamuzi wa Rostam kujiuzulu nyadhifa hizo. "Ninachoweza kusema ni kuwa, Rostam kujiuzulu ni haki yake lakini nimeshituka kuona amejiuzulu na ubunge. Nimeguswa pia na wananchi wake walivyopokea uamuzi huo," alisema. Rostam akitangaza uamuzi wa kuachia ngazi juzi, alisema amefikia uamuzi huo ili kulinda maslahi ya Chama. Kwa upande wake, Lowassa alipoulizwa ana mpango gani wa yeye kujiuzulu alisema: "Nitazungumza wakati muafaka ukifika."
Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama, kwa upande wake alisema kwa kufuata utaratibu wa kawaida ndani ya Chama, hakina taarifa za kujiuzulu Rostam. Hata hivyo, alisema jambo hilo litazungumzwa katika vikao vya juu vya Chama na baadaye taarifa zitatolewa. "Chama hakina taarifa yoyote, tumeona kwenye vyombo vya habari ametangaza kujiuzulu kwake akiwa Igunga," alisema Mukama na kuongeza kuwa, CCM bado inalihitaji jimbo la Igunga.
Naye mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (CHADEMA), aliibuka bungeni na kuomba muongozo wa Spika Anne Makinda, akitaka atangaze kuwa jimbo la Igunga lipo wazi. Spika Anne alisema hana taarifa rasmi kuhusu kujiuzulu kwa Rostam, na kama ilivyo kwa wengine ameona habari hizo kwenye mitandao.
"Sisi tuna taratibu zetu, Rostam hajaniandikia barua, tutatoa taarifa wakati muafaka utakapowadia," alisema. Katika hatua nyingine, wanasiasa na wasomi nchini wameendelea kuwa na maoni tofauti kuhusu uamuzi wa Rostam, wengine wakipongeza hatua hiyo.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti , walisema uamuzi huo ni mzuri ingawa umechelewa. Mwenyekiti wa TLP na mbunge wa Vunjo, Augustino Mrema, alisema Rostam amechukua uamuzi mzuri. “Ni uamuzi mzuri ingawa amechelewa, hasa kutokana na tuhuma zake kuwa za muda mrefu,’’ alisema. Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Hajji Semboja, alisema Rostam anapaswa kupigiwa mfano na wafanyabiashara wengine.
“Ni sawa tu kuondoka, nina hakika CCM haiwezi kuyumba, ikizingatiwa kuwa wameondoka wakongwe kama hayati Julius Nyerere na Mzee Rashidi Kawawa na CCM bado ipo,’’ alisema. Alisema CCM ni chama chenye wanachama wengi, hivyo kinachopaswa kufanyika ni kwa wafanyabiashara wengine kujitoa na kuwaachia watu wa siasa.
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, Mohamed Bakari, alisema CCM inapaswa kuwa makini kutokana na Rostam kushika nafasi kubwa, hivyo ni lazima alikuwa na wafuasi. “Suala hili ni kubwa na lina faida na hasara, hivyo kinachotakiwa ni kujipanga vyema ili kuepusha matatizo yatakayoweza kujitokeza baadaye,’’ alisema.
Lowassa aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Serikali ya Muungano, alisema hayo baada ya kutakiwa kutoa maoni kuhusu uamuzi wa Rostam kujiuzulu nyadhifa hizo. "Ninachoweza kusema ni kuwa, Rostam kujiuzulu ni haki yake lakini nimeshituka kuona amejiuzulu na ubunge. Nimeguswa pia na wananchi wake walivyopokea uamuzi huo," alisema. Rostam akitangaza uamuzi wa kuachia ngazi juzi, alisema amefikia uamuzi huo ili kulinda maslahi ya Chama. Kwa upande wake, Lowassa alipoulizwa ana mpango gani wa yeye kujiuzulu alisema: "Nitazungumza wakati muafaka ukifika."
Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama, kwa upande wake alisema kwa kufuata utaratibu wa kawaida ndani ya Chama, hakina taarifa za kujiuzulu Rostam. Hata hivyo, alisema jambo hilo litazungumzwa katika vikao vya juu vya Chama na baadaye taarifa zitatolewa. "Chama hakina taarifa yoyote, tumeona kwenye vyombo vya habari ametangaza kujiuzulu kwake akiwa Igunga," alisema Mukama na kuongeza kuwa, CCM bado inalihitaji jimbo la Igunga.
Naye mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (CHADEMA), aliibuka bungeni na kuomba muongozo wa Spika Anne Makinda, akitaka atangaze kuwa jimbo la Igunga lipo wazi. Spika Anne alisema hana taarifa rasmi kuhusu kujiuzulu kwa Rostam, na kama ilivyo kwa wengine ameona habari hizo kwenye mitandao.
"Sisi tuna taratibu zetu, Rostam hajaniandikia barua, tutatoa taarifa wakati muafaka utakapowadia," alisema. Katika hatua nyingine, wanasiasa na wasomi nchini wameendelea kuwa na maoni tofauti kuhusu uamuzi wa Rostam, wengine wakipongeza hatua hiyo.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti , walisema uamuzi huo ni mzuri ingawa umechelewa. Mwenyekiti wa TLP na mbunge wa Vunjo, Augustino Mrema, alisema Rostam amechukua uamuzi mzuri. “Ni uamuzi mzuri ingawa amechelewa, hasa kutokana na tuhuma zake kuwa za muda mrefu,’’ alisema. Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Hajji Semboja, alisema Rostam anapaswa kupigiwa mfano na wafanyabiashara wengine.
“Ni sawa tu kuondoka, nina hakika CCM haiwezi kuyumba, ikizingatiwa kuwa wameondoka wakongwe kama hayati Julius Nyerere na Mzee Rashidi Kawawa na CCM bado ipo,’’ alisema. Alisema CCM ni chama chenye wanachama wengi, hivyo kinachopaswa kufanyika ni kwa wafanyabiashara wengine kujitoa na kuwaachia watu wa siasa.
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, Mohamed Bakari, alisema CCM inapaswa kuwa makini kutokana na Rostam kushika nafasi kubwa, hivyo ni lazima alikuwa na wafuasi. “Suala hili ni kubwa na lina faida na hasara, hivyo kinachotakiwa ni kujipanga vyema ili kuepusha matatizo yatakayoweza kujitokeza baadaye,’’ alisema.
Umeme kwa kaya mpaka mwakani
MPANGO wa dharura wa kupunguza makali ya mgawo wa umeme ifikapo Desemba mwaka huu, huenda ukagonga mwamba hata kama itapatikana mitambo mipya ya kufua umeme kutokana na utata wa upatikanaji wa gesi na mafuta mazito.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, ambaye pia ni Mbunge wa Bumbuli (CCM),January Makamba, amebainisha jana kuwa, itachukua miezi 18 kupata gesi ya kutosha kuzalisha umeme wa dharura.
Awali Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja katika hotuba yake ya bajeti ya wizara hiyo, alisema ili kukabiliana na mgawo uliopo, Serikali imejipanga kuleta mtambo wa kutumia gesi asilia wa kuzalisha umeme wa Megawati 100 utakaofungwa Ubungo Desemba mwaka huu.
Mbali na mtambo huo, pia Ngeleja alisema ifikapo Juni mwakani, Serikali itafunga mtambo mwingine wa kutumia mafuta mazito kuzalisha umeme wa megawati 60 katika eneo la Nyakato, Mwanza.
Lakini January katika hotuba ya kamati yake, alisema kwa sasa mtambo wa kufua umeme unaotumia gesi asilia wa Symbion uliopo Ubungo, hauzalishi kwa kiwango chake cha megawati 112 kutokana na kukosekana kwa gesi.
Akafafanua kuwa, Kamati hiyo imejulishwa kwamba kiwango cha gesi hakiwezi kuongezeka katika muda mfupi kwa sababu mitambo ya kusafisha gesi na bomba la kusafirishia gesi, vimefikia ukomo wake wa juu.
January alisema mtambo huo mpya wa kupunguza makali ya umeme, utahitaji gesi iongezwe lakini ili hilo litekelezwe, kunahitajika upanuzi wa miundombinu hiyo ambao ukamilikaji wake utachukua miezi 18.
"Kwa maana hiyo, Kamati inapendekeza Serikali iuhakikishie umma kwamba mtambo huu (wa Ubungo) utapata gesi mara utakapofungwa Desemba na hautakuwa tembo mweupe.
"Kamati pia inapendekeza Serikali ieleze, ilikuwaje Tanesco (Shirika la Umeme), ikanunua mtambo mkubwa wa gharama kama huo bila kupanga kuwepo kwa gesi ya kuuendesha," alisema January.
Kuhusu mtambo ya mafuta mazito, January alisema ulipaswa kukamilika mwaka jana, lakini jana Ngeleja alisema utakamilika Juni mwaka 2012. Hata hivyo January alisema Kamati haijapata maelezo ya kuridhisha kuhusu upatikanaji wa mafuta mazito na gharama za kuyasafirisha hadi Mwanza.
Alielezea histori ya mtambo kama huo wa kutumia mafuta mazito uliofungwa Mwanza mwaka 2006/2007 wa Alstom Power Rentals ambao Serikali iliwekeza dola za Marekani milioni 21, zaidi ya Sh. bilioni 25, lakini mpaka leo haujawahi kutoa hata Megawati moja ya umeme.
Hata hivyo, Ngeleja katika hotuba hiyo, alikiri ugumu wa kutekeleza miradi ya umeme, na kubainisha wazi kuwa kati ya mwaka 2005-2010, Serikali ilikusudia kuongeza megawati za umeme 645, lakini walifanikisha miradi ya megawati 145 tu.
Katika bajeti hiyo, Wizara hiyo imeomba kuidhinishiwa Sh. bilioni 402, kati ya hizo bajeti ya maendeleo ni Sh. bilioni 325 na Sh. bilioni 76.9 za matumizi ya kawaida.
Wakati huo huo Mbunge wa Same Mashariki, Anna Kilango Malecela (CCM), amemtaka Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja kumuomba radhi kwa kumdanganya kuwa angepeleka umeme katika jimbo lake na badala yake akapeleka kwingine.
Katika hotuba ya bajeti ya wizara hiyo, miradi ya umeme mkoani Kilimanjaro imepangwa katika majimbo matatu likiwemo la Same Mashariki, lakini vijiji vilivyoandikwa ni vya Same Magharibi, jimbo la Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Mathayo David.
Mbali na kutaka kuombwa radhi, Kilango pia amebainisha bungeni jana kuwa ugawaji wa miradi ya umeme, umekuwa na upendeleo na kutoka mfano wa Mkoa wa Kilimanjaro ambako miradi hiyo iko katika majimbo matatu tu na yote ya mawaziri.
"Waziri sitakuunga mkono, umenitupia changa la macho, sikuachi leo, kila siku unaninunulia chai na unajua naweza kununua mwenyewe, mimi sitaki chai nataka umeme, haiwezekani watu wa jimbo langu wafanywe wateja wa tochi.
"Wewe mtu wa ajabu sana, umeendika jina la jimbo langu na kuweka miradi katika vijiji vya rafiki yako Mathayo," alisema Kilango.
Alisema mafundi wa umeme walitumwa katika jimbo hilo kufanya upimaji na yeye alishirikiana nao kila siku kuzungukia maeneo ambayo yanatarajia kupelekewa umeme.
Mbunge huyo alibainisha kuwa wakati wote wakifanya upimaji huo, yeye alikuwa akiwasiliana na Waziri Ngeleja kwa simu na kuhakikishiwa kuwa hayo ndiyo maandalizi ya kupeleka umeme.
"Lakini nimeangalia miradi ya umeme katika Mkoa wa Kilimanjaro, sikilizeni wa kwanza Same Mashariki, lakini vijiji vya Same Magharibi (kwa Mathayo), Mwanga (Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Profesa Jumanne Maghembe) na Siha ( Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawaza za Mikoa na Serikali za Mitaa, Aggrey Mwanri,"alisema.
Mbunge huyo pia aliishauri Serikali kuchukua mradi mmoja wa umeme wa Stieglers Gorge wa kutumia maporomoko ya maji ya Mto Rufiji wenye uwezo wa kuzalisha Megawati 2,100 badala ya kuwa na miradi mingi midogo ambayo hawana uhakika itakamilika lini.
Alisema, ni bora Serikali iwaambie Watanzania wafunge mkanda ili watekeleze mradi. Huo kwa kuwa wamezoea na haijulikani kama wameshawahi kuifungua tangu wakati wa vita dhidi ya Nduli, Idd Amini walipotangaziwa kufanya hivyo na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.
Kuhusu madini, Kilango alisema hana uhakika kama Tanzania inanufaika na utajiri wa madini yake na kuhoji kama Waziri Ngeleja ana undugu na nchi za nje zinazonufaika nayo.
Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Ally Keissy Mohamed (CCM) alisimama mara baada ya Ngeleja kumaliza kusoma bajeti na kuomba mwongozo na kufafanua kuwa waziri huyo kadanganya Bunge.
Alifafanua kuwa, kuna mradi katika jimbo hilo la Nkasi Kaskazini ambo Ngeleja kasema umekamilika kwa karibu asilimia 60, lakini Mbunge huyo akasema kuwa hakuna hata nguzo moja katika eneo la mradi huo.
Akichangia bajeti hiyo, Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe (Chadema), alisema January amefanya kazi nzuri na kumkejeli ahame Chama Cha Mapinduzi na kujiunga na Chadema ili wasaidiane kazi.
Mbowe alisema Serikali imepoteza uhalali was kushughulikia tatizo la umeme la muda mrefu na kinachohitajika ni kuundwa kwa kikosikazi kitakachokuwa na wadau mbalimbali wa asasi za kiraia, sekta binafsi na hata wabunge kishughulikie aibu ya mgawo.
Pia alitaka Rais Jakaya Kikwete atumie nafasi kumi alizonazo bungeni, kuteua wataalamu ili wapewe wizara hiyo na Ngeleja apelekwe Wizara ya Sheria na Katiba na Naibu wake, Adam Malima apelekwe Mipango.
Lakini baada ya kumaliza, Mnadhimu Mkuu wa Serikali, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, (Uratibu, Sera na Bunge), William Lukuvi, aliomba kutoa taarifa na kufafanua kwamba Serikali inayo uhalali kwa kuwa CCM ilishindana na Chadema na kukishinda kwa kura.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, ambaye pia ni Mbunge wa Bumbuli (CCM),January Makamba, amebainisha jana kuwa, itachukua miezi 18 kupata gesi ya kutosha kuzalisha umeme wa dharura.
Awali Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja katika hotuba yake ya bajeti ya wizara hiyo, alisema ili kukabiliana na mgawo uliopo, Serikali imejipanga kuleta mtambo wa kutumia gesi asilia wa kuzalisha umeme wa Megawati 100 utakaofungwa Ubungo Desemba mwaka huu.
Mbali na mtambo huo, pia Ngeleja alisema ifikapo Juni mwakani, Serikali itafunga mtambo mwingine wa kutumia mafuta mazito kuzalisha umeme wa megawati 60 katika eneo la Nyakato, Mwanza.
Lakini January katika hotuba ya kamati yake, alisema kwa sasa mtambo wa kufua umeme unaotumia gesi asilia wa Symbion uliopo Ubungo, hauzalishi kwa kiwango chake cha megawati 112 kutokana na kukosekana kwa gesi.
Akafafanua kuwa, Kamati hiyo imejulishwa kwamba kiwango cha gesi hakiwezi kuongezeka katika muda mfupi kwa sababu mitambo ya kusafisha gesi na bomba la kusafirishia gesi, vimefikia ukomo wake wa juu.
January alisema mtambo huo mpya wa kupunguza makali ya umeme, utahitaji gesi iongezwe lakini ili hilo litekelezwe, kunahitajika upanuzi wa miundombinu hiyo ambao ukamilikaji wake utachukua miezi 18.
"Kwa maana hiyo, Kamati inapendekeza Serikali iuhakikishie umma kwamba mtambo huu (wa Ubungo) utapata gesi mara utakapofungwa Desemba na hautakuwa tembo mweupe.
"Kamati pia inapendekeza Serikali ieleze, ilikuwaje Tanesco (Shirika la Umeme), ikanunua mtambo mkubwa wa gharama kama huo bila kupanga kuwepo kwa gesi ya kuuendesha," alisema January.
Kuhusu mtambo ya mafuta mazito, January alisema ulipaswa kukamilika mwaka jana, lakini jana Ngeleja alisema utakamilika Juni mwaka 2012. Hata hivyo January alisema Kamati haijapata maelezo ya kuridhisha kuhusu upatikanaji wa mafuta mazito na gharama za kuyasafirisha hadi Mwanza.
Alielezea histori ya mtambo kama huo wa kutumia mafuta mazito uliofungwa Mwanza mwaka 2006/2007 wa Alstom Power Rentals ambao Serikali iliwekeza dola za Marekani milioni 21, zaidi ya Sh. bilioni 25, lakini mpaka leo haujawahi kutoa hata Megawati moja ya umeme.
Hata hivyo, Ngeleja katika hotuba hiyo, alikiri ugumu wa kutekeleza miradi ya umeme, na kubainisha wazi kuwa kati ya mwaka 2005-2010, Serikali ilikusudia kuongeza megawati za umeme 645, lakini walifanikisha miradi ya megawati 145 tu.
Katika bajeti hiyo, Wizara hiyo imeomba kuidhinishiwa Sh. bilioni 402, kati ya hizo bajeti ya maendeleo ni Sh. bilioni 325 na Sh. bilioni 76.9 za matumizi ya kawaida.
Wakati huo huo Mbunge wa Same Mashariki, Anna Kilango Malecela (CCM), amemtaka Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja kumuomba radhi kwa kumdanganya kuwa angepeleka umeme katika jimbo lake na badala yake akapeleka kwingine.
Katika hotuba ya bajeti ya wizara hiyo, miradi ya umeme mkoani Kilimanjaro imepangwa katika majimbo matatu likiwemo la Same Mashariki, lakini vijiji vilivyoandikwa ni vya Same Magharibi, jimbo la Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Mathayo David.
Mbali na kutaka kuombwa radhi, Kilango pia amebainisha bungeni jana kuwa ugawaji wa miradi ya umeme, umekuwa na upendeleo na kutoka mfano wa Mkoa wa Kilimanjaro ambako miradi hiyo iko katika majimbo matatu tu na yote ya mawaziri.
"Waziri sitakuunga mkono, umenitupia changa la macho, sikuachi leo, kila siku unaninunulia chai na unajua naweza kununua mwenyewe, mimi sitaki chai nataka umeme, haiwezekani watu wa jimbo langu wafanywe wateja wa tochi.
"Wewe mtu wa ajabu sana, umeendika jina la jimbo langu na kuweka miradi katika vijiji vya rafiki yako Mathayo," alisema Kilango.
Alisema mafundi wa umeme walitumwa katika jimbo hilo kufanya upimaji na yeye alishirikiana nao kila siku kuzungukia maeneo ambayo yanatarajia kupelekewa umeme.
Mbunge huyo alibainisha kuwa wakati wote wakifanya upimaji huo, yeye alikuwa akiwasiliana na Waziri Ngeleja kwa simu na kuhakikishiwa kuwa hayo ndiyo maandalizi ya kupeleka umeme.
"Lakini nimeangalia miradi ya umeme katika Mkoa wa Kilimanjaro, sikilizeni wa kwanza Same Mashariki, lakini vijiji vya Same Magharibi (kwa Mathayo), Mwanga (Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Profesa Jumanne Maghembe) na Siha ( Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawaza za Mikoa na Serikali za Mitaa, Aggrey Mwanri,"alisema.
Mbunge huyo pia aliishauri Serikali kuchukua mradi mmoja wa umeme wa Stieglers Gorge wa kutumia maporomoko ya maji ya Mto Rufiji wenye uwezo wa kuzalisha Megawati 2,100 badala ya kuwa na miradi mingi midogo ambayo hawana uhakika itakamilika lini.
Alisema, ni bora Serikali iwaambie Watanzania wafunge mkanda ili watekeleze mradi. Huo kwa kuwa wamezoea na haijulikani kama wameshawahi kuifungua tangu wakati wa vita dhidi ya Nduli, Idd Amini walipotangaziwa kufanya hivyo na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.
Kuhusu madini, Kilango alisema hana uhakika kama Tanzania inanufaika na utajiri wa madini yake na kuhoji kama Waziri Ngeleja ana undugu na nchi za nje zinazonufaika nayo.
Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Ally Keissy Mohamed (CCM) alisimama mara baada ya Ngeleja kumaliza kusoma bajeti na kuomba mwongozo na kufafanua kuwa waziri huyo kadanganya Bunge.
Alifafanua kuwa, kuna mradi katika jimbo hilo la Nkasi Kaskazini ambo Ngeleja kasema umekamilika kwa karibu asilimia 60, lakini Mbunge huyo akasema kuwa hakuna hata nguzo moja katika eneo la mradi huo.
Akichangia bajeti hiyo, Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe (Chadema), alisema January amefanya kazi nzuri na kumkejeli ahame Chama Cha Mapinduzi na kujiunga na Chadema ili wasaidiane kazi.
Mbowe alisema Serikali imepoteza uhalali was kushughulikia tatizo la umeme la muda mrefu na kinachohitajika ni kuundwa kwa kikosikazi kitakachokuwa na wadau mbalimbali wa asasi za kiraia, sekta binafsi na hata wabunge kishughulikie aibu ya mgawo.
Pia alitaka Rais Jakaya Kikwete atumie nafasi kumi alizonazo bungeni, kuteua wataalamu ili wapewe wizara hiyo na Ngeleja apelekwe Wizara ya Sheria na Katiba na Naibu wake, Adam Malima apelekwe Mipango.
Lakini baada ya kumaliza, Mnadhimu Mkuu wa Serikali, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, (Uratibu, Sera na Bunge), William Lukuvi, aliomba kutoa taarifa na kufafanua kwamba Serikali inayo uhalali kwa kuwa CCM ilishindana na Chadema na kukishinda kwa kura.
Wednesday, July 13, 2011
Rostam Aziz ajivua gamba
HUENDA katika siku 90 zijazo, wananchi wa jimbo la Igunga mkoani Tabora , wakaingia kwenye uchaguzi mdogo, baada ya Mbunge wao mfanyabiashara maarufu nchini, Rostam Aziz, kujiuzulu nyadhifa zake zote ndani ya CCM ukiwamo ubunge. Mbali na ubunge wa Igunga mkoani Tabora alioushikilia kwa miaka
Sitta: Wabunge wa upinzani wanafiki
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, amesema mambo mengi ya wapinzani ni ya kinafiki na wamekuwa wakiibeza Serikali kwa kauli nyepesi nyepesi.
Sitta alitoa kauli hiyo jana bungeni mjini Dodoma alipokuwa akijaribu kutuliza Bunge lililokuwa limechafuka baada ya Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), kudai kuwa Serikali iliyoko madarakani ni legelege na imeshindwa kukusanya kodi.
"Nawasihi wenzangu hasa wa CCM, hawa wapinzani hii (kupinga mambo) ndiyo kazi yao, wanabeza kila tunachofanya kwa lugha nyepesi nyepesi na mambo mengi wanayozungumza ni unafikinafiki hivi, sisi tuwaachie wananchi wawahukumu.
Kauli hiyo ilisababisha baadhi ya wabunge hasa wa upande wa upinzani kusimama na kuomba mwongozo wa Mwenyekiti na wengine wakizomeana, huku Sitta ambaye ni Kaimu Kiongozi wa Shughuli za Serikali Bungeni, akiwa amesimama akiomba kuendelea.
"Subirini nitoe mfano ... wanazungumza posho za vikaoni ni kuibia wananchi na baadhi yao wamekuwa wabunge kwa miaka mitano iliyopita na walikuwa wakizichukua, kama kweli ndivyo hivyo, basi warudishe," alisema Sitta.
Kauli hiyo ilisababisha wabunge zaidi, karibu 10 wakiwamo wa CCM kusimama kuomba Mwongozo wa Mwenyekiti, lakini Mwenyekiti Jenista Mhagama akaahirisha shughuli za Bunge kwa mapumziko ya mchana, kwa kuwa muda ulikuwa umefika, huku akiwaacha wabunge wakipiga kelele za kuomba Mwongozo.
Kabla ya kuibuka tafrani hiyo, Kafulila aliyekuwa akichangia hotuba ya Makadirio ya Matumizi ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, alisema tangu Uhuru moja ya maadui waliopigwa vita ni maradhi; lakini akashangaa bajeti ya Afya ni ndogo na kuongeza kuwa inatokana na Serikali legelege kushindwa kukusanya mapato.
"Miaka 50 ya Uhuru asilimia 90 ya bajeti ya maendeleo ya afya inategemea fedha za nje, tatizo hamkusanyi kodi na Nyerere (Baba wa Taifa) alisema Serikali legelege inashindwa kukusanya kodi," alisema Kafulila.
Kauli hiyo ilipingwa na Mbunge wa Nzega, Dk. Hamisi Kigwangala (CCM) aliyesema Kafulila alitumia neno la kuudhi kwa kuiita Serikali ya CCM legelege.
Dk. Kigwangala alifafanua kuwa Kafulila hakuwa na taarifa sahihi, kwa kuwa katika miaka mitatu iliyopita, Serikali ilikuwa ikikusanya karibu Sh bilioni 200, lakini mpaka mwaka huu, makusanyo yaliongezeka na kufikia karibu Sh bilioni 400.
Baada ya ufafanuzi huo, Mwenyekiti wa Bunge, Mhagama alimtaka Kafulila kufuta usemi, lakini mbunge huyo alipinga akisema ni kauli ya Baba wa Taifa, ambaye kila mtu anamuenzi bila kujali anatoka chama gani.
"Tunapoteza muda kujadili suala ambalo liko wazi, mwaka 2005/06 Serikali ilikuwa ikikusanya wastani wa Sh bilioni 260 lakini dola moja ilikuwa sawa na Sh 1,000.
"Leo mnakusanya karibu Sh bilioni 400 kwa mwezi, dola moja ni Sh 1,600 ni hesabu rahisi, hakuna kilichoongezeka ... sifuti usemi, niko tayari kufia ukweli huu," alisema Kafulila na kusababisha Sitta kuamka na kuwaita wapinzani wanafiki huku akiwataka CCM kuwavumilia.
Hata hivyo, Mwalimu Nyerere alisema chama legelege huzaa Serikali legelege na pia aliwahi kusema "Serikali corrupt (inayokula rushwa) hushindwa kukusanya kodi," na si Serikali legelege hushindwa kukusanya kodi.
Awali, kabla ya tafrani hiyo, Kafulila alimtaka Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hadji Mponda, ikibidi ajiuzulu kuliko kukubali kuwasilisha bajeti ya fedha ndogo bungeni huku ikitegemea fedha nyingi za wahisani.
Alisema hiyo inatokana na wabunge na familia zao kuwa na uwezo wa kutibiwa sehemu yoyote ndani na nje ya nchi, ndiyo maana hawawekezi katika hospitali za vijijini.
Wakati akisema hayo, mmoja wa wabunge ambaye hakufahamika lakini mwanamke, aliwasha kipaza sauti akasema: "Pamoja na wewe (Kafulila) na Mbunge wa Mpanda Mjini Chadema (Said Arfi ambaye alilazwa India hivi karibuni)."
Hata hivyo Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk. Mary Nagu, alisimama na kupinga kauli ya Kafulila, akisema: "Hili ni Bunge Tukufu, tuzungumze kwa heshima."
Mbunge mwingine mwanamume akawasha kipaza sauti na kuhoji: "Nani ana heshima?" Nagu akaendelea kufafanua kuwa mwanawe ni daktari katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambayo ni ya Serikali na hata baba yake mzazi alilazwa katika hospitali ya Katesh ambayo ni ya vijijini.
Hata hivyo, sauti ile ya kiume iliendelea kumkatisha Nagu na safari hii Mbunge huyo alisema, "so what(kwa hiyo?"
Kutokana na kauli hizo za kukatishana, Mhagama alisimama na kusema ameisikiliza sauti ya mmoja wa wabunge wanaotoa kauli hizo za kejeli huku akimkatisha waziri aliyekuwa akizungumza na kubaini kuwa sauti hiyo inafanana na ya Mbunge wa Nyamagana, Ezekia Wenje (Chadema).
Alionya kuwa wanachofanya wabunge kuwasha vipaza sauti holela ili kuzuia hoja za wenzao kusikika au kuwakatiza, ni kinyume na Kanuni za Bunge na akifuatilia anaweza kuwabaini na kuwachukulia hatua.
Sitta alitoa kauli hiyo jana bungeni mjini Dodoma alipokuwa akijaribu kutuliza Bunge lililokuwa limechafuka baada ya Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), kudai kuwa Serikali iliyoko madarakani ni legelege na imeshindwa kukusanya kodi.
"Nawasihi wenzangu hasa wa CCM, hawa wapinzani hii (kupinga mambo) ndiyo kazi yao, wanabeza kila tunachofanya kwa lugha nyepesi nyepesi na mambo mengi wanayozungumza ni unafikinafiki hivi, sisi tuwaachie wananchi wawahukumu.
Kauli hiyo ilisababisha baadhi ya wabunge hasa wa upande wa upinzani kusimama na kuomba mwongozo wa Mwenyekiti na wengine wakizomeana, huku Sitta ambaye ni Kaimu Kiongozi wa Shughuli za Serikali Bungeni, akiwa amesimama akiomba kuendelea.
"Subirini nitoe mfano ... wanazungumza posho za vikaoni ni kuibia wananchi na baadhi yao wamekuwa wabunge kwa miaka mitano iliyopita na walikuwa wakizichukua, kama kweli ndivyo hivyo, basi warudishe," alisema Sitta.
Kauli hiyo ilisababisha wabunge zaidi, karibu 10 wakiwamo wa CCM kusimama kuomba Mwongozo wa Mwenyekiti, lakini Mwenyekiti Jenista Mhagama akaahirisha shughuli za Bunge kwa mapumziko ya mchana, kwa kuwa muda ulikuwa umefika, huku akiwaacha wabunge wakipiga kelele za kuomba Mwongozo.
Kabla ya kuibuka tafrani hiyo, Kafulila aliyekuwa akichangia hotuba ya Makadirio ya Matumizi ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, alisema tangu Uhuru moja ya maadui waliopigwa vita ni maradhi; lakini akashangaa bajeti ya Afya ni ndogo na kuongeza kuwa inatokana na Serikali legelege kushindwa kukusanya mapato.
"Miaka 50 ya Uhuru asilimia 90 ya bajeti ya maendeleo ya afya inategemea fedha za nje, tatizo hamkusanyi kodi na Nyerere (Baba wa Taifa) alisema Serikali legelege inashindwa kukusanya kodi," alisema Kafulila.
Kauli hiyo ilipingwa na Mbunge wa Nzega, Dk. Hamisi Kigwangala (CCM) aliyesema Kafulila alitumia neno la kuudhi kwa kuiita Serikali ya CCM legelege.
Dk. Kigwangala alifafanua kuwa Kafulila hakuwa na taarifa sahihi, kwa kuwa katika miaka mitatu iliyopita, Serikali ilikuwa ikikusanya karibu Sh bilioni 200, lakini mpaka mwaka huu, makusanyo yaliongezeka na kufikia karibu Sh bilioni 400.
Baada ya ufafanuzi huo, Mwenyekiti wa Bunge, Mhagama alimtaka Kafulila kufuta usemi, lakini mbunge huyo alipinga akisema ni kauli ya Baba wa Taifa, ambaye kila mtu anamuenzi bila kujali anatoka chama gani.
"Tunapoteza muda kujadili suala ambalo liko wazi, mwaka 2005/06 Serikali ilikuwa ikikusanya wastani wa Sh bilioni 260 lakini dola moja ilikuwa sawa na Sh 1,000.
"Leo mnakusanya karibu Sh bilioni 400 kwa mwezi, dola moja ni Sh 1,600 ni hesabu rahisi, hakuna kilichoongezeka ... sifuti usemi, niko tayari kufia ukweli huu," alisema Kafulila na kusababisha Sitta kuamka na kuwaita wapinzani wanafiki huku akiwataka CCM kuwavumilia.
Hata hivyo, Mwalimu Nyerere alisema chama legelege huzaa Serikali legelege na pia aliwahi kusema "Serikali corrupt (inayokula rushwa) hushindwa kukusanya kodi," na si Serikali legelege hushindwa kukusanya kodi.
Awali, kabla ya tafrani hiyo, Kafulila alimtaka Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hadji Mponda, ikibidi ajiuzulu kuliko kukubali kuwasilisha bajeti ya fedha ndogo bungeni huku ikitegemea fedha nyingi za wahisani.
Alisema hiyo inatokana na wabunge na familia zao kuwa na uwezo wa kutibiwa sehemu yoyote ndani na nje ya nchi, ndiyo maana hawawekezi katika hospitali za vijijini.
Wakati akisema hayo, mmoja wa wabunge ambaye hakufahamika lakini mwanamke, aliwasha kipaza sauti akasema: "Pamoja na wewe (Kafulila) na Mbunge wa Mpanda Mjini Chadema (Said Arfi ambaye alilazwa India hivi karibuni)."
Hata hivyo Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk. Mary Nagu, alisimama na kupinga kauli ya Kafulila, akisema: "Hili ni Bunge Tukufu, tuzungumze kwa heshima."
Mbunge mwingine mwanamume akawasha kipaza sauti na kuhoji: "Nani ana heshima?" Nagu akaendelea kufafanua kuwa mwanawe ni daktari katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambayo ni ya Serikali na hata baba yake mzazi alilazwa katika hospitali ya Katesh ambayo ni ya vijijini.
Hata hivyo, sauti ile ya kiume iliendelea kumkatisha Nagu na safari hii Mbunge huyo alisema, "so what(kwa hiyo?"
Kutokana na kauli hizo za kukatishana, Mhagama alisimama na kusema ameisikiliza sauti ya mmoja wa wabunge wanaotoa kauli hizo za kejeli huku akimkatisha waziri aliyekuwa akizungumza na kubaini kuwa sauti hiyo inafanana na ya Mbunge wa Nyamagana, Ezekia Wenje (Chadema).
Alionya kuwa wanachofanya wabunge kuwasha vipaza sauti holela ili kuzuia hoja za wenzao kusikika au kuwakatiza, ni kinyume na Kanuni za Bunge na akifuatilia anaweza kuwabaini na kuwachukulia hatua.
Friday, July 8, 2011
Simba full shangwe
| ||
MABINGWA
wa kihistoria wa michuano ya soka ya Kombe la Kagame timu ya Simba jana ilifuzu kutinga kwenye fainali ya michuano hiyo baada ya kuinyuka timu ngumu ya El Mereikh ya Sudan kwa mikwaju ya penati 5-4 katika mchezo mgumu wa nusu fainali ya kwanza uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mchezo huo ambao ilibidi uende katika muda wa ziada hivyo kuchezwa kwa dakika 120 baada ya dakika 90 za kawaida kumalizika kwa sare ya bao 1-1, ambapo El Mereikh ndio walikuwa wa kwanza kuzifumania nyavu za Simba katika dakika ya 12 kwa bao lililofungwa na Adiko Rime akiunganisha krosi ya Balla Gabir akiwa amezungukwa na mabeki wawili wa Simba .
Simba ilisawazisha bao hilo katika dakika ya 24 kwa bao lililofungwa na Ulimbokwa Mwakingwe kwa kichwa baada ya mpira wa krosi ya Shija Mkina kuokolewa vibaya na kipa Isam Elhadary na kumfikia Mwakingwe aliyeutumbukiza kimiani.
Katika changamoto hiyo ya mikwaju ya penati shujaa wa Wekundu hao wa Msimbazi alikuwa ni kipa Juma Kaseja ambaye aliokoa mkwaju wa Jonas Sakwaha na kuwafanya mashabiki wa Simba waliofurika kwenye uwanja huo kulipuka kwa shangwe na kuimba ‘ Hatubebwi hatubebwi hatubebwi ikiwa ni katika kuwakejeli watani zao Yanga ambao juzi walitinga kwenye hatua hiyo ya nusu fainali kwa matuta dhidi ya Red Sea ya Eritrea ambapo mashabiki wa Simba wanahisi kuwa watani zao hao walipendelewa baada ya penati zao mbili kurudiwa baada ya kuzikosa awali.
Katika hatua hiyo ya upigaji penati tano tano Simba ndio walianza ambapo Jerry Santo aliongoza jahazi la Simba na kufunga penati ya kwanza lakini Faisal Agab Sido alisawazisha na kufanya iwe sare penati ya pili ya Simba ilipigwa na Salum Machaku na kwenda kugonga mwamba wa juu na hivyo kuzua hofu lakini El Mereikh nayo ilikosa penati yake baada ya Mnigeria Collin Kezechi kupaisha mkwaju wake.
Penati zilizofuatia zilipigwa na Salum Kanoni, Nassor Saidi ‘Chollo’ na Patrick Mafisango aliyepiga penati maridadi iliyomwacha kipa Isam El Hadary akichupa kulia na mpira kutinga kushoto kwa upande wa Mereikh Ahmed Elbasha, Bari Eldin Eldod na kipa Elhadary alifunga penati ya tano na hivyo kufanya ziongezwe moja moja.
Ndipo alikwenda kupiga Ulimboka Mwakingwe ambaye mbali ya kucheza kwa juhudi muda wote wa mchezo pia kiwango chake kilikuwa cha juu na kutumbukiza wavuni mkwaju wake na hivyo kazi ikawa kwa El Mereikh ambayo ilimpa jukumu Sakwaha ambaye penati yake iliokolewa na Kaseja na kumwacha ameduwaa uwanjani.
Kutokana na ushindi huo wa penati 5-4 ,Simba imefuzu kutinga fainali kwa jumla ya mabao 6-5 na sasa inamsubiri mshindi wa nusu fainali ya pili inayofanyika leo kati ya mabingwa wa soka wa Tanzania Bara, Yanga dhidi Saint George ya Ethiopia.
Wednesday, July 6, 2011
Vinara kashfa ya rada watajwa
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Mathias Chikawe amesema Mbunge wa Bariadi Magharibi, Endrew Chenge (CCM), hahusiki kwa namna yoyote na kashfa ya uuzaji wa rada liyoligharimu Taifa pauni milioni 28 ambazo sasa Serikali inataka zirejeshwe.
Mbali na Chenge ambaye pia anatakiwa kujivua gamba ndani ya chama chake kwa kashfa hiyo, Chikawe alisema bungeni jana kuwa, hakuna Mtanzania hata mmoja anayetuhumiwa kwa hilo ndio maana hawajamshitaki mtu.
Akitoa majumuisho ya hotuba ya Ofisi ya Rais Utawala Bora, Chikawe alisema Serikali ililiita Shirika la Serious Fraud Office (SFO) la Uingereza kuja kumchunguza Chenge kwa kushirikiana na Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) na katika uchunguzi huo Chenge hakukutwa na hatia.
Aliwataja wahusika kuwa ni Sailesh Vithlan, dalali wa rada hiyo Jonathan Callman, Meneja Biashara wa Kampuni ya BAE Systems ya Uingereza iliyouza rada hiyo na Meneja Masoko wa kampuni hiyo, aliyejulikana kwa jina moja la Christopher.
"Kama kuna mtu ana ushahidi dhidi ya Chenge au mtu mwingine atupe na tutampeleka mtuhumiwa huyo mahakamani kesho.
"Kama hakuna, basi tufanye kama kanisani (wakati wa kufunga ndoa) kuwa yeyote mwenye neno naye (Chenge), aseme sasa na kama hakuna basi kila mtu anyamaze," alisema Chikawe.
Alifafanua kuwa Serikali haijamshitaki Chenge wala mtu yeyote na kufafanua kuwa haiwezi kwenda mahakamani kwa hisia na hata wanasheria wanafahamu hilo.
Hii ni mara ya tatu kwa Chenge kusafishwa na tuhuma hizo; mara ya kwanza aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utawala Bora, Sophia Simba alikaririwa akisema kuwa Chenge alisafishwa na SFO.
Mara ya pili, Chenge mwenyewe alijitokeza mbele ya vyombo vya habari alipokuwa akigombea nafasi ya Spika wa Bunge na kufafanua kuwa SFO na Takukuru walimsafisha baada ya kukosa ushahidi dhidi yake.
Lakini Ubalozi wa Uingereza ulitoa tamko kuwa suala hilo halijakamilika wala halijafikiwa muafaka na Chenge hakupaswa kudai kuwa hana hatia.
Hata hivyo wakati wa Kamati ya Matumizi Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani, Tundu Lissu alisimama na kusema anayo barua inayoonesha kwamba Andrew Chenge na Dk. Idris Rashid walihusika katika ununuzi wa rada hiyo na Chenge alipata dola milioni 1 alizopeleka katika akaunti iliyopo nje ya nchi na Dk. Rashid alipata pauni za Kiingereza laki sita.
Hata hivyo Waziri Chikawe alisimama na kusema kwamba aliwaomba wabunge kama wana ushahidi dhidi ya Chenge waulete ili waende mahakamani hata kesho na akaomba Tundu Lissu ampatie ushahidi huo.
Lakini Lissu alisema ushahidi huo ni barua kutoka SFO kwenda kwa Mwanasheria Mkuu wa Tanzania na hivyo Serikali isiwahadae wananchi kwa sababu wanao ushahidi.
Kashfa hiyo hiyo, itakumbukwa kuwa ilichangia Chenge kujiuzulu nafasi yake kama Waziri wa Miundombinu baada ya kutuhumiwa kumiliki fedha zilizodaiwa kuwa mgawo wake katika uuzaji wa rada; dola milioni moja, zaidi ya Sh bilioni moja nje ya nchi.
Lakini jana kabla ya kutangazwa kuwa Chenge hana hatia, Serikali ilitupiwa zigo la kuwachukulia hatua za kisheria Watanzania waliohusika kupora fedha za umma katika ununuzi wa rada katika Mahakama ya Tanzania kwa kuwa katika Mahakama ya Uingereza, watuhumiwa hao hawatakuwa na hatia.
Ujumbe wa Bunge uliokwenda Uingereza kuwakilisha Watanzania kudai fedha hizo maarufu 'chenji' , umeweka wazi kuwa Kampuni ya BAE Systems inayotuhumiwa kushirikiana na watuhumiwa wa Tanzania katika uporaji huo na SFO, wameweka mazingira ya kutoshitakiwa kwa watuhumiwa hao huko Uingereza.
Wakizungumza baada ya kukabidhi ripoti ya kazi waliyoifanya huko Uingereza kwa Spika wa Bunge, Anne Makinda, wajumbe hao walioongozwa na Naibu Spika, Job Ndugai, walisema wamefanikiwa kushawishi Waingereza kuona umuhimu wa fedha hizo pauni milioni 29.5, kurudishwa kupitia Serikali ya Tanzania.
Lakini pia waliituhumu kampuni hiyo na SFO kwa kupanga mazingira hayo ya kutoshitakiwa kwa watuhumiwa kwa kutumia mwanya wa mazungumzo nje ya Mahakama.
Ndugai alisema baada ya SFO kuishitaki kampuni hiyo, kampuni hiyo iliomba mazungumzo nje ya Mahakama na yalipokamilika, Mwanasheria wa kampuni hiyo, ambayo ndiyo mtuhumiwa, alitengeneza makubaliano ya mazungumzo hayo na kuzuia watuhumiwa wasishitakiwe na kuyasajili mahakamani.
Ndugai alisema kuwa mwanasheria huyo alihakikisha anailinda kampuni hiyo na watuhumiwa wengine.
"Kwa kweli jaji aliyetoa hukumu ile, alikuwa na 'moral pressure' msukumo wa kibinadamu, akaona gharama za kesi ni kubwa akasema nitapunguza gharama za kesi na kuongeza katika tuzo itakayopewa Watanzania," alisema Ndugai.
Alifafanua kuwa katika hilo, badala ya kuamuru fedha nyingi ziwe gharama za kesi hizo ambazo zingetumiwa na SFO au kampuni hiyo; jaji huyo alitoa pauni laki tano tu kama gharama za kesi na pauni milioni 29.5 akaamuru zirejeshwe kwa Watanzania walioibiwa.
Mbali na Chenge ambaye pia anatakiwa kujivua gamba ndani ya chama chake kwa kashfa hiyo, Chikawe alisema bungeni jana kuwa, hakuna Mtanzania hata mmoja anayetuhumiwa kwa hilo ndio maana hawajamshitaki mtu.
Akitoa majumuisho ya hotuba ya Ofisi ya Rais Utawala Bora, Chikawe alisema Serikali ililiita Shirika la Serious Fraud Office (SFO) la Uingereza kuja kumchunguza Chenge kwa kushirikiana na Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) na katika uchunguzi huo Chenge hakukutwa na hatia.
Aliwataja wahusika kuwa ni Sailesh Vithlan, dalali wa rada hiyo Jonathan Callman, Meneja Biashara wa Kampuni ya BAE Systems ya Uingereza iliyouza rada hiyo na Meneja Masoko wa kampuni hiyo, aliyejulikana kwa jina moja la Christopher.
"Kama kuna mtu ana ushahidi dhidi ya Chenge au mtu mwingine atupe na tutampeleka mtuhumiwa huyo mahakamani kesho.
"Kama hakuna, basi tufanye kama kanisani (wakati wa kufunga ndoa) kuwa yeyote mwenye neno naye (Chenge), aseme sasa na kama hakuna basi kila mtu anyamaze," alisema Chikawe.
Alifafanua kuwa Serikali haijamshitaki Chenge wala mtu yeyote na kufafanua kuwa haiwezi kwenda mahakamani kwa hisia na hata wanasheria wanafahamu hilo.
Hii ni mara ya tatu kwa Chenge kusafishwa na tuhuma hizo; mara ya kwanza aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utawala Bora, Sophia Simba alikaririwa akisema kuwa Chenge alisafishwa na SFO.
Mara ya pili, Chenge mwenyewe alijitokeza mbele ya vyombo vya habari alipokuwa akigombea nafasi ya Spika wa Bunge na kufafanua kuwa SFO na Takukuru walimsafisha baada ya kukosa ushahidi dhidi yake.
Lakini Ubalozi wa Uingereza ulitoa tamko kuwa suala hilo halijakamilika wala halijafikiwa muafaka na Chenge hakupaswa kudai kuwa hana hatia.
Hata hivyo wakati wa Kamati ya Matumizi Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani, Tundu Lissu alisimama na kusema anayo barua inayoonesha kwamba Andrew Chenge na Dk. Idris Rashid walihusika katika ununuzi wa rada hiyo na Chenge alipata dola milioni 1 alizopeleka katika akaunti iliyopo nje ya nchi na Dk. Rashid alipata pauni za Kiingereza laki sita.
Hata hivyo Waziri Chikawe alisimama na kusema kwamba aliwaomba wabunge kama wana ushahidi dhidi ya Chenge waulete ili waende mahakamani hata kesho na akaomba Tundu Lissu ampatie ushahidi huo.
Lakini Lissu alisema ushahidi huo ni barua kutoka SFO kwenda kwa Mwanasheria Mkuu wa Tanzania na hivyo Serikali isiwahadae wananchi kwa sababu wanao ushahidi.
Kashfa hiyo hiyo, itakumbukwa kuwa ilichangia Chenge kujiuzulu nafasi yake kama Waziri wa Miundombinu baada ya kutuhumiwa kumiliki fedha zilizodaiwa kuwa mgawo wake katika uuzaji wa rada; dola milioni moja, zaidi ya Sh bilioni moja nje ya nchi.
Lakini jana kabla ya kutangazwa kuwa Chenge hana hatia, Serikali ilitupiwa zigo la kuwachukulia hatua za kisheria Watanzania waliohusika kupora fedha za umma katika ununuzi wa rada katika Mahakama ya Tanzania kwa kuwa katika Mahakama ya Uingereza, watuhumiwa hao hawatakuwa na hatia.
Ujumbe wa Bunge uliokwenda Uingereza kuwakilisha Watanzania kudai fedha hizo maarufu 'chenji' , umeweka wazi kuwa Kampuni ya BAE Systems inayotuhumiwa kushirikiana na watuhumiwa wa Tanzania katika uporaji huo na SFO, wameweka mazingira ya kutoshitakiwa kwa watuhumiwa hao huko Uingereza.
Wakizungumza baada ya kukabidhi ripoti ya kazi waliyoifanya huko Uingereza kwa Spika wa Bunge, Anne Makinda, wajumbe hao walioongozwa na Naibu Spika, Job Ndugai, walisema wamefanikiwa kushawishi Waingereza kuona umuhimu wa fedha hizo pauni milioni 29.5, kurudishwa kupitia Serikali ya Tanzania.
Lakini pia waliituhumu kampuni hiyo na SFO kwa kupanga mazingira hayo ya kutoshitakiwa kwa watuhumiwa kwa kutumia mwanya wa mazungumzo nje ya Mahakama.
Ndugai alisema baada ya SFO kuishitaki kampuni hiyo, kampuni hiyo iliomba mazungumzo nje ya Mahakama na yalipokamilika, Mwanasheria wa kampuni hiyo, ambayo ndiyo mtuhumiwa, alitengeneza makubaliano ya mazungumzo hayo na kuzuia watuhumiwa wasishitakiwe na kuyasajili mahakamani.
Ndugai alisema kuwa mwanasheria huyo alihakikisha anailinda kampuni hiyo na watuhumiwa wengine.
"Kwa kweli jaji aliyetoa hukumu ile, alikuwa na 'moral pressure' msukumo wa kibinadamu, akaona gharama za kesi ni kubwa akasema nitapunguza gharama za kesi na kuongeza katika tuzo itakayopewa Watanzania," alisema Ndugai.
Alifafanua kuwa katika hilo, badala ya kuamuru fedha nyingi ziwe gharama za kesi hizo ambazo zingetumiwa na SFO au kampuni hiyo; jaji huyo alitoa pauni laki tano tu kama gharama za kesi na pauni milioni 29.5 akaamuru zirejeshwe kwa Watanzania walioibiwa.
Tuesday, July 5, 2011
Lagarde begins 1st day as head of IMF
Former finance minister of France Christine Lagarde was elected to the IMF's top job last week.
Lagarde, who was the finance minister of France, takes over at a crucial time for the IMF as the organization is working closely with the European Union and the European Central Bank to provide financial support for troubled European economies.
Lagarde will serve a five-year term as the global financial institution's managing director and chairman, the IMF said.
"I am deeply honored by the trust placed in me by the Executive Board," Lagarde said in a statement last week. She succeeds Dominique Strauss-Kahn, who was arrested earlier this year in New York on sexual assault charges.
The only other contender for the job was Mexican Central Bank chief Agustin Carstens, who was supported by Australia, Canada and Mexico.
The IMF said it selected Lagarde, last week, by a consensus vote. Lagarde was also backed by the United Kingdom, Germany and most European powers, as well as some Asian and African nations. The IMF, which is made up of 187 member countries, has traditionally been led by a Western European official.
Some developing nations had pushed to break that tradition, arguing that the IMF should consider candidates from rising economic powers in Asia and South America.
Lagarde, 55, had been French President Nicolas Sarkozy's finance minister since June 2007. She also served as the country's to foreign trade official.
A lawyer by training, Lagarde was a partner at the international law firm of Baker & McKenzie before going into politics. According to her official biography, Lagarde was born in Paris to school teachers and has two children of her own. She was a member of the French national synchronized swimming team and was inducted into the nation's Legion of Honor in 2000.
Subscribe to:
Posts (Atom)
